Ilq Vijana wenzangu,Kuna umuhimu na raha ya Aina yake kuwa na familia mapemq,walau by 30 uwe tayari na majukumu ya familia!!Kuna ka utulivu fulani ka nafsi hata kama mambo mqgumu ila unapata msukumo wa kupambana na Baraka pia hufunguka!!
sijakurupuka, kutoingia kwenye ndoa kabisa sio jambo baya kama hufanyi tendo la ndoa
ila kutoingia kwenye ndoa na huku huwezi kujizuia nyegezz hivyo unashiriki tendo la ndoa kwa njia ya zinaa ni jambo baya sana unafanya. matokeo ya uzinzi ni mabaya kuliko matokeo ya kuingia kwenye ndoa mapema
Mkuu usilinganishe life la uingereza na Tanzania, huku ukijipata kidogo tu inabidi uwabebe kwenu na ukweni.
Foden kipaji kimembeba mambo mazuri kibongo bongo mtu ana miaka 31 bado mambo tasa anabeti tu, ana biashara ya uongo na kweli pia anaenda dodoma kila mwezi kwenye interview