BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Mimi huwa nashangaa sana, mtu anapewaje PhD ya 'bure'? Inatakiwa iwe earned na watu waliojitoa kuitumikia elimu ya kiwango hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu. Watu wanakula mema ya nchi. Bado SUA na Mzumbe wakati ukifika watamvisha midigirii yao ya heshimaNinaweka mtazamo wenye mjadala ndani yake. Ninawaomba wananzengo msiugeuze mjadala kuwa eneo la dhihaka bali tuliangalie hili jambo kwa macho mawili.
Baba wa Taifa pamoja na kuwa busy sana kuliko waliomfuatia aliweza kuandika hotuba zake na hata kuchapisha vitabu vingi kuliko marais wote Africa. Alikuwa pia anatoa makala keenye magazeti na majarida mbalimbali.
Marais waluofuatia baada ya Mwalimu walichoweza kuandika labda ni CV zao kwani walisaidiwa kila kitu na wasaidizi wao.
Kuna utamaduni umeanzishwa Tanzania na baadhi ya nchi za Africa ambapo taasisi za elimu ya juu zimekuwa zikiwatunuku shahada za Uzamivu viongozi wakuu wa nchi. Sababu ama merits zinazotumika kuwahalalishia ni mafanikio kwenye eneo la uchumi au maendeleo. Lakini ukifanya tathmini ndogo utagundua nchi zao hazipo hata kwenye uchumi wa kati kwa maana nyingine wapo katika umaskini wa kutupwa.
Kuna maswali kadhaa ya kujiuliza;
Una mtazamo gani kuhusu hili?
- Jopo la Wanazuoni wanaopitisha hizo shahada kwa viongozi wakuu, huwa wanajiona wapo sahihi kulazimisha taswira isiyo na ukweli iambatane na sifa za PhD?
- Je, hii inawezekana ni muendelezo wa rushwa ndani ya sekta ya elimu? Yaani wasomi wanajipendekeza wakumbukwe na mtawala kupitia recognitions za shahada ya uzamivu bila vigezo vitakiwavyo?
- Inawezekana sasa tuamini kwamba hali yetu mbaya kiuchumi na kisiasa ni usaliti wa wakufunzi wetu wanaowaandaa wasomi ambao hushindwa kuitumia elimu yao kwa maslahi ya nchi?
- Vipi kuhusu unafiki?
Wachina wao walipitiliza. Walimpa Jakaya Uprofesa wa heshima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui kwa nini Jakaya hajiiti Profesa Jakaya Kikwete
Rais Kikwete atunukiwa u-profesa na Rais wa China
Chuo kikuu cha kilimo nchini China kinatarajia kumtunuku Shahada ya juu ya U-profesa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Bila shaka ni kwa kutambua mchango wake wake mkubwa kwa mapinduzi makubwa ya kilimo nchini. Hongera PROFESSOR JAKAYA KIKWETE. UPDATES President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete...www.jamiiforums.com
Kuna siku atakuja Rais mzuri atafute huu uchafu wote kwa hawa WA kuanzia na MSOGA kuja mbele!As long as CCM wapo madarakani
PhD za kujipendekeza zitatolewa bwelele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi Musukuma ana PhD [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante! Asante! Unajua siku uliyoandika hii MADA ulinikumbusha mbali sana, yaani 2012/13.Karibuu
Kichuguu Kitila Mkumbo lwaitama1 MALCOM LUMUMBA na wanazuoni wengine humu....hili swali linawalenga.Ninaweka mtazamo wenye mjadala ndani yake. Ninawaomba wananzengo msiugeuze mjadala kuwa eneo la dhihaka bali tuliangalie hili jambo kwa macho mawili.
Baba wa Taifa pamoja na kuwa busy sana kuliko waliomfuatia aliweza kuandika hotuba zake na hata kuchapisha vitabu vingi kuliko marais wote Africa. Alikuwa pia anatoa makala keenye magazeti na majarida mbalimbali.
Marais waluofuatia baada ya Mwalimu walichoweza kuandika labda ni CV zao kwani walisaidiwa kila kitu na wasaidizi wao.
Kuna utamaduni umeanzishwa Tanzania na baadhi ya nchi za Africa ambapo taasisi za elimu ya juu zimekuwa zikiwatunuku shahada za Uzamivu viongozi wakuu wa nchi. Sababu ama merits zinazotumika kuwahalalishia ni mafanikio kwenye eneo la uchumi au maendeleo. Lakini ukifanya tathmini ndogo utagundua nchi zao hazipo hata kwenye uchumi wa kati kwa maana nyingine wapo katika umaskini wa kutupwa.
Kuna maswali kadhaa ya kujiuliza;
Una mtazamo gani kuhusu hili?
- Jopo la Wanazuoni wanaopitisha hizo shahada kwa viongozi wakuu, huwa wanajiona wapo sahihi kulazimisha taswira isiyo na ukweli iambatane na sifa za PhD?
- Je, hii inawezekana ni muendelezo wa rushwa ndani ya sekta ya elimu? Yaani wasomi wanajipendekeza wakumbukwe na mtawala kupitia recognitions za shahada ya uzamivu bila vigezo vitakiwavyo?
- Inawezekana sasa tuamini kwamba hali yetu mbaya kiuchumi na kisiasa ni usaliti wa wakufunzi wetu wanaowaandaa wasomi ambao hushindwa kuitumia elimu yao kwa maslahi ya nchi?
- Vipi kuhusu unafiki?
Huu utakua ubaguzi na kuinyima jamii ujuzi kutoka kwa hao wanataaluma.Ili kuondoa huu ujinga viongozi wa vyuo vikuu wasiteuliwe na Rais wa JMT hasa vyuo vya umma
Kitila Mkumbo kwa sasa ana chakula mdomoni hawezi kuzungumza wakati wa kulaKichuguu Kitila Mkumbo lwaitama1 MALCOM LUMUMBA na wanazuoni wengine humu....hili swali linawalenga.
Kama ulimsikiliza Makamba vizuri pale Dodoma hivi majuzi alisema "na ndiyo maana akina Kikwete wakakaa pale chuo kikuu cha Dar Es Salaam na kuamua kukutunuku PhD ya heshima".Jopo la Wanazuoni wanaopitisha hizo shahada kwa viongozi wakuu, huwa wanajiona wapo sahihi
InaumizaKama ulimsikiliza Makamba vizuri pale Dodoma hivi majuzi alisema "na ndiyo maana akina Kikwete wakakaa pale chuo kikuu cha Dar Es Salaam na kuamua kukutunuku PhD ya heshima".
Kwa maneno haya ya mzee Makamba ni wazi kwamba mama hizi PhD ni za michingo tu. Akina Kikwete (kwa niaba ya akina Makamba) wanatoa PhD kwa mama kama shukurani ya watoto wao kupewa uwaziri/naibu waziri.