Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bilion 5 zimeshamvuruga, mara yuko tayari kupambana mahakamani, mara ooh Haya ni mambo ya kisiasa hapo anataka kuninyamazisha, mara oooh sijamtaja Mbowe nimemtaja mwenyekiti
Amekwishachanganyikiwa huyu. Hapa ndipo CCM itajua imemwokota mtu wa namna gani. Naona na yeye anajibrand kikamilifu kwenye ile sifa kuu ya wanaCM, kwa kadiri ya matokeo ya utafiti ule wa TWAWEZA, "CCM inapendwa zaidi na wajinga". Anataka usitofautiane na wenyeji wake kikamilifu.
 
Kweli CCM imekwishamwondoa akili. Yaani kwa kusema hivyo anaona amekwishatoa utetezi wa kumwondoa kwenye kesi?
Kwa hiyo nanyi bado mnamuamini Mbowe? Hivi pesa za Join the chain zipo wapi?????
 
Tatizo la mchungaji Msigwa ni Elimu ndogo

Sasa Ndio atamjua Mbowe na marafiki zake wa Upendo Kwaya Kijitonyama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha vimaneno vyako vya uongo uongo hapa wewe. Mbowe na mchungaji peter Msigwa ni nani mwenye Elimu ndogo? Unaifahamu Elimu ya Mbowe??
 
Kwa hiyo nanyi bado mnamuamini Mbowe? Hivi pesa za Join the chain zipo wapi?????
Hizo pesa zinazchangwa na wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, ulitaka wakuletee wewe ndiyo umwamini Mbowe? Kama una ushahidi kuwa pesa wanazochanga wananchi kwaajili ya shughuli za CHADEMA, zinaingia kwenye account ya Mbowe au zimranzisha Mbowe Foundation, mwombe Msigwa ukawe shahidi wake muhimu huko mahakamani ili uokoe michango ya wananchi.
 
Acha vimaneno vyako vya uongo uongo hapa wewe. Mbowe na mchungaji peter Msigwa ni nani mwenye Elimu ndogo? Unaifahamu Elimu ya Mbowe??
Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poa

Nyie Watoto wa vijijini hamjui lolote sawa na huyo Mkinga mchungaji wenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poa

Nyie Watoto wa vijijini hamjui lolote sawa na huyo Mkinga mchungaji wenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata walinzi tu wapo Benki kuu.kwahiyo acha ulimbukeni wako hapa wewe.
 
Kuepusha shari Msigwa awahi mapema mnoo kumuomba radhi Mbowe ama sivyo atafirisiwa vibaya. Mdomo wake utamponza.
 
Lini mmewapa mrejesho wachangiaji juu ya kiasi kilichopatikana na matumizi yake? Hizo pesa za Join the chain imekuwaje hata makamu mwenyekiti lissu naye hajuwi chochote juu ya kiasi kilichopatikana wala matumizi yake?

Wewe akili yako huwa ni ndogo sana ndio maana majibu yako ni ya kitoto sana na yaliyokosa mashiko. Ndio maana huwa nakwambia kuwa hoja kubwa na usiwe unazikurupukia.uwe unasubiri hoja ndogo ndogo ndio ujadili.
 
Hayo ya mwenyekiti sijuiwa chama atayaeleza mahakamani
 
Mwashambwa hata kama ugumu wa maisha umekufanya uwe hivyo jlivyo, lakini ishia huko huko kwenye upuuzi uliouchagua. Usimwingize Mungu mwenye mamlaka kuu kwenye upuuzi huu, unajitengenezea laana ambayo hutakuja kuijua chanzo chake. Tamaa ya msigwa usiishikamanishe na Mungu wala Malaika wake au chochote kilichopo kwenye ufalme wa mbingu. Yachukue maneno haya kwa uzito wa pekee.
 
Hata walinzi tu wapo Benki kuu.kwahiyo acha ulimbukeni wako hapa wewe.
Unadhani Mlinzi wa Benki Kuu ya Nchi wanajibebea tu Wasafwa mnaojitangaza kwa namba zenu za Simu mitandaoni? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wewe endelea kuwapikia Chai Wanyakyusa akina Tulia na Kasesera πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Siasa Siyo uadui 🌹
 

CCM wamfukuze Msigwa haraka sana .
Ni pandikizi la Kambi moja ndani ya Chadema. Hiyo kambi ikifanikiwa ,Msigwa atarudi Chadema . Ni kama ilivyokuwa Kwa Nyarandu na Chadema.
 
Anzeni kumchangia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…