Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣Aka....!
Mie simo, kwanza hata Noah sikupata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Aka....!
Mie simo, kwanza hata Noah sikupata!
Kama Dodoma Sawa wamezoea hawa kuomba..jokes aside ..tax na tozo zote hizi hii nchi wanataka kutuhamisha TZ auNimepata hii barua ninmesikitika Sana. Wakati wa uzinduzi tuliambiwa pesa ipo. Sasa hii barua ni ya Nini? Au ndio kura kwa urefu wa kamba yake? Huku namuona waziri akiwa anatembea na Choppa. Nazani tumeona. Hii barua inamaana gani kwetu wananchi? View attachment 2183832
Wapo "wazalendo" wanaojazia hilo gap usiogope.Si waache tu.!
Hizi pesa nilishazisahau kumbe bado tunakatwa tu, siku hizi Mwigulu kimya... anatuzuga na mfumuko wa bei.Watumie pesa ya tozo za miamala ya simu. Au nazo wameishagawana?
Hapa sina niliisikia redioni, nina hakika na nilichoandika, Samia mwenyewe alitamka hayo.Wakati haya yote yanafanyika Waziri anatembea na chopa, unazani hiki ni nini?
Hata hiyo, natamani unitumie hiyo clip/Vedio nisikilize na mimi maana sina kumbukumbu hiyo,