Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ama kweli Msigwa kaamua kujitia dole mwenyewe, Msigwa huyu aliyekuwa anaongea kwa kujiamini bungeni na bunge lote linakuwa kimya kumsikiliza kwa madini anayotema leo hii anafundishwa cha kusema na huyu kifutu Makalla. Amejidhalilisha sana yeye binafsi na familia yake. Msigwa akiwa kwenye ufahamu wake halisi anamzidi mara 100 huyu kifutu Makalla kwa uwezo wa kuongea na kujenga hoja.
Nawashauri CHADEMA watengeneze clip ya hiki kinachofanyika hapa ili wananchi wengine tujue namna waunga juhudi wanavyofundishwa cha kusema!
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
Rudi kanisani!
..Msigwa alipaswa kwenda chama kingine cha upinzani.

..sio kwenda CCM na kuvalishwa mashati ya mboga-mboga na kupangiwa nini cha kusema.

..hata Mbowe anayemshutumu hakuwahi kumdhalilisha Msigwa kama alivyofanya Amos Makala.
U
 
Yaani msigwa hata anapoongea unaona kabisa hana mpangilio wa hoja amepaniki anahitaji pschotherapy huyu hebu tazama alipoingia alivyokuwa kapendeza wakamvuka tshet ambayo ukiitazama kwa jicho la tatu imeshusha kabisa uwezo wake wa kujenga hoja .

Hebu fikiria chama ulichokinanga zaidi ya miaka 20 hadharani kwa hoja mujarabu leo unatakiwa ukisifie mbele za watu ghafla tena baada ya kuvuliwa nguo ulizovaa na wakakuvalisha halafu anaekupa cha kusema unamfaham kuwa umemzidi uelewa mara 3000! Sasa huyo kifutu uwezo wake ukiufananisha na msigwa mie kwa uelewa wangu vifutu 3000= msigwa 1
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
Hata wewe, ikitokea umenunua mbwa, ndiye utakayeamua afungiwe wakati gano, na afunguliwe muda gani. Lakini kuna wakati anaweza kuanza kubweka muda asiotaka kubweka, hivyo inabidi umkaripie na kumwelekeza.
 
Vipi Mbowe? Yeye tatizo lake nini?
Wachukuwe fomu wamng'owe kwenye uchaguzi kama Msigwa alivyong'olewa kwenye uchaguzi, ndio demokrasia inavyotaka.

Mzee Malecela aligeuza jimbo la Mtera mali yake akaja kung'olewa kwenye kuranza maoni na Kibajaji.

Wasiomtaka Mbowe wanapaswa kumng'owa kupitia uchaguzi na siyo kubwata ujinga tu.
 
Wacha tuone kama ataendelea kuandikiwa kule chadema hakuna muongozo ni mirembe ward ya vichaa kila mmoja anaropoka ndio maana huwezi kuta mtu mzima kapunguza ukali wa maneno badala ya kusema kinyesi anasema mavi!
Ingekuwa hivyo CCM wasingempokea. Kiongozi mmoja wa CHADEMA ana value kubwa kuliko wanachama elfu 10 wa CCM.
 
Yaani kuonyeshwa Jambo ndiyo Kupangiwa nini cha Kusema? Nadhani CHADEMA ingejikita katika Kujitafakari kuliko Kujitetea huku kwa Kitoto kuwa Msigwa anapangiwa cha Kusema na Makalla / CCM.

Madai ya Msigwa yana Ukweli kwa 85% japo CHADEMA mtajificha katika Kichaka cha Kusema mabaya au mapungufu ya CCM ambayo imeshajipanga Kuongoza milele Tanzania kwa gharama za Ubovu wenu Vyama vya Upinzani nchini Tanzania.
Sio ubovu wa vyama vya upinzani Bali ubovu wa katiba na mfumo wa uchaguzi.
 
Matokeo ya Chaga Development manifesto mwenye maamuzi ya chama ni Mbowe na mkewe ubaguzi hautawaacha Chadema salama
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

Kwenye video angalia kuanzia dakika 4:20

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
Tunamshukuru kwa Kazi nzuri aliyofanya akiwa Chadema ya kueneza Elimu ya Haki, uhuru na Demokrasia kabla hajaasi.

Tunamtakia kila la kheri huko aendako.
 
Back
Top Bottom