Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi
Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
Si anaweza akateuliwa kuwa mbunge??Sasa jina ulotaja haponi mbunge?
Sijui huwa mnafikiria kwa kutumia nini
Mkuu shuleni mnaenda kusomea ujinga? ubunge si anateuliwa tu au hujua muheshimiwa anaweza kuteua wabunge? huyo mpango aliwekwaje kwa mara ya kwanza?Sasa jina ulotaja haponi mbunge?
Sijui huwa mnafikiria kwa kutumia nini
Madelu madelu madelu another crook! This lunatic is insane!!Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha...
Wewe ni mmoja wapo kati ta mliopewa tenda ya kutuchafulia mawe yetu nchi nzima kwa kupiga machata "Mwigulu rais 2015" sasa umelamba tenda nyingine.Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Mwigulu hatufai.Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha...
Unapoona jina la mtu kama huyo usitumie nguvu kumjibu mpuuzeMwigulu hatufai.
Ni gaidi,katili,muuaji!
Mwigulu ni muongomuongo.
Hafai kuwa kiongozi.
Amechafua mawe yetu na madaraja chi nzima. Tunataka afute huo uchafu wake haraka.
Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Hao wakina mwigulu Kila siku hao hao!!? hakuna wengiene??Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
mkabila zaidi ya meco?Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Mwigulu bana, safari hii unaondoka hapo kibarazani.Uteuzi wa Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha....
Nyie ndio mnasomea ujingaMkuu shuleni mnaenda kusomea ujinga? ubunge si anateuliwa tu au hujua muheshimiwa anaweza kuteua wabunge? huyo mpango aliwekwaje kwa mara ya kwanza?
cv ilikua vizuri lakini au ulitaka ubebweKimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Ndio sijakataa..kuteuliwa sawa.Si anaweza akateuliwa kuwa mbunge??
Sasa aliyetajwa ni Mbunge,??????.Kuna wabunge wa kuteuliwa au hujui