Amekwishachanganyikiwa huyu. Hapa ndipo CCM itajua imemwokota mtu wa namna gani. Naona na yeye anajibrand kikamilifu kwenye ile sifa kuu ya wanaCM, kwa kadiri ya matokeo ya utafiti ule wa TWAWEZA, "CCM inapendwa zaidi na wajinga". Anataka usitofautiane na wenyeji wake kikamilifu.Bilion 5 zimeshamvuruga, mara yuko tayari kupambana mahakamani, mara ooh Haya ni mambo ya kisiasa hapo anataka kuninyamazisha, mara oooh sijamtaja Mbowe nimemtaja mwenyekiti
Kwa hiyo nanyi bado mnamuamini Mbowe? Hivi pesa za Join the chain zipo wapi?????Kweli CCM imekwishamwondoa akili. Yaani kwa kusema hivyo anaona amekwishatoa utetezi wa kumwondoa kwenye kesi?
Mwashambwa katika ubora wake! Duh! Picha imempendeza sana hii.
Acha vimaneno vyako vya uongo uongo hapa wewe. Mbowe na mchungaji peter Msigwa ni nani mwenye Elimu ndogo? Unaifahamu Elimu ya Mbowe??Tatizo la mchungaji Msigwa ni Elimu ndogo
Sasa Ndio atamjua Mbowe na marafiki zake wa Upendo Kwaya Kijitonyama πππππ
Elimu ndogo mlizonazo mkiongozwa na mwenye Kigoda wenu inafanya muwe vichekesho na vituko kwa watu.Tumbili Peter Msigwa ameyatimba
Hizo pesa zinazchangwa na wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, ulitaka wakuletee wewe ndiyo umwamini Mbowe? Kama una ushahidi kuwa pesa wanazochanga wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, zinaingia kwenye account ya Mbowe au zimranzisha Mbowe Foundation, mwombe Msigwa ukawe shahidi wake muhimu huko mahakamani ili uokoe michango ya wananchi.Kwa hiyo nanyi bado mnamuamini Mbowe? Hivi pesa za Join the chain zipo wapi?????
Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poaAcha vimaneno vyako vya uongo uongo hapa wewe. Mbowe na mchungaji peter Msigwa ni nani mwenye Elimu ndogo? Unaifahamu Elimu ya Mbowe??
Hata walinzi tu wapo Benki kuu.kwahiyo acha ulimbukeni wako hapa wewe.Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poa
Nyie Watoto wa vijijini hamjui lolote sawa na huyo Mkinga mchungaji wenu πππ
Lini mmewapa mrejesho wachangiaji juu ya kiasi kilichopatikana na matumizi yake? Hizo pesa za Join the chain imekuwaje hata makamu mwenyekiti lissu naye hajuwi chochote juu ya kiasi kilichopatikana wala matumizi yake?Hizo pesa zinazchangwa na wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, ulitaka wakuletee wewe ndiyo umwamini Mbowe? Kama una ushahidi kuwa pesa wanazochanga wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, zinaingia kwenye account ya Mbowe au zimranzisha Mbowe Foundation, mwombe Msigwa ukawe shahidi wake muhimu huko mahakamani ili uokoe michango ya wananchi.
Ufinyu wa Elimu mlionao unawasumbua na kuwafanya muwe kama hayawani na makasuku.Kuepusha shari Msigwa awahi mapema mnoo kumuomba radhi Mbowe ama sivyo atafirisiwa vibaya. Mdomo wake utamponza.
Unadhani Mlinzi wa Benki Kuu ya Nchi wanajibebea tu Wasafwa mnaojitangaza kwa namba zenu za Simu mitandaoni? πππHata walinzi tu wapo Benki kuu.kwahiyo acha ulimbukeni wako hapa wewe.
Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.
Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Anzeni kumchangia tuNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.
Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Wakati yupo Chadema umewahi kuongea hiviSiyo kila Mchungaji ni Mchungaji wa Mungu,Wengine wachangiaji wa shetani