Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wana JF,
Baada ya mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta chochote ilimradi mkono uingize kitu kinywani, nimejikuta najiuliza sana haya maswali kuhusu pesa ya Tanzania
- Je, ni kampuni ipii inahusika kutengeneza na kuprint pesa ya Tanzania?
-Iyoo kampuni ikoo wapi na ni private au goverment?
- Kama serikali inahusika kuprint pesa mbona serikali inadaiwa mabilioni kutoka nje ,kwanin isiprint pesa za kutosha na kuweza kuwalipa wanaotudai
-Kwanini Tanzania isitengeneze kampuni ya kuprint hela, kama kutimiza sera ya mheshimiwa Tanzania ya viwanda?
- Kwanin thamani yetu ya pesa ishuke,na vyuma vikazee (hali ngumu ya maisha kwamba pesa hamna), wakati serikali inahusika kwa asiliamia mia katika kuprint pesa?
-hiyoo kampuni inayotengeneza pesa wafanyakazi wake wanalipwa nini? Kwa sababu huwezi kuwa unazalisha mahindi wakati huo huo ulipwe hayo hayo mahindi kama mshahara.
Natumaini humu JF kuna great thinker na wataalamu wa kutosha kuhusu hayo mambo,,, naomba kueleweshwa kwan mpaka sasa sielewi inakuaje.
Baada ya mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta chochote ilimradi mkono uingize kitu kinywani, nimejikuta najiuliza sana haya maswali kuhusu pesa ya Tanzania
- Je, ni kampuni ipii inahusika kutengeneza na kuprint pesa ya Tanzania?
-Iyoo kampuni ikoo wapi na ni private au goverment?
- Kama serikali inahusika kuprint pesa mbona serikali inadaiwa mabilioni kutoka nje ,kwanin isiprint pesa za kutosha na kuweza kuwalipa wanaotudai
-Kwanini Tanzania isitengeneze kampuni ya kuprint hela, kama kutimiza sera ya mheshimiwa Tanzania ya viwanda?
- Kwanin thamani yetu ya pesa ishuke,na vyuma vikazee (hali ngumu ya maisha kwamba pesa hamna), wakati serikali inahusika kwa asiliamia mia katika kuprint pesa?
-hiyoo kampuni inayotengeneza pesa wafanyakazi wake wanalipwa nini? Kwa sababu huwezi kuwa unazalisha mahindi wakati huo huo ulipwe hayo hayo mahindi kama mshahara.
Natumaini humu JF kuna great thinker na wataalamu wa kutosha kuhusu hayo mambo,,, naomba kueleweshwa kwan mpaka sasa sielewi inakuaje.