Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kuna hakimu kabla ya kutoa hukumu uwa anaingia toilet kuvuta jani kwanza.!!Kawaida sana.
Nna rafiki yangu naye wakili ana ujinga ujinga mwingi sana.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hakimu kabla ya kutoa hukumu uwa anaingia toilet kuvuta jani kwanza.!!Kawaida sana.
Polisi wana mambo ya kishamba sanaAme tweet mwenyewe kwenye mtandao wa X zamani Twitter
====
Kupitia ukurasa wake wa X Peter Madeleka ameweka ujumbe akisema amekamatwa na polisi na anashikiliwa katika kituo che Central Dar, ambapo ameomba msaada wa Mawakili.
Pia soma: Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa
"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.
"Nipo Central Polisi Dar. Nimekamatwa."
=====
UPDATES: 1445HRS
======
Nikiwa na mawakili wangu tukiondoka katika kituo kikuu cha polisi dar es salaam, baada ya kuachiwa bila masharti. Awali nilizuiliwa katika kituo hicho, nilipokuwa nimekwenda na mteja wangu kuripoti wizi wa tzs 10 bilioni alizoibiwa.
View attachment 3053730