PhDmania: Prof Mwandosya auliza kama vigezo vya usomi vimebadilika!

PhDmania: Prof Mwandosya auliza kama vigezo vya usomi vimebadilika!

I have got PhD made in Tanzania , engineered by tanzanian😁
 
Grace Mugabe aligonga phd ndani ya miezi mitatu.!!!😂😂😂 Walipochunguza vc alifukuzwa kazi. Kuna haja ya uchunguzi kufanyika kwani hadhi ya chuo iko mashakani.
 
Wanataka title ya u Dr Ili wapate cheo, ila unakuta Wana tafiti mbili ya master's na hyo ya PhD na huwa hawaendelei kufanya tafiti baada ya kuhitimu.
Baada ya kuona Magu anateua PhD watu wakakimbilia huko Ili nao wale mema ya nchi huku vichwani ni empty set
Duh! Pia kuipata PhD kihalali bila magumashi sio rahisi inahitaji uwe mwanafunzi wa fulltime au uwe unafanya kazi taasisi za utafiti.

Kwa huku Afrika chuo kikuu cha Cape Town (UCT) wako serious sana, humalizi PhD kama huna machapisho angalau mawili ktk international journals.
 
Ooh yes well said Comrade!!

Wengi wao wamefanya kwa kutaka sifa tu na sio kingine.

Ninakumbuka kuna Mkurugenzi mmoja alikuwa Board ya Koro-show na sasa hivi kakimbilia TFRA eti nae anasoma PhD wakati kichwani ni hamnazo na hata degree ya kwanza yenyewe hajaifanyia kazi ili aonekane kama kweli kasoma.

Ni kweli kabisa PhD watu wengine wanazitaka kama sifa tu wakati vichwani mwao hakuna kitu.
Unakuta mtu ana PhD ila hana andiko lolote lile ktk journals zinazotambulika. Kituko zaidi utakuta ana miaka zaidi hata ya miwili toka amemaliza kusoma ila huoni andiko lake popote pale hata ktk local journals tu.
 
View attachment 2047191
Katika enzi hizi ambazo hata kina Msukuma wanapenda kujiita ni Madaktari wa Falsafa, na hili la mawaziri Jafo na Biteko kutunukiwa na UDOM, Udaktari wa Falsafa, kuna neno.
Prof Mark Mwandosya, msomi wa Udaktari wa Falsafa, mwalimu wa siku nyingi Co Kikuu Dsm na mwandishi wa Research Papers zinazotambulika kimataifa, ameuliza swali la msingi kabisa.
Ameuliza hivi, inawezekana kweli?
Mbunge mwenye shughuli nyingi, Waziri mwenye shghuli nyingi zaidi, kusoma na kuandika Research papers zinazotambulika kimataifa au kitaifa tu, na akatimiza matakwa ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa(PhD)?

kawaida , PhD hutolewa kwa researcher ambaye anafanya shughuli hiyo si chini ya miaka minne!

Kazi kwako UDOM, kwa kugawa PhD kama peremende!
Mwandosya acha kukalili ujinga wa baadhi ya walimu wa vyuo ya Waafrika ambavyo vimejaa kasumba ya kijinga eti kwa hili somo huwezi kupata A.

Ujinga mtupu, huo upunguani umepitwa na wakati saivi wa kusomea UDSM ukajiona wa maana sana kumbe ujinga tu.

Majitu yanapiga open kiulaini afu yanapiga maisha ahahahah
 
Kwa nini vyuo vyote vikuu wakuu wake ni wanasiasa au wenye nasaba hizooo
 
View attachment 2047191
Katika enzi hizi ambazo hata kina Msukuma wanapenda kujiita ni Madaktari wa Falsafa, na hili la mawaziri Jafo na Biteko kutunukiwa na UDOM, Udaktari wa Falsafa, kuna neno.
Prof Mark Mwandosya, msomi wa Udaktari wa Falsafa, mwalimu wa siku nyingi Co Kikuu Dsm na mwandishi wa Research Papers zinazotambulika kimataifa, ameuliza swali la msingi kabisa.
Ameuliza hivi, inawezekana kweli?
Mbunge mwenye shughuli nyingi, Waziri mwenye shghuli nyingi zaidi, kusoma na kuandika Research papers zinazotambulika kimataifa au kitaifa tu, na akatimiza matakwa ya kutunukiwa Udaktari wa Falsafa(PhD)?

kawaida , PhD hutolewa kwa researcher ambaye anafanya shughuli hiyo si chini ya miaka minne!

Kazi kwako UDOM, kwa kugawa PhD kama peremende!
Prof asishangae, hizo ni PhD za kata
 
We umeenda ukapata?
Nasubiri nyie mchinga msio na wivu mpate kwanza.
Kutakuwa na
Dk. wa suaruali
Dk. wa magauni
Dk. wa viatu tumika
Dk. wa nguo za ndani wanawake

We kajieleze tu UDOM wanatoa bila hiana.
 
Mwandosya acha kukalili ujinga wa baadhi ya walimu wa vyuo ya Waafrika ambavyo vimejaa kasumba ya kijinga eti kwa hili somo huwezi kupata A.

Ujinga mtupu, huo upunguani umepitwa na wakati saivi wa kusomea UDSM ukajiona wa maana sana kumbe ujinga tu.

Majitu yanapiga open kiulaini afu yanapiga maisha ahahahah
Nyie ndio mmesoma lakini hamkuelimika!
 
Saaaana, kanikera sana huyu mzee. Anadhani tupo karne za akina Carmax
Kusoma hakuna mbadala , ndio maana utapata PhD fafa vyuo kama UDOM tu.
Waliopata hizo PhD kina Jafo na waende hata ChuoKikuu cha Nairobi na wapresent paper, kama hawakutukanwa!
 
What are the top 5 universities in Tanzania?

1 University of Dar Es Salaam ( World Rank: 2021)
2 Muhimbili University of Health and Allied Sciences ( World Rank: 2520)
3 Sokoine University of Agriculture (World Rank:3877)
4 University of Dodoma ( World Rank: 4896)
5 Mzumbe University (World Rank: 5226)
6 Open University of Tanzania (World Rank: 5398 )


UDOM kimeanza kuwa a mediocre Higher Learning Institute, karibu watatoa PhD kwa Masanja Mkandamizaji.
Kwa Rank ya kimataifa, PhD za UDOM ni makaratasi tu.

Siku naangalia hizo ranking, awali ya udsm nikadhani ikimaaniasha kwa mwaka 2021 😁😁.

I realized later.

Kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom