Pesa ya Tanzania inatengenezwa na kampuni gani?

Pesa ya Tanzania inatengenezwa na kampuni gani?

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari wana JF,

Baada ya mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta chochote ilimradi mkono uingize kitu kinywani, nimejikuta najiuliza sana haya maswali kuhusu pesa ya Tanzania

- Je, ni kampuni ipii inahusika kutengeneza na kuprint pesa ya Tanzania?
-Iyoo kampuni ikoo wapi na ni private au goverment?

- Kama serikali inahusika kuprint pesa mbona serikali inadaiwa mabilioni kutoka nje ,kwanin isiprint pesa za kutosha na kuweza kuwalipa wanaotudai

-Kwanini Tanzania isitengeneze kampuni ya kuprint hela, kama kutimiza sera ya mheshimiwa Tanzania ya viwanda?

- Kwanin thamani yetu ya pesa ishuke,na vyuma vikazee (hali ngumu ya maisha kwamba pesa hamna), wakati serikali inahusika kwa asiliamia mia katika kuprint pesa?

-hiyoo kampuni inayotengeneza pesa wafanyakazi wake wanalipwa nini? Kwa sababu huwezi kuwa unazalisha mahindi wakati huo huo ulipwe hayo hayo mahindi kama mshahara.

Natumaini humu JF kuna great thinker na wataalamu wa kutosha kuhusu hayo mambo,,, naomba kueleweshwa kwan mpaka sasa sielewi inakuaje.
 
Yaani wabongo wakikabidhiwa vitengo vya kawaida tu wanageuka miungu watu! Leo unataka tuanze kuajiriwa kwenye kiwanda cha kuprint pesa!!
Hivi umefikiria kwa undani kabisa?
Fikiria MD awe mhaya
MD Rwegoshora
HR Rugaimukamu
Production manager Rutashoborwa
Nk
Au
Md Massawe
HR Nkya
Production manager Aikaeli
We

We utakuwa unatumika sio bure!.
Yaani unataka kina Bashite wajichapishie noti zao wenyewe!!!
 
Pesa ni zaidi ya makaratasi tunayoshika mkononi... pesa ni ile ambayo unayo bank au tigo pesa. uioni wala hauishiki lakini unayo.... sasa hao wafanyakazi wa hizo kampuni ndio wanalipwa hiyo
 
Noti zinatengenezwa Sweden, coin sifahamu
 
Niliskia zinatengenezwa uswizi ,na hazitengenezwi na kampuni moja
Tz tunapeleka maelezeko jinsi zinavyofaa kuonekana
Serikali haiwez agiza zi printiwe pesa nyingi ili ilipe madeni kwa sababu ku print ni ghalama
Na pia madeni hulipwa in terms of dollar mzungu hawezi pokea pesa ya madafu itabidi zibaki BOT afu tutoe dollar so work done itakua zero
Kama umesoma commerce tunasema moj ya sifa za pesa it must be relatively scarce yani isipatikane kwa wingi (angalia zimbabwe)
Hatuwez kua na kampuni ya ku print hela coz nadhani ni expensive kuiendesha
Thamani ya pesa inashuka kwa sabBu malaika amekataa kulipa madeni ya watu n haongezi mishahara while vitu vinapanda bei hivyo maisha kuwa magumu.na pia amesababisha ma hotel kufungw coz of sera zake hivyo mzunguk wa hela umekuf lazm ujue hata malaya anaponnuliwà anasàidia nchi

Kuhusu kampuni inayotengnez pesa nakujibu kwa mazingira ya marekani niliyoyaona kwenye tv katika kipindi kinaitwa how they are made
Ni hivi katik kampuni za kutengeneza pesa kuna ulinzi mkali sana mfn metal detectors na kadhalika pia unasachiwa mlangoni so huezi iba but mshahara wao ni kwa pesa ile ile ila sio yaTZ Pain killer
 
Niliskia zinatengenezwa uswizi ,na hazitengenezwi na kampuni moja
Tz tunapeleka maelezeko jinsi zinavyofaa kuonekana
Serikali haiwez agiza zi printiwe pesa nyingi ili ilipe madeni kwa sababu ku print ni ghalama
Na pia madeni hulipwa in terms of dollar mzungu hawezi pokea pesa ya madafu itabidi zibaki BOT afu tutoe dollar so work done itakua zero
Kama umesoma commerce tunasema moj ya sifa za pesa it must be relatively scarce yani isipatikane kwa wingi (angalia zimbabwe)
Hatuwez kua na kampuni ya ku print hela coz nadhani ni expensive kuiendesha
Thamani ya pesa inashuka kwa sabBu malaika amekataa kulipa madeni ya watu n haongezi mishahara while vitu vinapanda bei hivyo maisha kuwa magumu.na pia amesababisha ma hotel kufungw coz of sera zake hivyo mzunguk wa hela umekuf lazm ujue hata malaya anaponnuliwà anasàidia nchi

Kuhusu kampuni inayotengnez pesa nakujibu kwa mazingira ya marekani niliyoyaona kwenye tv katika kipindi kinaitwa how they are made
Ni hivi katik kampuni za kutengeneza pesa kuna ulinzi mkali sana mfn metal detectors na kadhalika pia unasachiwa mlangoni so huezi iba but mshahara wao ni kwa pesa ile ile ila sio yaTZ Pain killer
Sawa mkuu nimekuelewa kwa upande flani,,, sasa kama serikal inahusika katika mchakato mzima wa kuprint pesa,,, pesa inapoisha kwenye mzunguko kwanin isiprint nyingine inakimbilia kukopa pesa mataifa mengine??? Hapo inakuaje au nasisi tunanunuaaga pesa???
 
Noti zinatengenezwa Sweden, coin sifahamu
Serikali yetu inahusika au haihusiki???? Kama inahusikuka kwanin wasi print pesa za kutosha sio mpaka tukakope njee kisa pesa imeisha nchini....
 
pesa ni zaidi ya makaratasi tunayoshika mkononi... pesa ni ile ambayo unayo bank au tigo pesa. uioni wala hauishiki lakini unayo.... sasa hao wafanyakazi wa hizo kampuni ndio wanalipwa hiyo
Unajua anayeitengeze izo 10,000 ,,,===5000,,,,2000,,unajua anayezitengeneza na kuzileta nchini kwetuu........,,,,
 
Wiki iliyopita nilijuta kwenda benk make nilipewa pesa zimeharibika hadi kero
 
Yaani wabongo wakikabidhiwa vitengo vya kawaida tu wanageuka miungu watu! Leo unataka tuanze kuajiriwa kwenye kiwanda cha kuprint pesa!!
Hivi umefikiria kwa undani kabisa?
Fikiria MD awe mhaya
MD Rwegoshora
HR Rugaimukamu
Production manager Rutashoborwa
Nk
Au
Md Massawe
HR Nkya
Production manager Aikaeli
We

We utakuwa unatumika sio bure!.
Yaani unataka kina Bashite wajichapishie noti zao wenyewe!!!
Sasa mkuu pesa yetu inaonekana inatengeneza na kampuni za ukoo nje,, na serikali inahusika kabisa,,, kwann serikal iishiwe pesaaa,,,, wakati wanaweza kuiamuluu iyoo kampunii print pesa za kutoshaaaa?
 
Niliwahi kuambiwa mwazo pesa zetu zilikuwa zinatengenezwa Uswiss na baadaye tokea kutengenezwa kwa noti za mwanzo za 10,000/= na 5,000/= kazi ilifanyika Ujerumani. Siwezi kusema kampuni husika ni za serikali au binafsi..........., Lakini ninachofahamu huwa kuna utarstibu wa kuprint pesa unaotokana na vigezo vilivyokubalika.

Tathmini inaanzia kwenye uwezo wako kama taifa kiuchumi na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Pia,idadi ya watu ulionao kulinganisha na wastani wa pato la kila mtu.

Kingine nachofahamu kuna utaratibu wa kubadili fedha na siyo kuprint mpya baada ya kutumika kwa muda na kuchakaa. Utaratibu huu hutumika ili kulinda thamani ya fedha/sarafu ya nchi husika pamoja na kufanya tathmini ya pato la taifa

Kumbuka masuala ya kifedha yanasimamiwa na taratibu za kimataifa.

Zipo story nyingi lkn nami nangoja kunufaika zaidi na darasa hili.

SWALI LANGU.
Nchi ambazo zina makampuni ya kuchapisha fedha,nao hutoa tenda kwa makampuni hayo ya ndani kuchapisha fedha zao?
...................xxxxxxc.................
 
Niliwahi kuambiwa mwazo pesa zetu zilikuwa zinatengenezwa Uswiss na baadaye tokea kutengenezwa kwa noti za mwanzo za 10,000/= na 5,000/= kazi ilifanyika Ujerumani. Siwezi kusema kampuni husika ni za serikali au binafsi..........., Lakini ninachofahamu huwa kuna utarstibu wa kuprint pesa unaotokana na vigezo vilivyokubalika.

Tathmini inaanzia kwenye uwezo wako kama taifa kiuchumi na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Pia,idadi ya watu ulionao kulinganisha na wastani wa pato la kila mtu.

Kingine nachofahamu kuna utaratibu wa kubadili fedha na siyo kuprint mpya baada ya kutumika kwa muda na kuchakaa. Utaratibu huu hutumika ili kulinda thamani ya fedha/sarafu ya nchi husika pamoja na kufanya tathmini ya pato la taifa

Kumbuka masuala ya kifedha yanasimamiwa na taratibu za kimataifa.

Zipo story nyingi lkn nami nangoja kunufaika zaidi na darasa hili.

SWALI LANGU.
Nchi ambazo zina makampuni ya kuchapisha fedha,nao hutoa tenda kwa makampuni hayo ya ndani kuchapisha fedha zao?
...................xxxxxxc.................
Kama germany ina kampuni ya kutengeneza izoo pesa zetu,,,, nani kawapa iyoo tenda ya kiprint pesa za Tanzania??? Mbona Tanzania ya sasa haina uhusiano wowote na germany??? Sijaona uwekezaji wowote humu nchini,,,, pesa za germany nan anatengeneza??? Au n wao wenyewe?????
 
Sisi kama Tanzania tukiprint pesa zetu na kuita watu kutoka nje kutufanyia kazi na kuwalipa izo pesa kuna tatizo lolote au kuna taasis utatufunga,,,,,, aiseeeee
 
Niliskia zinatengenezwa uswizi ,na hazitengenezwi na kampuni moja
Tz tunapeleka maelezeko jinsi zinavyofaa kuonekana
Serikali haiwez agiza zi printiwe pesa nyingi ili ilipe madeni kwa sababu ku print ni ghalama
Na pia madeni hulipwa in terms of dollar mzungu hawezi pokea pesa ya madafu itabidi zibaki BOT afu tutoe dollar so work done itakua zero
Kama umesoma commerce tunasema moj ya sifa za pesa it must be relatively scarce yani isipatikane kwa wingi (angalia zimbabwe)
Hatuwez kua na kampuni ya ku print hela coz nadhani ni expensive kuiendesha
Thamani ya pesa inashuka kwa sabBu malaika amekataa kulipa madeni ya watu n haongezi mishahara while vitu vinapanda bei hivyo maisha kuwa magumu.na pia amesababisha ma hotel kufungw coz of sera zake hivyo mzunguk wa hela umekuf lazm ujue hata malaya anaponnuliwà anasàidia nchi

Kuhusu kampuni inayotengnez pesa nakujibu kwa mazingira ya marekani niliyoyaona kwenye tv katika kipindi kinaitwa how they are made
Ni hivi katik kampuni za kutengeneza pesa kuna ulinzi mkali sana mfn metal detectors na kadhalika pia unasachiwa mlangoni so huezi iba but mshahara wao ni kwa pesa ile ile ila sio yaTZ Pain killer

Kidogo nijuavyo, Serikali yetu kupitia Benki Kuu yetu hutangaza tenda, specifications na alama zinazotakiwa kwenye hela kwa makampuni ya ng’ambo yanayotengeneza hela (zikitengezwa Bongo kwa jinsi tusivyo wasiri zitajaa mitaani). Haziwezi kutengenezwa nyingi tu zikajaa mifukoni, kufanya hivyo watu hawatafanya kazi (kwa sababu hela wanazo) kwahiyo thamani ya hela itashuka, angalia Zimbabwe!
 
Back
Top Bottom