Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising) ktk nchi ya Libya, Misri, n.k.Kuna kama vile mchezo wa Police Tanzania kutaka kujishindanisha na Wananchi ili kuonyesha nguvu zao.
Nakumbuka miaka ya nyuma huko Nachingwea Lindi polisi walimkamata Luteni wa JWTZ kibabe mtaani na kumpeleka kituoni. Lakini balaa lililotokea baada ya hapo ni wenzake kwenda kituoni na kutembeza mikanda na mabuti na kuondoka na mwanajeshi mwenzao.
Sasa polisi wa sasa wanapenda kupimana nguvu na wananchi licha ya matukio kadhaa ya vituo kufungiwa kazi kama kule Serengeti.
Uadui wa ubabe wao uko katika hatua za mwishoni kuvumiliwa na wananchi, wajichunge.
Nimekuelewa sanaSiyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising)
Chakaza, sielewi msomi mbobezi kama wewe unafikiri ni polisi. Polisi masikini hata hizo nguvu hawana. This is for real wala usisumbuke kuwasema, hawa ni wanyonge kama wewe.Kuna kama vile mchezo wa Police Tanzania kutaka kujishindanisha na Wananchi ili kuonyesha nguvu zao.
Nakumbuka miaka ya nyuma huko Nachingwea Lindi polisi walimkamata Luteni wa JWTZ kibabe mtaani na kumpeleka kituoni. Lakini balaa lililotokea baada ya hapo ni wenzake kwenda kituoni na kutembeza mikanda na mabuti na kuondoka na mwanajeshi mwenzao.
Sasa polisi wa sasa wanapenda kupimana nguvu na wananchi licha ya matukio kadhaa ya vituo kufungiwa kazi kama kule Serengeti.
Uadui wa ubabe wao uko katika hatua za mwishoni kuvumiliwa na wananchi, wajichunge.
Asante sana kwa maelezo yako mafupi na yanayoeleweka.Mara nyingi hawa wanaharakati hua wana watu wao wa karibu wenye access za kuingia kwenye mitandao yao ya kijamii mana mambo kama haya ya kukamatwa ni kawaida kwao hua wanafanya hvy ili kutoa taarifa chap kwa haraka
Mpuuzi wewe, jeshi la polisi la Tanzania? Hapana. Jeshi la polisi linalojielewa na lenye nguvu kutumia katiba na sheria linaweza kukataa amri ya TISS, lakini ujuwe TISS wanakuja na sheria ya Usalama wa Taifa, huwezi kuhoji hapo maana ya usalama wa Taifa, polisi ni kutii tu.Siyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising) ktk nchi ya Libya, Misri, n.k.
Kwani sio mzimaaAah wapi
Ndio c anatafuta umaarufu wa siasa yai kinufupi chadema wote wanapenda kukamatwa na kuongea kwa ukaliNafikiri Huwa anapendwa kukamatwa
Tutajie hao waKuna kama vile mchezo wa Police Tanzania kutaka kujishindanisha na Wananchi ili kuonyesha nguvu zao.
Nakumbuka miaka ya nyuma huko Nachingwea Lindi polisi walimkamata Luteni wa JWTZ kibabe mtaani na kumpeleka kituoni. Lakini balaa lililotokea baada ya hapo ni wenzake kwenda kituoni na kutembeza mikanda na mabuti na kuondoka na mwanajeshi mwenzao.
Sasa polisi wa sasa wanapenda kupimana nguvu na wananchi licha ya matukio kadhaa ya vituo kufungiwa kazi kama kule Serengeti.
Uadui wa ubabe wao uko katika hatua za mwishoni kuvumiliwa na wananchi, wajichunge.
tawala waovu acheni ujinga nchi hii IPO imara nyie endeleeni na akili zenu za kutafuta umaarufu wa siasaSiyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising) ktk nchi ya Libya, Misri, n.k.
PT kupokea amri kutoka TISS??Mpuuzi wewe, jeshi la polisi la Tanzania? Hapana. Jeshi la polisi linalojielewa na lenye nguvu kutumia katiba na sheria linaweza kukataa amri ya TISS, lakini ujuwe TISS wanakuja na sheria ya Usalama wa Taifa, huwezi kuhoji hapo maana ya usalama wa Taifa, polisi ni kutii tu.
Ndio c anatafuta umaarufu wa siasa yai kinufupi chadema wote wanapenda kukamatwa na kuongea kwa ukali
Natamani Hamza afufukeKuna kama vile mchezo wa Police Tanzania kutaka kujishindanisha na Wananchi ili kuonyesha nguvu zao.
Nakumbuka miaka ya nyuma huko Nachingwea Lindi polisi walimkamata Luteni wa JWTZ kibabe mtaani na kumpeleka kituoni. Lakini balaa lililotokea baada ya hapo ni wenzake kwenda kituoni na kutembeza mikanda na mabuti na kuondoka na mwanajeshi mwenzao.
Sasa polisi wa sasa wanapenda kupimana nguvu na wananchi licha ya matukio kadhaa ya vituo kufungiwa kazi kama kule Serengeti.
Uadui wa ubabe wao uko katika hatua za mwishoni kuvumiliwa na wananchi, wajichunge.
Thubutuuu!!!Sasa si yuko kwenye mikono salamaa
Nilitaka kusema kitu kama hiko, hawahaminiki hawa raiaInabidi ujiwai kupost kua uko wapi awachelewi kusema umejiteka
Ni vema ametoa location mapema kabla hajajikuta mkoa ule wa kata…. 😂Ame tweet mwenyewe kwenye mtandao wa X zamani Twitter
====
Kupitia ukurasa wake wa X Peter Madeleka ameweka ujumbe akisema amekamatwa na polisi na anashikiliwa katika kituo che Central Dar, ambapo ameomba msaada wa Mawakili.
Pia soma: Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa
"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.
"Nipo Central Polisi Dar. Nimekamatwa."
Hakika angeweza angewapiga na Picha hao Polisi waliomkamata kisha akazitupia X"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.
Angewapiga Picha yaan anagonga nao selfie alafu anatuma X Polisi hawana shida wangekubari tuMadeleka ni Wakili wa Mahakama kuu ajizamini tu hakuna shida!!