Stuxnet JF-Expert Member Joined Feb 12, 2011 Posts 13,417 Reaction score 23,310 Feb 18, 2024 #21 Ituzaingo Argentina said: Mimi siungi mkono hoja Click to expand... Ndiyo demokrasia yenyewe hiyo
Credit JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 1,490 Reaction score 1,881 Feb 18, 2024 #22 Uliona wapi fisadi anaenziwa!
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 19,955 Reaction score 45,207 Feb 18, 2024 #23 Siungi mkono hoja
Ituzaingo Argentina JF-Expert Member Joined Jun 20, 2020 Posts 1,868 Reaction score 2,191 Feb 18, 2024 #24 sumbai said: Siungi mkono hoja Click to expand... Tupo pamoja poti
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Feb 19, 2024 #25 Kwa CCM hii! labda waje malaika wafanye maamuzi!
Stuxnet JF-Expert Member Joined Feb 12, 2011 Posts 13,417 Reaction score 23,310 Feb 19, 2024 #26 Credit said: Uliona wapi fisadi anaenziwa! Click to expand... Magufuli ameenziwa kwa kituo cha mabasi ya mkoani cha Mbezi kuitwa kwa jina lake. Kwenye kumbukumbu kuna ifisadi aliouibua CAG kwenye ripoti za 2016-18 upatao Tsh 2.5 Trillion
Credit said: Uliona wapi fisadi anaenziwa! Click to expand... Magufuli ameenziwa kwa kituo cha mabasi ya mkoani cha Mbezi kuitwa kwa jina lake. Kwenye kumbukumbu kuna ifisadi aliouibua CAG kwenye ripoti za 2016-18 upatao Tsh 2.5 Trillion