Tetesi: Petitman: Mkongomani Bilionea anayempa 'support' Diamond kifedha

Hakika mabilionea hawajionyeshi
 
Ndio. Jamaa ana migodi ya Almasi Congo pia nchini amewekeza kwenye media house kadhaa. Tuna mengi ya kujifunza toka kwake
Tunajifunza kutoka kwa matapeli mbona nyie vijana mu wepesi sana wa kudanganywa eti tunajifunza kwake ,lipi hilo la kujifunza kwake?
 
Tunajifunza kutoka kwa matapeli mbona nyie vijana mu wepesi sana wa kudanganywa eti tunajifunza kwake ,lipi hilo la kujifunza kwake?
Kuwa na utajiri wa kutisha na bado akawa mnyenyekevu kwa watu
 
Huyu Billionea alikuwa mbeba pochi wa Wema
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka aliwai kugombea simu na calisah ambayo alinunuliwa na
Sepenga [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ndo nilikuwa nashangaa hapa,huyu mleta thread kakulupuka..
Mie mwanzoni nilifikiri wanamzungumzia Emanuel Petit baadae ikabidi nicheke tu. Nimeagiza mafuta nianze kufuga rasta soon na mimi taitwa Niliongea Ng'wanapagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…