Bosi ,acha kuhamaki tuletee hicho chuo alichosaoma mzee mbowe kuonyesha mwaka alisoma na muda wa course husika Mangi .Degree mangumashi ziko nyingi tu haswa hivyo vyuo vya nje,umeshasahau kuwa hata mzee mrema alikuwa na aina ya hizi degree?Una laana wewe, Mbowe ana degree tena kasoma Uingereza ambako ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kufika, anakutana na mabolozi wakubwa duniani wewe hujawahi hata kukutana na DAS.
Kwa kigezo cha anaokutana nao hapo tu umeshafeli aiseeUna laana wewe, Mbowe ana degree tena kasoma Uingereza ambako ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kufika, anakutana na mabolozi wakubwa duniani wewe hujawahi hata kukutana na DAS.
Misukule ya chadema bana ,leo wanamwona Msigwa kuwa anaganga njaa chadema?Kwa vigezo hivyo, yule ni mchungaji au mganga njaa makanisani?
Kwamba degree ya Tanzania ni bora kuliko ya Uingereza? mafakinio ya Mbowe ukoo wako wote hamtakaa myafikie, tuache wivu wa kijinga, Mbowe yupo kwenye level ya juu kama binadamu ana madhaifu yakeBo
Bosi ,acha kuhamaki tuletee hicho chuo alichosaoma mzee mbowe kuonyesha mwaka alisoma na muda wa course husika Mangi .Degree mangumashi ziko nyingi tu haswa hivyo vyuo vya nje,umeshasahau kuwa hata mzee mrema alikuwa na aina ya hizi degree?
We umewahi kukutana hata na DC? Onyesha pichaKwa kigezo cha anaokutana nao hapo tu umeshafeli aisee
Unawaogopa Sana wachagaKwani ni mmchagga?
Acha upoyo mangi ,hivi mzee mbowe ambae ndio kamalizia mjengo wake juzi kule kijijini ndio unaetaka kutaminisha kuwa hatuwezi kumfikia? Mzee mbowe kahama nyimbani kwa baba baada ya kufika umri wa zaidi ya miaka sitini ,leo mko hapa mbasifia eti ni tajiri πββοΈπββοΈKwamba degree ya Tanzania ni bora kuliko ya Uingereza? mafakinio ya Mbowe ukoo wako wote hamtakaa myafikie, tuache wivu wa kijinga, Mbowe yupo kwenye level ya juu kama binadamu ana madhaifu yake
Acha kupiga makelele hapo ,umesema mzee mbowe anayo degree,kuna ubaya gani ukitambia alisoma kuanzia mwaka gani na jina la chuo husika ?Kwamba degree ya Tanzania ni bora kuliko ya Uingereza? mafakinio ya Mbowe ukoo wako wote hamtakaa myafikie, tuache wivu wa kijinga, Mbowe yupo kwenye level ya juu kama binadamu ana madhaifu yake
Wako smart sana ila kuna wajinga wamekubali kuwa msukule wa Mzee Mbowe ,hawa ndio wanaharibu taswira ya hili kabila letu aisee.Unawaogopa Sana wachaga
Naona umenipa kigezo cha Elimu kuwa ni unaokutana nao ,hii ni tafsiri kali kabisa Mangi ,endeleen kumkumbatia kamanda mkuu ,ipo siku mtaelewa tuWe umewahi kukutana hata na DC? Onyesha picha
Wewe ni msukule wa nani?Wako smart sana ila kuna wajinga wamekubali kuwa msukule wa Mzee Mbowe ,hawa ndio wanaharibu taswira ya hili kabila letu aisee.
Elimu yako inatusaidia nini sisi?Naona umenipa kigezo cha Elimu kuwa ni unaokutana nao ,hii ni tafsiri kali kabisa Mangi ,endeleen kumkumbatia kamanda mkuu ,ipo siku mtaelewa tu
Mimi siyo msemaji wake, muulize Katibu wakeAcha kupiga makelele hapo ,umesema mzee mbowe anayo degree,kuna ubaya gani ukitambia alisoma kuanzia mwaka gani na jina la chuo husika ?
Hilo hata wewe unakiri kuwa jamaa ni tajiri, wewe sidhani hata kama una kiwanja, haya ibadilishe hiyo masters yako kuwa ghorofa kama la Mbowe tuoneAcha upoyo mangi ,hivi mzee mbowe ambae ndio kamalizia mjengo wake juzi kule kijijini ndio unaetaka kutaminisha kuwa hatuwezi kumfikia? Mzee mbowe kahama nyimbani kwa baba baada ya kufika umri wa zaidi ya miaka sitini ,leo mko hapa mbasifia eti ni tajiri πββοΈπββοΈ
Wa molaWewe ni msukule wa nani?
Hilo hata wewe unakiri kuwa jamaa ni tajiri, wewe sidhani hata kama una kiwanja, haya ibadilishe hiyo masters yako kuwa ghorofa kama la Mbowe tuone
Mimi sio tajiri ila sitaweza kukaa nyumba ya wazazi hadi nafukia miaka sitini hii ni aibu kwa kwa kweliHilo hata wewe unakiri kuwa jamaa ni tajiri, wewe sidhani hata kama una kiwanja, haya ibadilishe hiyo masters yako kuwa ghorofa kama la Mbowe tuone
Basi usiwe unatetea ujinga hapa ,ulitaka kutaminisha kuwa mzee Mbowe anayo degree,umeulizwa vijiswali vichache tu unakimbilia kwa katibu wake .SHAMEMimi siyo msemaji wake, muulize Katibu wake
Waulize msisukule yake Mkuu,ndio walikuja hapa kututishia kuwa DJ anayo degreeπββοΈπββοΈπββοΈElimu yako inatusaidia nini sisi?
Kuwapuza wajinga kama LemaElimu yako inatusaidia nini sisi?
Wazuri hawafi katibiwe tezi dimeNdugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo.
Mchungaji Msigwa ni mmoja ya wanachama wachache saana walioko chadema mwenye kuweza kuongea na kutoa maono yenye maana pamoja na ukweli ya kwamba ameiga baadhi ya tabia za wanachama,ambazo ni,
1:Kuongea kwa jazba na kufoka,
2: Kulalamika bila kutoa njia mmbadala
3:Kukurupuka na kuandika kwenye mitandao lugha za matusi
4:Kulaani wenzao wafe
Mnaweza kuongezea .