Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Malipo ni hapa hapa duniani..hahaa pole yake.kakazana na kukimbizana na ya kakake huku yake yanamshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo ni hapa hapa duniani..hahaa pole yake.kakazana na kukimbizana na ya kakake huku yake yanamshinda
Duh......
Gardner anazidi kupata hasara....
Yaani bogus 1 + bogus 2,what a heavy load of problems?!
Alisikika akisema uswahili wa dada na timu nzima ya Tandale/Madale ni wa kiwango cha lamiSi nilisikia huyo jamaa shemeji yake na diamond kazaa nae na mtoto dada wa mond?
aibuu..Malipo ni hapa hapa duniani..
Alikuwasi mume wa esma au?
Amekimbia uswahili, alipiga stop kwa mama Desiree kwanza kumbe alikuwa anaangalia mwelekeoWanaachanaga wanarudiana. Labda safari hii waachane kweli
Kama jamaa anapiga mechi ni kheri ukubali tuAngekuwa mwanangu nisingekubali , ila shamba la bwana heri mbuzi wa bwana heri watajuana wenyewe
Hata uchawi wa Kigoma umeshindwa[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23]wapiii...ESMA hodarii...ndoa haina chuo jamani!!
Aaaaah bi mkubwa hapa tutauana tu ,hakuna namna nitamtoa mwanangu kwa mwanaume aina ya PetimanKama jamaa anaphase mechi ni kheri ukubali tu
Mtoto amependaAaaaah bi mkubwa hapa tutauana tu ,hakuna namna nitamtoa mwanangu kwa mwanaume aina ya Petiman
Hata MimiDaaah afadhali...nilitaka kushanga 😳
Hahaaaahaa!!ndo hapo sasa!!Hata uchawi wa Kigoma umeshindwa
kama kweli kaachwa pole yakeAlikuwa
Sidhani kama kamuoa kweli mtoto wa Gadner.Huyo Gardner kakubalije mtoto wake aolewe na muhuni asee?
Alikuwa anakwenda na kurudi lakini hii ya ndoa ni kuwa ameamuakama kweli kaachwa pole yake