Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo pendwa wa JF!Hii ndio Afrika na hizi ndio siasa zake
Au DPP anaweza kwenda kuwatetea KortiniBaada ya muda tutahabarishwa kwamba DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Vema wangewakilishwa na Wakili Mkuu wa Serikali(Solicitor General)Wabunge wa viti maalumu Halima James Mdee, Esther Bulaya na Jesca Kishoa wameachana na Wakili wao wa zamani Peter Kibatala aliyekuwa akiwawakilisha katika kesi inayowakabili mahakama ya kisutu.
Leo wabunge hao wamewakilishwa na Wakili wao mpya kesi yao ilipotajwa katika mahakama ya kisutu.
Source Eatv habari.
Maendeleo hayana vyama!
Wao ndio wametafuta Wakili mwingine hawana imani na Kibatala!Hawa si wameshafukuzwa CHADEMA? ina maana Chama chao kimejitoa kuwatetea au hakitajihusisha nai tena?
Tanzania ya maajabu, kuna waliohamia CCM Mwendesha mashtaka akawafutia Kesi
sasa kosa walilolifanya lilitokana kisiasa na CDM
Msaada hapo tutani Petro E. Mselewa
nasema uongo ndugu zangu??🙄Mkuu we ni msahaulifu sana.rejea ile kesi ya kina mbowe walipotiwa hatiani kifungo au faini.
Ile faini wanachadema walichanga sh mia,mia tano,buku.na ikapatikana ndani ya masaa ya muda Wa fine.
Usibeze kwamba chadema haina wafuasi.
Chadema inapendwa sana kuliko ccm,in vile utawala Wa sasa in Wa kikatili sana ukijionyesha Sana hadharani ni hatari.
Ndio mkuunasema uongo ndugu zangu??🙄
mkuu kwa taarifa yako. Tz ina raia kama 56M na ccm ina wanachama hai ( wenye kadi) karibia 26M bado ambao hawana kadi kama wote sasa cdm mtakuwa nao wangapi?? Kumbuka wapiga kura nikama 30MNdio mkuu
Nimezaliwa na kuishi Tanzania kwa takribani miaka 48,hakuna kitu utanidanganya.mkuu kwa taarifa yako. Tz ina raia kama 56M na ccm ina wanachama hai ( wenye kadi) karibia 26M bado ambao hawana kadi kama wote sasa cdm mtakuwa nao wangapi?? Kumbuka wapiga kura nikama 30M
Tembelea blog zao ccm ujionee mkuu😉
Simu moja tu hiyo kesi inafutwa.Wabunge wa viti maalumu Halima James Mdee, Esther Bulaya na Jesca Kishoa wameachana na Wakili wao wa zamani Peter Kibatala aliyekuwa akiwawakilisha katika kesi inayowakabili mahakama ya kisutu.
Leo wabunge hao wamewakilishwa na Wakili wao mpya kesi yao ilipotajwa katika mahakama ya kisutu.
Source Eatv habari.
Maendeleo hayana vyama!
Ccm bana toka mmewanunua basi mmekuwa watetezi wao .wachukueni sisi tumewakataa.Kwanza Halima na Bulaya hawana kesi ya kujibu. Kibatala asijishaue
je unafaham kwamba nimesimamia uchaguzi huu 2020??Nimezaliwa na kuishi Tanzania kwa takribani miaka 48,hakuna kitu utanidanganya.
Ccm imebakiza mtaji Wa wazee tu,ila vijana ndio wengi kuliko wazee na majority wamezaliwa kipindi cha vyama vingi,na hwaijui ccm.
Mi mwenyewe Nina kadi ya ccm ila sio mwanaccm,Nina kadi ya ccm kuzuga tu nisinyanyaswe.na wengi ndo tulivyo kwa hiyo usijdanganye.
Kituo nilichopiga kura nilikuwa na orodha ya wapiga kura 400,mpaka SAA nane naondoka kituoni nilikuwa wapiga kura 86/waliojitokeza lakini wakati
wa matokeo ikaonekana wapiga kura 396/walipiga kura.ila mpaka mwisho hawakufika 200.
Kwa nini chama chenu hakiwapendi akina mama? Watu wamevunjwa mikono wakikitetea chama, leo wanafukuzwa na kusemwa na watu ambao mliogopa hata kutoka nje ya nyumba zenu Wakati viongoz wametangaza maandamano kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita.Ccm bana toka mmewanunua basi mmekuwa watetezi wao .wachukueni sisi tumewakataa.
kuna kituo kimoja Temeke kilitwa B , maana kulikuwa na A , B , C , na D , Msimamizi aliniambia kwamba jumla ya wapiga kura walikuwa 150 lakini wapiga kura waliojitokeza hawakufika 100 , Tundu Lissu alipata kura 76 , Magufuli 16 , zilizobaki waligawana wengine .je unafaham kwamba nimesimamia uchaguzi huu 2020??
Unataka useme kipindi unapga kura ulipewa taarifa kuwa wangapi wamepiga kura?? Wewe kama nani kwanza??
Propaganda za kishamba kabisa mkuu🤔
Any way nilichogundua wewe pia ni ccm dam zaidi hata ya polepole😂😂
Kama sio kadi ya nini kama mwanamapinduzi kweli??🤗
Chama kisichowapenda akina mama kinawezaje kuweka wagombea wengi wanawake kwenye ubunge na udiwani ?Kwa nini chama chenu hakiwapendi akina mama? Watu wamevunjwa mikono wakikitetea chama, leo wanafukuzwa na kusemwa na watu ambao mliogopa hata kutoka nje ya nyumba zenu Wakati viongoz wametangaza maandamano kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita.
Mara zote anayeziba mapengo kama haya ni Alberto Msando