Petro Parolini anaetazamiwa kurithi kiti cha upapa endapo kutatokea nafasi hio kuwa wazi

Petro Parolini anaetazamiwa kurithi kiti cha upapa endapo kutatokea nafasi hio kuwa wazi

Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Sawa ngoja tusubiri.

Ila moshi mweupe ndio huwa unaamua nani awe Papa na sio matakwa ya kibinadamu.
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Hivi Papa Yohane Paulo wa pili alikuwaga ni wa taifa gani la kuzaliwa yule?
 
IMG_7733.jpeg


Sio rahisi hivyo ukitaka kuelewa taratibu zake na siasa catholic church kumpata ‘pope’ mpya angalia hiyo acclaimed movie ambayo ina awards kadhaa tayari.
 
Roman catholic inashangaza kwa karne ya 20/21 hakujawahi kutokea papa mwenye umri chini ya miaka 50. Huyu papa Francis alichukua mamlaka ya kanisa akiwa na miaka 76 na hadi sasa amehudumu miaka 12.

Je, ina maana huko Katoliki hakuna makadinali walio na umri angalau miaka 50?
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
vp mtazamo wake kuhusu ushoga?
 
walifanya makosa makubwa sana kumleta papa toka amerika kusini. wasirudie tena hilo kosa. walileta papa mvuta bange kabisa kama waamerika kusini walivyo waruwaru. almanusura aanze kufungisha hadi ndoa za mashoga.
 
Back
Top Bottom