Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

tukutengee na kiwanja masaki kabisa
 
Una Elimu nzuri lkn imechanganyika na uchafu mwingi pia umeomgea megi sana juu ya Pi lkn Pi imekuonyesha kidogo sana kuwa yenyewe siyo scam ulisema hta dollar 1 haitafika lkn majibu umepata, na ipo exchange lkn pi haihitaji exchange na exchange zinahaa kufuata terms ili wailist pi na ujue pi ni Utility coin, Acha kwenda shule kukariri Soma uelimike sio ukariri
 
huyu bwege mjuaji kuliko Wataalamu wa blockchain alisema pi haitafika hta $1 Sasa amejionea mwenyewe pi imemjibu
 
Ungemine zko ndo ufnye hvyo mbona unampangia matumizi mtu kitu alichopambana yeye kwan ewe hukuiona app ya minning
mimi nina Pi elf 5, Migrated 1375, e.tc.. sijampangia mtu matumizi! tanua ubongo wako uwe unafikiria beyond
 
PI bado hawana coin, ukiwa na coin unaongozwa na community! mfano kwenye explorer tunatakiwa tuone kwenye mzunguko zpo ngap ili isije ikatokea imelisitiwa kumbe unazo nyingi ukaja kutuuzia, Pia PI ndo coin pekee inaotaka mtu afanye KYC 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 , yaaani leo hii ili umiliki Bitcoin unatakiwa ufanye KYC kama sio uchizi ni nn huo, pia PI ndo coin pekee yenye matangazo 🀣🀣🀣, tukisimama kwenye ukwel PI ni scam na nyie sio wa kwanza kutapeliwa usijipe moyo kisa ina watu wengi ukadhan n legite, mfano PI kwenye playstore ambao ni ushamba mwingine sasa coin unaipata playstore ina downloads mil 50, maaana yake kuna mangombe mil 50 ambao hawaelewi izi crypto znaendaje na nyie sio kwanza ilishakuepo hio inaitwa ONE COIN, ambayo mpaka leo mmiliki anatafutwa, kuna PIP COIN kwa lugha nyepesi nyie mmshindwa kutumia akili
 
huyu bwege mjuaji kuliko Wataalamu wa blockchain alisema pi haitafika hta $1 Sasa amejionea mwenyewe pi imemjibu
ivi wewe fikiria hii concept: bitcoin ina coins mil 21 na nyingi zishapotea hazpo kwenye mzunguko price ni $94k, wewe coin yako supply 100B price unataka iwe $314000, unataka Mungu akusaidie vp tena ili uweze kutumia akili vizuri
 
Kumbe nawewe unachezaga hii michezo ya crypto
Pi kuna mtu aliniambia na ni mtu ninayemuamini sana. Alinipa coin tatu akaniambia hizi zitaingia sokoni ila ambayo ina uhakika wa kufanya vizuri ni Pi. Basi nikaona hainigharimu chochote acha nijaribu.
Jana price ilikuwa 1.7.. na niliuza coin 300 ni USD ngapi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kama ulikua na PI 300 basi ulikomaa sana but pia wote wa PI mlitegemea laki tatu, price mnayoiona saaahv mnahuzunika ndan kwa ndan, ni kama mtu alieweka tsh 300 alafu akabet anatakiwa kushinda mil 50 timu moja ikaharibu, maumivu sio kwamba ulitumia tsh 300 but ile expecttion
 
Nina Pi nyingine 500 ambazo naweza kuziuza muda wowote na nina nyingine 1400 ambazo nasubiri ziwe migrated niweze kuzitumia.

Kuhusu kuwa dollar ngapi inategemea mtu info zake alikuwa anazipata wapi ila mimi nilijua ikifunguliwa haitazidi USD 3 na ikiendelea kufanya vizuri mbeleni inaweza kufikia kule ambaPo watu wali predict.

Ila mimi sioni watu wanaumiaje na wakatu ni kitu mtu una mine free. Hapakuwa na cost yoyote gharama pekee ni muda ambao ni mara moja kwa masaa 24 unabofya tu neno mine. Hata haili mb 1.
Sasa pi 300 tu nina dollar 500+ ambayo ni million na laki kadhaa nina hasara gani?
 
Mbona unalia ?

Njoo hapa ukiwa unasema umeuza pi, na umeuza wapi tupe na transaction hash.
Sio unapanick, Pi ni Scam kama sio scam kwanini ina market cap ya 0 na circulation supply 0.
Ambacho huelewi ni nini, hapo we elewa hakuna investor kaweka Hela yake kwenye pi, endeleeni kuwauzia data zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…