Pre GE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
M

Mna uhakika Msigwa hajalogwa?

Anadhani hizo porojo zitakiangusha Chadema ambacho kiko mioyoni mwa Watanzania?

Alishindwa Dr John Pombe ambaye ali employ all mechanical, digital and political warfare?
Umemroga wewe?
 
Poleni sanaa! Kwa maana JEMBE hili, limetafutwa na CCM kwa zaidi ya miaka 10. Kikwete alimkosa, Magufuli alimkosa lakini kwa mama kaingia King!
Acheni tu, mama ni mwanasiasa aliyekomaa. Na sasa Mchungaji ndani ya kijani anaivua chadema nguo zote.
Hivi mtapitia wapi CHADEMA.
 
Sisi wananchi matatizo yetu sio Mbowe na chadema,tuna hitaji ajira,Elimu bora ect
 
Kiukweli haka kabinti, nakapenda pendo la kaka na dada, ni kabinti kanakojielewa, pamoja na Chadema kuwa ni chama hatari kwa vi binti miteremko, haka kabinti sio mteremko na mserereko, hivyo siamini kama Chadema wamekigusa, hivyo sasa hapo alipo CCM ni mahali salama sana.
Rejea zangu za haka kabinti

Kwa wasio mfahamu, kumfahamu zaidi na anasimamia nini, karibuni mitaa hii
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
Angalia nilipomfahamu, Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?

  1. Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
  2. Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
  3. Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
  4. Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
  5. Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
  6. Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
  7. Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
  8. Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
  9. Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
  10. Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
  11. Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
  12. Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
  13. Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!

Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,Nimemsikiliza, nimeguswa!.

Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.
Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.
P
 
Ishakua Mali kuchakaa
 
Baado mapema sana kutabiri hayo wananchi wa huku Geita ndo wataamua
 
Hii ndio inaitwa kugeuza kibao kudadeki
Mbagala- tegeta
Inakua
G,mboto-kibamba.
Kumkoma nyani giladi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…