Peter Gasaya, Boss wa JATU apandishwa Mahakamani. Wale mliotapeliwa na JATU poleni

Peter Gasaya, Boss wa JATU apandishwa Mahakamani. Wale mliotapeliwa na JATU poleni

udanganyifu .... Umasikini wa mawazo na Ujinga ni janga linaloitafuna TZ, baadae atachiwa huru ka Mr Kuku na kundelea na maisha yake ka kawaida
 
Mbona huyo mkubwa tu.

Umemsahau Mr Kuku (Tariq Machibya) alipiga watu 17B akiwa 29yr pekee.

Alipokiri kosa zikataifishwa 5.4B zilizokuwa zimetulia tu kwenye account yake.

Wajinga ni fursa nene ukichekecha vizuri ubongo!
 
Hizi kampuni za upatu zina watu wakubwa nyuma yake, Wataanza hivi hivi baadae wanamfanya mmojawapo mbuzi wa kafara na hiyo ni mipango tu ili ionekane kuwa watu wameibiwa na serikali imeliona hilo.
JATU, Mr Kuku, Vanila village ni watu wazito Serikalini, Jiulize Mr Kuku yuko wapi? Alishafungwa jela? Tena ametoka na akawakolia waganga watoe tena ili aje alipe awalipe taratibu kinyume chake yeye hana hela zimechukuliwa na Serikali.
Mkitaka kujua hizi biashara zina watu wakubwa nyuma yake, fanyeni kitu kimoja tu, kagawaneni mali zote kuanzia majengo na vinginenvyo vamieni muone moto wa serikali, yaani hapa mali hizo zitalindwa kwa nguvu zote.
Wale wanaomdai Mr Kuku siku jotoeni ufahamu kavamieni shamba lake la kuku mbebe kuku wa kutosha kufidia deni muone nguvu ya mlevi.
 
Jatu ni wale jamaa wa kipindi waliokuna na ule mchezo wa unatoa pesa alafu unalimiwa unauziwa. Mwisho wa siku watu wakatapeliwa.

Hatimaye kaingia kwenye 18, serikali imemkamata na kumshtaki kwa kujipatia bil 5 kwa njia za udanganyifu wa kutapeli watu.

Naipongeza serikali, Ila pia na nyie wabongo wenzangu tumieni akili. Nani akulimie akuuzie, wewe kazi yako kusubiri pesa tu.

Mtatapeliwa hadi lini? Mr.Kuku aliwachapa, Ila hamkusikia, Kuna vanilla aliwachaapa pia, namaingo , akaja Jatu, na Sasa Kuna wale soila.

Mbaya zaidi hawa watu hupata vibaraka na watetezi wengi sana pale wanapoanza huu utapeli, wenye akili wakionya tu basi hushambuliwa.

Naiomba serikali hii iwe mara ya mwisho, wakitapeliwa tena achaneni na hizi kesi. Acheni watu watapeliwe mpaka akili ziwakae sawa

Hii kitu hata Mimi nilitaka kuingia!!,
 
Embu wakuu njoo tuseme kitu maana tahadhari zote zilitolewa hapa hapa dhidi hyo kampuni ya jatu ,leo hi nimesikia kijana wa miak 32 ndie mmiliki was kampuni hyo ya kitapeli ,ameshtakiwa kwa kuchukua Zaid ya billion 5 za watu Kisha kuzungisha katika kilimo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kijana mzembe alitakiwa aondoke nchini kwenda kuishi ulaya, wenzie raia waki geni wakivuna pesa za wajinga wanaondoka
 
Kinachoniuma bado watu hawashtuki yan wa TZ ni kama tuko mazezeta vile. Wataibuka wengine na wengine na bado watu wataenda kuwekeza tu.

Elimu, Elimu Elimu+Exposure minus Africanacity
Mkuu mbona ukichunguza vizuri walio tapeliwa ni watu wenye elimu ya juu, kwasababu mwananchi wa chini kabisa hawaijui hii kampuni
 
Walikuwepo pale sabasaba kuhamasisha watu wanunue hisa..........
 
Ona kalivovaa mtu anaevaaga visuruali vya kipumbavu kama vya bwana JATU huwa namuona na yeye mpumbavu
 
Back
Top Bottom