Hizi kampuni za upatu zina watu wakubwa nyuma yake, Wataanza hivi hivi baadae wanamfanya mmojawapo mbuzi wa kafara na hiyo ni mipango tu ili ionekane kuwa watu wameibiwa na serikali imeliona hilo.
JATU, Mr Kuku, Vanila village ni watu wazito Serikalini, Jiulize Mr Kuku yuko wapi? Alishafungwa jela? Tena ametoka na akawakolia waganga watoe tena ili aje alipe awalipe taratibu kinyume chake yeye hana hela zimechukuliwa na Serikali.
Mkitaka kujua hizi biashara zina watu wakubwa nyuma yake, fanyeni kitu kimoja tu, kagawaneni mali zote kuanzia majengo na vinginenvyo vamieni muone moto wa serikali, yaani hapa mali hizo zitalindwa kwa nguvu zote.
Wale wanaomdai Mr Kuku siku jotoeni ufahamu kavamieni shamba lake la kuku mbebe kuku wa kutosha kufidia deni muone nguvu ya mlevi.