Pesa zangu ni zangu sijaja duniani kusaidia Ulimwengu

Familia Je?
 
Binadamu yeyote kwenye pesa Kaa nae mbali ipo siku mtagombana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nigombane na mtu ambaye kapaki gari uwani na kuchukua million 2. Utagombana na hao wasio na collateral
 
Duniani hukujileta, uliletwa. Hao waliokuleta walipoteza pesa zao kwa ajili yako. Leo wewe hutaki kusaidia pesa wengine??? πŸ€”
 
Sawa sawa mwendo wa kukaziana..
Domana pdidyy alikuwa anawanyuka si wanataka hela na umaarufu

Ova
 
Kweli mkuu halafu sikuhizi watu wamekuwa ombaomba kupita kiasi yaani kama mimi karibia kila siku nakutana na vizinga sio wanaume sio wanawake , ndugu hadi marafiki .
Kwa kweli ukauzu unahitajika ukijifanya una roho nzuri utakuwa mtu wa kutoa fedha bila mpangilio
 
Ulishashinda kiasi gani?
 
Hata mie utanitosa mkuu uki-win?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…