Pesa zangu ni zangu sijaja duniani kusaidia Ulimwengu

Pesa zangu ni zangu sijaja duniani kusaidia Ulimwengu

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kuingia gharama Kwa binadamu mwenzangu eti nimsaidie yaani pesa zangu nihangaike kubet dakika 90 za moto nipate mapesa halafu atokee mtu mmoja aseme eti saidia wasiojiweza, mara saidia yatima. Hivi mna akili kweli? Mimi ndio niliofanya watu hao wasijiweze au mimi ndio baba au Serikali ya hao watoto kwenye hii dunia useme utoe hela umsaidie asiejiweza utawamaliza pesa zangu nitazila mpaka nitakapo kufa kamari niicheze Kwa kurisk pesa zangu nyingi halafu wajinga fulani waje kuzila huku nikiwa hai nawaona ningekua sina pesa nani angeniasidia hapana aisee pesa zangu ni zangu najua mtakuja kusema.

Nina roho mbaya potelea mbali.
 
03B394EC-D5B8-4AB3-9014-ADDEDF1A9FAF.jpeg
 
Nimepitia umasikini uliokubuhu ila sijawahi kuomba pesa. Hata kama pesa imeokotwa, nako kuokota ni jasho, ni kwa nini na wewe usiokote? Hakuna kuomba pesa kama upo timamu, fanya kazi upate pesa, sio kuomba.
Tupo pamoja siwezi saidia mtu mwenye afya njema atafute Kwa jasho hamna msaada hapa pesa zangu ni zangu nitazila mpaka kifo
 
Nimepitia umasikini uliokubuhu ila sijawahi kuomba pesa. Hata kama pesa imeokotwa, nako kuokota ni jasho, ni kwa nini na wewe usiokote? Hakuna kuomba pesa kama upo timamu, fanya kazi upate pesa, sio kuomba.
Mimi kama Sina hela route yangu ni moja tu nyumbani-kazini, bar sitaki hata kupaona Huwa napita mbali, mara nyingine weekend naweza amua nalala... Nikipata hela nakula Bata kimpango wangu nazima hata simu, weekend naenda viwanja vya mbali agiza misosi na tungi najipongeza... Sasa unamkuta mtu Yuko bar anaomba omba kununuliwa pombe mathr fucker kabisa...

Sasa Nina washkaj hao utakuta oya Leo niazime ten mara haijapita wiki mara hela Tena huu upimbi unakera sana.
 
Mimi kama Sina hela route yangu ni moja tu nyumbani-kazini, bar sitaki hata kupaona Huwa napita mbali, mara nyingine weekend naweza amua nalala... Nikipata hela nakula Bata kimpango wangu nazima hata simu, weekend naenda viwanja vya mbali agiza misosi na tungi najipongeza... Sasa unamkuta mtu Yuko bar anaomba omba kununuliwa pombe mathr fucker kabisa...

Sasa Nina washkaj hao utakuta oya Leo niazime ten mara haijapita wiki mara hela Tena huu upimbi unakera sana.
dunia ukiwa na huruma utateseka pesa zako ni zako hamna kumpa mtu ungekua huna nani angekupa hizo pesa
 
Back
Top Bottom