Achana na dola ndgu yangu $$$$ utasoma, utakua, utaajiriwa, utazeeka, utastaafu na kufa uzikwe wkt unaendelea kuota kuna pesa au sarafu itaireplace dola, Labda itawezekana kwa wajukuu au watukuu zako! Hamna mchina wala mtu yyt ataiondoa dola na mmarekani kakaa tu anamtazama! Unajua GDP ya US wewe? Mchina mwenyewe akifungiwa soko la US anazimika siku hiyohiyo acheni kumpa kichwa, products zote anazozalisha hamna mwafrika wala muasia anaweza kununua akamfanya aishi! Hizi story peleka kwa mtogole watakupa big up brother.