PhDmania: Prof Mwandosya auliza kama vigezo vya usomi vimebadilika!

PhDmania: Prof Mwandosya auliza kama vigezo vya usomi vimebadilika!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
1639726347067.png


Katika enzi hizi ambazo hata kina Msukuma wanapenda kujiita ni Madaktari wa Falsafa, na hili la mawaziri Jafo na Biteko kutunukiwa na UDOM, Udaktari wa Falsafa, kuna neno.

Prof Mark Mwandosya, msomi wa Udaktari wa Falsafa, mwalimu wa siku nyingi Co Kikuu Dsm na mwandishi wa Research Papers zinazotambulika kimataifa, ameuliza swali la msingi kabisa.

Ameuliza hivi, inawezekana kweli?
Mbunge mwenye shughuli nyingi, Waziri mwenye shghuli nyingi zaidi, kusoma na kuandika Research papers zinazotambulika kimataifa au kitaifa tu, na akatimiza matakwa ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa(PhD)?

Kawaida, PhD hutolewa kwa researcher ambaye anafanya shughuli hiyo si chini ya miaka minne!

Kazi kwako UDOM, kwa kugawa PhD kama peremende!
 
What are the top 5 universities in Tanzania?

1 University of Dar Es Salaam ( World Rank: 2021)
2 Muhimbili University of Health and Allied Sciences ( World Rank: 2520)
3 Sokoine University of Agriculture (World Rank:3877)
4 University of Dodoma ( World Rank: 4896)
5 Mzumbe University (World Rank: 5226)
6 Open University of Tanzania (World Rank: 5398 )


UDOM kimeanza kuwa a mediocre Higher Learning Institute, karibu watatoa PhD kwa Masanja Mkandamizaji.

Kwa Rank ya kimataifa, PhD za UDOM ni makaratasi tu.
 
View attachment 2047191
Katika enzi hizi ambazo hata kina Msukuma wanapenda kujiita ni Madaktari wa Falsafa, na hili la mawaziri Jafo na Biteko kutunukiwa na UDOM, Udaktari wa Falsafa, kuna neno.
Prof Mark Mwandosya, msomi wa Udaktari wa Falsafa, mwalimu wa siku nyingi Co Kikuu Dsm na mwandishi wa Research Papers zinazotambulika kimataifa, ameuliza swali la msingi kabisa.
Ameuliza hivi, inawezekana kweli?
Mbunge mwenye shughuli nyingi, Waziri mwenye shghuli nyingi zaidi, kusoma na kuandika Research papers zinazotambulika kimataifa au kitaifa tu, na akatimiza matakwa ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa(PhD)?

kawaida , PhD hutolewa kwa researcher ambaye anafanya shughuli hiyo si chini ya miaka minne!

Kazko UDOM, kwa kugawa peremende!
No kuna wstu wanasoma bro

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Shida hapa ni supervisors na ubalozi wa kufanya kwa niaba, uwaziri ni cheo na unapesa, supervisors na discussants wakimezwa tu kazi kwisha kkbsa

Upitishwaji wa proposals za PhD umekuwa Utopolo sana watu wanaogopa kuonekana wanoko na Ualimu haulipi critical observations ni adimu, discussants/supervisors baadhi weupe kwenye topic ya wanafunzi yaani watu wanapewa tu na Hata supervision anaweza kupewa alomaliza juzi tu PhD amsimamie mwanafunzi wa PhD.

TCU inahusika hapa na DVCs, Post grad directors, College/schools principals na Heads of Dept.

USA Utopolo huu haupo.

Maprof wengi wemechoka hawasomi kazi kwa weledi. Kukosoa imekuwa unoko cku hizi. Funika Kombe mwanaharamu apite.

NB: Specialization za ugwiji hakunaga tena, majority ni multidisciplinary nusu nusu robo robo kila kitu.
 
No kuna wstu wanasoma bro

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Na hilo ndio tatizo kuu.
PhD hazisomewi darasani, bali research!

Hatua za kuipata PhD ni kama ifuatavyo:

The PhD Journey​

There are quite a few components and milestones that comprise most PhD journeys, seven main steps of a PhD.

Research proposal
The research proposal is one of the most important early stages of a PhD, laying out the plan for your thesis.
Literature review
This is a chance for you to show your knowledge and understanding of the work that's already been done in your field.
Writing research papers
Find out more about how to format, structure and submit a research paper for publication in a journal.
Teaching as a PhD student
Teaching during your PhD can be a rewarding experience and a great opportunity for personal development.
Read more
Academic conferences
Attending academic conferences and events is a chance for your to present your research and network with peers.
PhD publications
You might have the opportunity to publish your research during a PhD, gaining experience of the peer review process.
MPhil upgrade
The MPhil upgrade is when you gain the status of a PhD candidate, usually taking place at the end of your first year.
Writing up a PhD thesis
Find out more about the PhD dissertation, with advice on length, structure, planning and feedback.
PhD abstract
Every student will need to write an abstract for their PhD dissertation. Here's everything you need to know about what that involves.
PhD viva
Taking place at the end of your PhD, the viva is an oral examination where you defend your thesis.
Finishing your PhD
This is what you need to bear in mind as you come to the end of your PhD, with advice on submission and corrections.

Haya hayo yote Jafo na Biteko wameyapitia wakiwa wabunge na MawaMawaz

Hela imetembea hapo!
 
Back
Top Bottom