Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Sijatetea Mahakama bali nimefafanua , kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Chadema inasimamia kesi zote zinazowakabili wanachama wake , sasa mtu anapoondoka ama kutimuliwa uanachama kimsingi hawezi kutetewa na Chadema tena .WEWE Erythrocyte, of all the people, leo umekuwa wa kuitetea mahakama ya kibongo? What's the world come to?
Dunia inaenda kasi sanaπ.Imenikumbusha Mashinji na Mdee walipokutana makamani wakati Mashinji kaunga mkono juhudi Mdee alikataa mkono wa Mashinji
Huwezi kujitoa kama kuna mgongano wa kimaslahi according to legal ethics uliyosoma?Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala...
Sijatetea Mahakama bali nimefafanua , kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Chadema inasimamia kesi zote zinazowakabili wanachama wake , sasa mtu anapoondoka ama kutimuliwa uanachama kimsingi hawezi kutetewa na Chadema tena .
Hili liliwahi kutokea kwa Mashinji na Wema Sepetu
Ni kweli kabisa ndugu ndugu zanguHalima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
ππππππππ€π€
Au ushahidi unekosekanaBaada ya muda tutahabarishwa kwamba DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Halima na Esther Bulaya ni wabunge na Spika Ndugai kasema kilichotokea pale magereza Segerea ulikuwa ni mfumo dume wa Chadema kumlinda Mbowe.
Hakuna kesi!
Chadema inafadhili lakini bado Wakili ni Kibatala , halafu Kibatala ni Mwanasheria wa Chadema , si mwanasheria binafsi wa Mdee .Sijui kwamba CHADEMA inafadhili utetezi wa kesi za wanachama.
Nitajuaje?....
Hiyo kesi muda si mrefu utasikia imefutwaYes, Naamini ametumia vema 'usomi'wake kutambua consequences za kuwatetea hao wasaliti.
Wapambane na hali yao au kama vipi wamtafute Muuzasura Alberto asimamie 'show' yao.
Kwahiyo Bawacha ni wanaume?Kwahiyo hayo akina Mdee ndio wanawake?
Kesi hii Ruge na mke wa tumbili hawamo?Hiyo kesi muda si mrefu utasikia imefutwa
Watabaki wengine.Hii kesi si anayeyuka tu.
Maana tayari kaunga juhudi. [emoji276]
jessica kishoa ni miongoni mwa walioachwa kutetewa na kibatala , sidhani kama Ruge yumo kwenye kesi hiiKesi hii Ruge na mke wa tumbili hawamo?
Wataendelea kuzungushwa hao wengine.Watabaki wengine.
Halima na Esther Bulaya ni wabunge na Spika Ndugai kasema kilichotokea pale magereza Segerea ulikuwa ni mfumo dume wa Chadema kumlinda Mbowe.
Hakuna kesi!
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu. Na mm lazima niwaambie ukweri tu.Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
ππππππππ€π€
Kwani sisiem hakuna mawakili wasomi?!Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala...
Tumeshaiweka kwenye kitabu cha historia.Hiyo kesi muda si mrefu utasikia imefutwa