Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Wewe ni mpumbavuSubiri zamu Yako au ndugu yako ifike Kisha uje kutema huu ujinga ulioandika hapa
📌📌📌Siyo kila kitendo Cha Jeshi la Polisi au Jeshi lingine lolote lile kukamata Raia, kuwapiga au kuwaua kinaweza kuwa ni kitendo Cha Nia ovu dhidi ya Raia, la hasha, wakati mwingine vitendo vya namna hiyo huwa ni njia nyingine mbadala ya Jeshi ktk kuuamsha umma wa Wananchi ili uchukue hatua stahiki dhidi ya Watawala waovu waliopo madarakani wasiowajibika kwa Wananchi. Mbinu ya namna hii pia iliwahi kutumika na Jeshi nchini Tunisia, hali iliyosababisha mabadiliko makubwa ya Kiutawala nchini humo na hata kusababisha mapinduzi/mageuzi makubwa ya Kiutawala kwenye nchi nyingi za ki-Arab (Arab uprising) ktk nchi ya Libya, Misri, n.k.
Sasa huyu jamaa tangu aanze kuwatetea machangu, anakesha nao usiku, wampe bure, sasa ukikamatwa chocho hueleweki unafanya nini na suruali imeshushwa wakuache tu?Hivi watu wakipata maumivu weww unafarijikaje?
Nakumbuka ulivyokuwa ukilalama hapa enzi za shujaa
Kwahiyo umefika polisi tayari ukakuta ni kk hajakamatwa au?Bwege tu huyo
Mtu wa kiki za kibwege sana huyo wakili
Ila dogo ajiangalie sanaAme tweet mwenyewe kwenye mtandao wa X zamani Twitter
====
Kupitia ukurasa wake wa X Peter Madeleka ameweka ujumbe akisema amekamatwa na polisi na anashikiliwa katika kituo che Central Dar, ambapo ameomba msaada wa Mawakili.
Pia soma: Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa
"Naomba msaada wa MAWAKILI. Nimekamatwa na nipo hapa Central Police.
"Nipo Central Polisi Dar. Nimekamatwa."
=====
UPDATES: 1445HRS
======
Nikiwa na mawakili wangu tukiondoka katika kituo kikuu cha polisi dar es salaam, baada ya kuachiwa bila masharti. Awali nilizuiliwa katika kituo hicho, nilipokuwa nimekwenda na mteja wangu kuripoti wizi wa tzs 10 bilioni alizoibiwa.
View attachment 3053730
Amekamwatwa kwa tuhuma za utapeliKwahiyo umefika polisi tayari ukakuta ni kk hajakamatwa au?
lipolisi ni lipolisi tu, huyo dogo naye ni lipolisi asituzingue, alienda kutembelea washkaji zake.Madeleka ni Wakili wa Mahakama kuu ajizamini tu hakuna shida!!
Kawaida sana.Huyo wakili ananichekeshaga sana, niliona anasema kabla hajaingia mahakamani kwenye kesi za wateja wake kwanza anashtua na bia mbili.!!
UnashonwaTutajie hao wa
tawala waovu acheni ujinga nchi hii IPO imara nyie endeleeni na akili zenu za kutafuta umaarufu wa siasa
Hivi katika timu yenu ya machawa kuna mjinga zaidi yako kweli?Bwege tu huyo
Mtu wa kiki za kibwege sana huyo wakili
Washamwachia bila masharti kwahiyo wewe si ndio utakuwa mpumbavu ama vipi mkuu?Wewe ni mpumbavu
Yaan wewe utapeli pesa za wazungu usikamatwe kisa wewe ni madeleka?
Madeleka amekamatwa kama watuhumiwa wengine acheni upumbavu
Umefurahi mwenyewe kumzushia mwenzako uongo. Inakusaidiaje kwa mfano?Sasa huyu jamaa tangu aanze kuwatetea machangu, anakesha nao usiku, wampe bure, sasa ukikamatwa chocho hueleweki unafanya nini na suruali imeshushwa wakuache tu?
Keyboard warriors kwa mikwara huwa hamjambo 😃Ila dogo ajiangalie sana
Na baada ya kupiga moto jiandae kufungwa kifungo cha maisha kwa kosa la Arson.Hii tabia italeta shida.
Siku moja nilipokuwa nasubiri usafiri sehemu fulani, walisikika vijana wakisema " ujinga wetu ndio uliotufikisha hapa, ukiona ndugu yako kaumizwa na polisi tafuta familia yoyote ya police piga moto"
Kauli kama hii inaonysha uadui kati ya police na wananchi. Na inaweza kuleta madhara kwa family za police zisizohusika.
Kwahiyo akiwa Madeleka ametapeli asikamatwe sio😂😂Washamwachia bila masharti kwahiyo wewe si ndio utakuwa mpumbavu ama vipi mkuu?