Petition: Mradi wa Maji Kutoka Ziwa Victoria Uitwe Edward Lowassa Channel

Uliona wapi fisadi anaenziwa!
Magufuli ameenziwa kwa kituo cha mabasi ya mkoani cha Mbezi kuitwa kwa jina lake. Kwenye kumbukumbu kuna ifisadi aliouibua CAG kwenye ripoti za 2016-18 upatao Tsh 2.5 Trillion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…