Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Wanaume wa mikoani mnaona wakuja wenzenu wanavyowatia aibu huku mjini?!
Wewe MZARAMO hata usiongee kwasababu nyie ndio waasisi wa kuchambana wote wanaume kwa wanawake mpaka watoto.
 
Wakiwasema wanaume wa dar hapo mtalalamika
kwa hayo maneno makali hata mwanamke hawezi
yasema.
 
oyooo A.T kwenye ubora wake,bora upigwe na mayai viza,kuliko uchambwe na A.T,
 
Hivi zile rap battles za akina Nas na Jay Z au Biggie na Tupac zina tofauti gani na kuchambana?

Au kwa vile zile ziko kwa Kiingereza?
Bro! Zile zina ugumu fulani bhna.
Siamini ether inachambo hizi za pyuuuuu
 
Tusubiri Ngoma mpya kutoka kwa AT ft Msechu
 
Kampatia, yaani anatambia limwili hilo wakati maradhi hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…