Peter Gasaya, Boss wa JATU apandishwa Mahakamani. Wale mliotapeliwa na JATU poleni

Peter Gasaya, Boss wa JATU apandishwa Mahakamani. Wale mliotapeliwa na JATU poleni

Na hizo hela serikali ikizizuia uwa hazirudishwi.
 
Nampongeza sana. Hii nchi ukitaka kufanya ushenzi hakikisha inakuwa ni ushenzi wa mabilioni. Huyo kwanza kesi yake nyepesi sio ya uhujumu. Atasumbuka kwa muda tu kama ilivyokuwa kwa Mr Kuku.
 
Hizi kampuni za upatu zina watu wakubwa nyuma yake, Wataanza hivi hivi baadae wanamfanya mmojawapo mbuzi wa kafara na hiyo ni mipango tu ili ionekane kuwa watu wameibiwa na serikali imeliona hilo.
JATU, Mr Kuku, Vanila village ni watu wazito Serikalini, Jiulize Mr Kuku yuko wapi? Alishafungwa jela? Tena ametoka na akawakolia waganga watoe tena ili aje alipe awalipe taratibu kinyume chake yeye hana hela zimechukuliwa na Serikali.
Mkitaka kujua hizi biashara zina watu wakubwa nyuma yake, fanyeni kitu kimoja tu, kagawaneni mali zote kuanzia majengo na vinginenvyo vamieni muone moto wa serikali, yaani hapa mali hizo zitalindwa kwa nguvu zote.
Wale wanaomdai Mr Kuku siku jotoeni ufahamu kavamieni shamba lake la kuku mbebe kuku wa kutosha kufidia deni muone nguvu ya mlevi.
Akili kubwa....
 
Peter Isare Gasaya ni mkurya huyo jamaa

Kwa maisha ya sasa namna yalivyo-tight na uongozi uliopo ambao kusimamia sheria ni ngumu na watanzania walivyo wavivu wa kufikiri na kuchuja mambo kabla hawajachukua hatua naona huyo jamaa yupo sahihi.
Acha watu wapigwe akili zije.

Haya makundi ya utapeli nchi hii ni mengi kila kukicha mtu anasikia watu wamepigwa hela, mbaya zaidi serikali ndo inayasajili cha ajabu mtanzania anabeba hela eti kwenda kuwekeza na hiyo hela kaipata kwa shida na kujinyima.

Ukipata chance ya kumpiga mtu hela bila kutumia nguvu eti ni ushawishi tu piga akili ikirejea ndo aatashituka kuwa kapigwa.

Kama hujihurumii nani atakuhurumia
Hakuna mtu atabadili maisha yako kwa ulimwengu huu wa sasa jipambanie tu hela zipo kwa waTz.

Hizo hela ahifadhi tofauti na bank then hiyo hiyo imsaidie kuendesha kesi dakika chache tu atakuwa free ( kumbuka maneno ya Makonda na Rostam)
 
Back
Top Bottom