Pre GE2025 Peter Madeleka amekamatwa na Polisi, aachiliwa bila Masharti baada ya kuomba msaada kwa Mawakili

Pre GE2025 Peter Madeleka amekamatwa na Polisi, aachiliwa bila Masharti baada ya kuomba msaada kwa Mawakili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tutajie hao wa

tawala waovu acheni ujinga nchi hii IPO imara nyie endeleeni na akili zenu za kutafuta umaarufu wa siasa
Hivi hao mafisadi ambao wamekuwa wakitajwa kila Mwaka kwenye Ripoti ya CAG ni watawala wazuri????

Hao Watu wasiojulikana ambao wamekuwa wakiteka watu, kuwekea Watu sumu, kuwaua, au kuwashambulia kwa silaha mbali mbali za moto ni Watu wema au ni Watu wazuri hao?
Hao Watawala wanaotumia vibaya Sana fedha za Kodi za Wananchi kwenye matumizi ya anasa ni Watu wazuri hao?

Suala la Umaarufu wa kisiasa hapa linakujaje??
Ina maana unataka kusema kwamba vitendo vya ufisadi, utekaji, Mauaji ya kiholela, wizi, n.k vimekuwa vikifanywa na watawala/Watu wazuri???
 
Mawazo huru:-
Kamata kamata,poteza poteza ni mbinu inayotumika Kwa sana kumuondolea mama uhalali wa kugombea mwakani!!

Namna pekee ya kuondoa Hali hii ni mama kutoka hadharani na kusema "Mwili wangu hauruhusu kuendeleza mikiki mikiki ya kuwania uongozi ,baada ya kutafakari Kwa kina nimeona wajukuu wanamhitaji sana bibi yao nakiachia chama mmamuzi""!
 
Ame tweet mwenyewe kwenye mtandao wa X zamani Twitter

====

Kupitia ukurasa wake wa X Peter Madeleka ameweka ujumbe akisema amekamatwa na polisi na anashikiliwa katika kituo che Central Dar, ambapo ameomba msaada wa Mawakili.

Pia soma: Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa

"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.

"Nipo Central Polisi Dar. Nimekamatwa."
Nguvu ya Tech safi sana.

Ndio maana wakikukamata cha kwanza ni kukuchuna simu yako
 
Mawazo huru:-
Kamata kamata,poteza poteza ni mbinu inayotumika Kwa sana kumuondolea mama uhalali wa kugombea mwakani!!

Namna pekee ya kuondoa Hali hii ni mama kutoka hadharani na kusema "Mwili wangu hauruhusu kuendeleza mikiki mikiki ya kuwania uongozi ,baada ya kutafakari Kwa kina nimeona wajukuu wanamhitaji sana bibi yao nakiachia chama mmamuzi""!
Asiposhtuka atachafuka kama mtangulizi wake.
 
haya mapolisi sijui hutumia ma......kufikiri.
hivi hawana kazi nyingine za kufanya
Asilimia kubwa ya hawa jamaa ni wanyanyasaji wa raia, na ndio kazi yao hiyo.
Mimi nikimwona polisi yeyote, huwa najisikia nimeona mla-RUSHWA, DHALIMU,MKANDAMIZAJI, MBAMBIKIZIAJI n.k.
Wanajiita wanausalama ila mimi huwa sjisikii salama kabisa ninapokutana na polisi.
 
PT kupokea amri kutoka TISS??
Wapi kwenye comment yangu uliyonukuu Mimi nimeeleza hayo?

Please, uwe unasoma vizuri na kutafakari kwanza kabla ya kutoa Maoni yako humu mtandaoni.
Kifupi mimi nakataa kabisa kama Polisi wa Tanzania watakuwa na utashi wa kufanya wewe unayosema. Wao hupokea tu amri kutoka TISS au Juu na kutekeleza, wangekuwa huru au kutumia katiba na sheria basi wanayoyafanya sasa hivi hayangekuwepo.
 
Kuna kama vile mchezo wa Police Tanzania kutaka kujishindanisha na Wananchi ili kuonyesha nguvu zao.
Nakumbuka miaka ya nyuma huko Nachingwea Lindi polisi walimkamata Luteni wa JWTZ kibabe mtaani na kumpeleka kituoni. Lakini balaa lililotokea baada ya hapo ni wenzake kwenda kituoni na kutembeza mikanda na mabuti na kuondoka na mwanajeshi mwenzao.
Sasa polisi wa sasa wanapenda kupimana nguvu na wananchi licha ya matukio kadhaa ya vituo kufungiwa kazi kama kule Serengeti.
Uadui wa ubabe wao uko katika hatua za mwishoni kuvumiliwa na wananchi, wajichunge.
Hii tabia italeta shida.
Siku moja nilipokuwa nasubiri usafiri sehemu fulani, walisikika vijana wakisema " ujinga wetu ndio uliotufikisha hapa, ukiona ndugu yako kaumizwa na polisi tafuta familia yoyote ya police piga moto"
Kauli kama hii inaonysha uadui kati ya police na wananchi. Na inaweza kuleta madhara kwa family za police zisizohusika.
 
Back
Top Bottom