Pre GE2025 Peter Madeleka amekamatwa na Polisi, aachiliwa bila Masharti baada ya kuomba msaada kwa Mawakili

Pre GE2025 Peter Madeleka amekamatwa na Polisi, aachiliwa bila Masharti baada ya kuomba msaada kwa Mawakili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising) ktk nchi ya Libya, Misri, n.k.
📌📌📌
 
Hivi watu wakipata maumivu weww unafarijikaje?

Nakumbuka ulivyokuwa ukilalama hapa enzi za shujaa
Sasa huyu jamaa tangu aanze kuwatetea machangu, anakesha nao usiku, wampe bure, sasa ukikamatwa chocho hueleweki unafanya nini na suruali imeshushwa wakuache tu?
 
This was serious mpaka akaomba msaada??
 
Ame tweet mwenyewe kwenye mtandao wa X zamani Twitter

====

Kupitia ukurasa wake wa X Peter Madeleka ameweka ujumbe akisema amekamatwa na polisi na anashikiliwa katika kituo che Central Dar, ambapo ameomba msaada wa Mawakili.

Pia soma: Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa

"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.

"Nipo Central Polisi Dar. Nimekamatwa."

=====

UPDATES: 1445HRS

======

Nikiwa na mawakili wangu tukiondoka katika kituo kikuu cha polisi dar es salaam, baada ya kuachiwa bila masharti. Awali nilizuiliwa katika kituo hicho, nilipokuwa nimekwenda na mteja wangu kuripoti wizi wa tzs 10 bilioni alizoibiwa.
View attachment 3053730
Ila dogo ajiangalie sana
 
Sasa huyu jamaa tangu aanze kuwatetea machangu, anakesha nao usiku, wampe bure, sasa ukikamatwa chocho hueleweki unafanya nini na suruali imeshushwa wakuache tu?
Umefurahi mwenyewe kumzushia mwenzako uongo. Inakusaidiaje kwa mfano?
 
Hii tabia italeta shida.
Siku moja nilipokuwa nasubiri usafiri sehemu fulani, walisikika vijana wakisema " ujinga wetu ndio uliotufikisha hapa, ukiona ndugu yako kaumizwa na polisi tafuta familia yoyote ya police piga moto"
Kauli kama hii inaonysha uadui kati ya police na wananchi. Na inaweza kuleta madhara kwa family za police zisizohusika.
Na baada ya kupiga moto jiandae kufungwa kifungo cha maisha kwa kosa la Arson.
 
Nashukuru leo nimemuokoa Mtanzania mwenzangu dhidi ya kulala Polisi mpaka Jumatatu. Maana alitweet saa 5:45 asubuhi na mimi nikarusha humu jamvini saa 6:01 ndani ya dakika 15 ikawa viral.

Na by saa 9:45 akawa amefikiwa na kudhaminiwa na mawakili wenzie

Nipeni MAUA yangu TAFADHALI

Screenshot_20240727_115237_X.jpg
 
Back
Top Bottom