Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Wakili huyu kwanini anaandamwa sana na serikali hii? Ana siri gani anazozijua wakihofu kuendelea kuzilipua hadharani hadi wakeshe wakifikiria namna ya kumrejesha gerezani? Kwanini wananchi wasiamini serikali hii imejaa uonevu kwa kutumia kichaka cha demokrasia ambayo ni garasha tupu?Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania ina watu 60 MILIONI. Kwa hiyo, KUTISHIA watu MAGEREZA, ni USHAMBA na ULIMBUKENI.
View attachment 2748697
Tupo katikati. Siyo mbaya; tukaze mwendo tutafikaTulikotoka mbali tunakoelekea mbali
Hii imeenda!Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania ina watu 60 MILIONI. Kwa hiyo, KUTISHIA watu MAGEREZA, ni USHAMBA na ULIMBUKENI.
View attachment 2748697
Yaani siku hizi ni kama awamu ya magufuli tu.Wakili huyu kwanini anaandamwa sana na serikali hii? Ana siri gani anazozijua wakihofu kuendelea kuzilipua hadharani hadi wakeshe wakifikiria namna ya kumrejesha gerezani? Kwanini wananchi wasiamini serikali hii imejaa uonevu kwa kutumia kichaka cha demokrasia ambayo ni garasha tupu?
Serikali acheni kumtesa wakili huyu kutokana na madhaifu yenu na watu wenu
Safari inazidi kuwa ngumuTupo katikati. Siyo mbaya; tukaze mwendo tutafika
Giza likizidi sana ndiyo ujue kunaelekea kupambazukaSafari inazidi kuwa ngumu
I don't know why but huyu jamaa huwa nahisi bado ni mtu wa system.... Nashangaa wapinzani wanaji attach naye sana, he might be the mole in the opposition. Maana aliminywa maslahi yake akiwa kwenye mfumo akakosana nao so simply akirudishiwa maslahi yake anaweza kuplay double agent.Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania ina watu 60 MILIONI. Kwa hiyo, KUTISHIA watu MAGEREZA, ni USHAMBA na ULIMBUKENI.
View attachment 2748697
Hakuna anayeweza kuuza bandari ni uelewa wetu kuwa mdogo na kuwasikiliza sana wanaharakati wenye kupotosha jamii wakiwa na malengo maalum.Kwa hili la Bandari wauzaji wameshindwa kupambana kwa HOJA na hii inatokana na unanganyifu mkubwa waliofanya ktk kuficha huu uovu
Hata hao ambao hujawaweka kwenye kundi la moles ni watumishi wa hatari wa mfumo uliopo, kwa kifupi usimuamini mwanasiasa yoyote yule.I don't know why but huyu jamaa huwa nahisi bado ni mtu wa system.... Nashangaa wapinzani wanaji attach naye sana, he might be the mole in the opposition. Maana aliminywa maslahi yake akiwa kwenye mfumo akakosana nao so simply akirudishiwa maslahi yake anaweza kuplay double agent.
We should be very careful na Hawa moles wa CCM.
Usimsingizie JPM, hawa waliopo ndio walikuwa wakitenda kwa nia ya kumchafua kwa kuvizia akitamkacho mdomoni. Viongozi waliopo sasa ni bingwa sana wa kutenda uovu kwa kuvizia mbaya wao kasema nini na kuitumia kauli hiyo kutekeleza ili aonekane ni yeye kumbe sivyo.Safari inazidi kuwa ngumu
Nyani haoni kunduleI don't know why but huyu jamaa huwa nahisi bado ni mtu wa system.... Nashangaa wapinzani wanaji attach naye sana, he might be the mole in the opposition. Maana aliminywa maslahi yake akiwa kwenye mfumo akakosana nao so simply akirudishiwa maslahi yake anaweza kuplay double agent.
We should be very careful na Hawa moles wa CCM.
Ulivyompuuzi unadhania bandari inauzwa kama mchele sokoni.Hakuna anayeweza kuuza bandari ni uelewa wetu kuwa mdogo na kuwasikiliza sana wanaharakati wenye kupotosha jamii wakiwa na malengo maalum.
Bandari inakodishwa, hii ya Dar inakwenda kuwa na wapangaji wawili DPW na mwingine wa magati namba nane mpaka namba kumi na moja.
Ile ya Tanga inakwenda kuwa na mwendeshaji mmoja, ile ya Bagamoyo inakwenda kuwa na mwendeshaji mwingine.
Haya ni masuala ya kiuchumi yenye kuhitaji mtu kuyatazama kiuchumi, mtu tu layman mwenye uelewa mdogo wa masuala nyeti hawezi kuelewa nini haswa kinachotafutwa.
Tunatoka katika mfumo wa mmiliki wa bandari kuendelea kumiliki yeye kama yeye tunaingia katika mfumo wa Land lord Port ambao mwendeshaji mkuu TPA anakuwa na wapangaji wengine ili kuongeza ufanisi na kurahisisha mzigo mwingi sana uliopo ndani ya Tanzania na nchi zinazotuzunguka kuweza kuyafikia mataifa ya nje haraka.
Kuna tani zaidi ya milioni 30 za mizigo mbalimbali inayotakiwa itoke huko bara na kwenda nje ya nchi, huo ni mzigo mwingi sana na kwa aina ya uendeshaji wa kizamani wa bandari tulionao hakuna nafasi ya kitaifa kuweza kuinuka kiuchumi.
Haya ni masuala ya kiuchumi yenye kutaka ufafanuzi wa kina wa kiuchumi, huu sio wakati wa kufikiria kizamani halafu matokeo ya ufikiriaji huo yawe na mashiko kwenye maisha ya kisasa.
Alikuwa ni askari mwenzao kabla hajawa mtakatifuWakili huyu kwanini anaandamwa sana na serikali hii? Ana siri gani anazozijua wakihofu kuendelea kuzilipua hadharani hadi wakeshe wakifikiria namna ya kumrejesha gerezani? Kwanini wananchi wasiamini serikali hii imejaa uonevu kwa kutumia kichaka cha demokrasia ambayo ni garasha tupu?
Serikali acheni kumtesa wakili huyu kutokana na madhaifu yenu na watu wenu
Nimecheka sina mbavualikuwa ni askari mwenzao kabla hajawa mtakatifu
Acheni uongo? Kama kasingiziwa kwanini sikusikia hao waliotekeleza uhalifu wamekamatwa?? Yaani mtu amuue mwanao alafu asingizie baba yake ndio umemuua then na wewe ukae kimya tu kisa "umesingiziwa"? Si lazima utatafuta aliyefanya hicho kitendo Ili ujisafishe!!Usimsingizie JPM, hawa waliopo ndio walikuwa wakitenda kwa nia ya kumchafua kwa kuvizia akitamkacho mdomoni. Viongozi waliopo sasa ni bingwa sana wa kutenda uovu kwa kuvizia mbaya wao kasema nini na kuitumia kauli hiyo kutekeleza ili aonekane ni yeye kumbe sivyo