Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Ni haki yake ila mwisho wa siku atakuja kujitoa na kusema anamuunga mkono Lissu.Hata Nyalandu nae atakuja kujitoa na kumuachia Lissu hiyo nafasi.Huu ni mkakati wa kisiasa wa kumpa Lissu nguvu zaidi katika uchaguzi huu japo hatuna Tume Huru.

Kama anataka kutafuta sababu ya kuondoka CHADEMA kupitia mchakato wa uteuzi, muda utasema.
Mkuu usiwastue waache tu
 
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania
Natural clown!
 
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania
Pamoja sana Msigwa

Jr[emoji769]
 
Inaonyesha namna gani kwenye chama cha Chadema, demokrasia ilivyokomaa........

Kule kwenye chama cha kijani, ukisikika tu una mpango wa kuchukua fomu na kutaka kumpinga Jiwe, unafukuzwa toka kwenye Chama!
 
Ni kweli atajiotoa , lakini hatamuunga mkono lissu, bali ama ataunga juhudi au atajiunga na NCCR.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati yuko segerea wanafamilia wa Msigwa walienda kwa mwnafamilia mwenzao mh rais Magufuli kumuomba msaada wa kulipa faini na wakapewa sh 38ml.
Hawezi kumpinga mzazi mwenzake lazima Msigwa ataunga juhudi tu kwa mazingira yalivyo hasa baada ya kifo Cha mahiga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom