Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

Huyu jamaa alikuaga na mwili wa kawaida ghafla kaanza kufumuka na alikuwa anafanya masihara kuhusu hili suala
Uwekaji wa puto usije ukaleta mambo mengine tu

Hua nashangaa watu hapa wanasema mtu anakula kidogo lakini anananenepa wanashindwa kuelewa mwili ukiuendekeza ukafumuka kuja kurudi kwenye hali yako ya kawaida ni kazi maana inahisisha hadi homoni mbalimbali mwilini, hivo lazima tuwe na displine na mifumo yetu ya maisha, mtu akishakua kibonge anakimbilia gym ambapo huko anaongeza hamu ya kula kwa kasi asipojicontrol hapo amekwenda tayari,
 
Msechu na Lissu wamefanana wenyewe, kama mtu na mdogo wake.
Kuna ndugu yetu aliwekewa puto akapungua, mkewe mzungu hakupenda alivyoongezeka baada ya ndoa. Sijui ikawaje tena alikuja kunenepa akawa puto halisi.
 
Msechu na Lissu wamefanana wenyewe, kama mtu na mdogo wake.
Kuna ndugu yetu aliwekewa puto akapungua, mkewe mzungu hakupenda alivyoongezeka baada ya ndoa. Sijui ikawaje tena alikuja kunenepa akawa puto halisi.

Tena unaambiwa ukitaka kuharibu mwili weka hilo puto wamuulize yule kitale wa EFM alifanya nini kupungua
 
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?
 
Miaka 3 ana 4 huko nyuma msechu alikua anajisifia kwamba anamaliza sahani 3 za wali maharage peke yake na anapenda sana kula na asizuiwe kula.

Leo anasema hata asipokula hapungui.

Aliona sifa kula. Sasa acha yampate.
 
Hivi na unene ule maliwatoni anawezaje kushusha mzigo na kupangusa spika?

Unene changamoto sana😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…