Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Jorge Mario BergoglioNadhani ni Jorge Mario
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jorge Mario BergoglioNadhani ni Jorge Mario
SasA Amechoka Anaumwa Sana Sana Ingawa Acha TuoneJorge Mario Bergoglio
Hana mapafu na Figo zote 2 hana unategemea atanyanyuka kwa kutumia Figo na mapafu yako, hujui muda huu amelala pembeni kuna mtungi wa gesi puani unamuwezesha aweze walau kusogeza dakika ila sio kumuwezesha kuishi miaka 2 mbeleHuwezi jua bro, anaweza kunyanyuka pasina kutarajia.
Ndio mkuu mpaka uende mahakaman ukaape au wizara kuthibitishaKuna tofauti ya Fransisco na Francis?
Papa hajawahi wala haitokaa itokee akubali huo uharamu.Hamna kitu hapo..ilikuaje akamshauri papa akubali ushoga kanisani...bora ya cardinal Sarah na rugambwa wa tabora wape mapapa
Upo Utaratibu Unaombatana Na Masuala Ya Imani (Moshi Mweupe)Kwani papa anateuliwa au anapandishwa tu?
Sasa huyu mwenzetu katoa wapi majina?Upo Utaratibu Unaombatana Na Masuala Ya Imani (Moshi Mweupe)
Yeye Anafikiria Tu Ila Wana Michakato Mingi Sana Tena Wao Hawana Labda Fulani Laa Hashaa, Maana Hata Huyu Wa Sasa Hakuna AliyemtajiaSasa huyu mwenzetu katoa wapi majina?
Hata ukiambiwa utauliza kwanini siyo baba yako au mjomba'ako,siyo imani yako nadhani bora zaidi ungedili na ya upande wako kwa sababu wewe mwenyewe hujayamaliza.Huwa mnatumia vigezo gani kumuita Papa "Baba Mtakatifu"?
Huwa mnatumia vigezo gani kumuita Papa "Baba Mtakatifu"?
Kwa hiyo MOSHI MWEUPE NI GERESHA?Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .
Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.
Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs
Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
MACHUGA au siyo?Make the Chruch Great Again
Mkuu, huoni tofauti hapo? Ulifanya mtihani wa standard foo kweli wewe?Kuna tofauti ya Fransisco na Francis?
Kanisa halijawi kukubali ushoga tatizo Pope alikuwa hana subira anapoulizwa maswali tata yeye alikuwa anajijibia tu kwa utashi wake wa kiimani asijue siyo wote wanaojua maana ya upendo kwa wale wanaohisiwa wana dhambi za moja kwa moja.Hamna kitu hapo..ilikuaje akamshauri papa akubali ushoga kanisani...bora ya cardinal Sarah na rugambwa wa tabora wape mapapa