n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Huyu mwana saccos atawasumbua sana. Alikuwa jikoni, mlipanga nae mishe zote atawavua kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwana saccos atawasumbua sana. Alikuwa jikoni, mlipanga nae mishe zote atawavua kila kitu.
Wacha tuone kama ataendelea kuandikiwa kule chadema hakuna muongozo ni mirembe ward ya vichaa kila mmoja anaropoka ndio maana huwezi kuta mtu mzima kapunguza ukali wa maneno badala ya kusema kinyesi anasema mavi!Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Ninachoona hapa, kama ambavyo Makalla yuko kazini ndivyo na Msigwa nae yupo kazini.
Wanasiasa wawili wakifanya kazi yao ya Siasa, hadharani.
Yaani kuonyeshwa Jambo ndiyo Kupangiwa nini cha Kusema? Nadhani CHADEMA ingejikita katika Kujitafakari kuliko Kujitetea huku kwa Kitoto kuwa Msigwa anapangiwa cha Kusema na Makalla / CCM.Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Yaani kuonyeshwa Jambo ndiyo Kupangiwa nini cha Kusema? Nadhani CHADEMA ingejikita katika Kujitafakari kuliko Kujitetea huku kwa Kitoto kuwa Msigwa anapangiwa cha Kusema na Makalla / CCM.
Madai ya Msigwa yana Ukweli kwa 85% japo CHADEMA mtajificha katika Kichaka cha Kusema mabaya au mapungufu ya CCM ambayo imeshajipanga Kuongoza milele Tanzania kwa gharama za Ubovu wenu Vyama vya Upinzani nchini Tanzania.
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
"Uwenyekiti anataka yeye maisha".
Tubishe hilo kwanza.
Vipi Mbowe? Yeye tatizo lake nini?Tatizo la Msigwa ni madaraka wala hana kingine.
Wacha tuone kama ataendelea kuandikiwa kule chadema hakuna muongozo ni mirembe ward ya vichaa kila mmoja anaropoka ndio maana huwezi kuta mtu mzima kapunguza ukali wa maneno badala ya kusema kinyesi anasema mavi!
Kwahiyo tumfanyaje Sasa? Tumfutie matokeo kwa kugezea?Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Bado fala huyuUmeamka naye dadeki 😀
Ila wahehe wenzake watamnyoosha!..ndio nasema tumchangie arudishe fedha alizopewa ili awe huru.
..Msigwa sio mtu wa kudhalilishwa namna hii.
..aliingia ktk kikao kavaa suti, wakamvua wakamvalisha shati na kofia ya mboga-mboga.
..baadae Makala anampangia hata cha kusema?!!
Mbona aibu hivyo aisee! Yaani yamesahau hata kama yanarekodiwa!Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Mpaka akapata kigugumizi, eti eeeeeh! eeeeeh!Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046