Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

ngoja tusikilizie wakileta hizo Apps zilizokua zinatengenezwa kipindi kile cha Hackathon! mimi hainiingii akilini kuwa zile movements na progress zote iwe bure? hapana!

watu wawe wavumilivu unakumbuka kipindi kile ma exchange mbali mbali yaliweka Pi kwa bei ya IOU , Akina Huobi, XT e.tc ngoma inaenda mpaka ma Laki huko kwa Pi, Hype ilikua kubwa sana!

Hawa akina Nico sio wajinga.. Trust Me hii inakwenda ku prove watu Wrong!

Wale wa Kiroho wameshachungulia Pi kuwa inakwenda kubadilisha maisha yao..
Mkuu we hushangai mafounder ni wamarekani ila wamarekani hawana shobo nayo wakati wana shobo na coins ambazo hazina hata thamani ya $1?
Jiulize mkuu?
 
Mkuu we hushangai mafounder ni wamarekani ila wamarekani hawana shobo nayo wakati wana shobo na coins ambazo hazina hata thamani ya $1?
Jiulize mkuu?
Ngoja tuone kama ule msemo Wa "Nabii hakubaliki kwao" kama uta apply hapa.

hivi mtu aliyekua na coin elf 1 wallet katupia mzgo wote kule.. 1000*2$ = 2000$* 2,594= 5.1M , kuna wa tz wamepata pata kidog..hii ni kwa mwenye njaa

lakini ngoja tusubiri! wanasema Subira itajibu yote haya.
 
Ngoja tuone kama ule msemo Wa "Nabii hakubaliki kwao" kama uta apply hapa.

hivi mtu aliyekua na coin elf 1 wallet katupia mzgo wote kule.. 1000*2$ = 2000$* 2,594= 5.1M , kuna wa tz wamepata pata kidog..hii ni kwa mwenye njaa

lakini ngoja tusubiri! wanasema Subira itajibu yote haya.
Mpaka sasa sidhani kama kuna mtz kauza maana wauzaji walikuwa wengi kuliko wanunuzi labda kama sasa imetulia
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Sijui kwanini holder wa hii coin wengi ni watu wa vietnam, phillipines, thailand india na nigeria ambao mostly ndiyo huwa victims wa ponze schemes...
Hata channel nyingi za youtube za coin hii waendeshaji wake ni watu wa huko.
Shida ni pale tulipoamini kuwa itaipiku thamani bitcoin.
Ninazo 50 nilikuwa nimeshapanga nikanunua apartment pale royal village. Sasa nimeshtuka niko mapinga hapa sijaamini kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣 oyaaa we bilionea mvivu
 
Sijui kwanini holder wa hii coin wengi ni watu wa vietnam, phillipines, thailand india na nigeria ambao mostly ndiyo huwa victims wa ponze schemes...
Hata channel nyingi za youtube za coin hii waendeshaji wake ni watu wa huko.
Shida ni pale tulipoamini kuwa itaipiku thamani bitcoin.
Ninazo 50 nilikuwa nimeshapanga nikanunua apartment pale royal village. Sasa nimeshtuka niko mapinga hapa sijaamini kabisa.
hii coin kwa mtu ambae amefanya crypto mda mrefu basi njia iliotumika sio mpya, wengi wao ni wageni wa crypto ama ni wazee wa matumaini, ila kwa mkongwe wa crypto ilishajulikana apa ni upigaji fuatilia scam moja inaitwa ONECOIN: hii sura unaijua?

1740218449565.png
 
hii coin kwa mtu ambae amefanya crypto mda mrefu basi njia iliotumika sio mpya, wengi wao ni wageni wa crypto ama ni wazee wa matumaini, ila kwa mkongwe wa crypto ilishajulikana apa ni upigaji fuatilia scam moja inaitwa ONECOIN: hii sura unaijua?

View attachment 3245178
Ruj'a ignatov alitiumia adverts kama za pi sema tofauti na pi watu walikuwa wanaweka pesa na ilikuwa kama pyramid scheme fulani na there was absolutely no coin at all. Yani hakuwahi develop coin yoyote. Then akapotea na billions of dollars. Kuna tetes kwamba aliuawa na nyingine za juzi juzi inasemekana huenda yuko south africa.
 
ngoja tusikilizie wakileta hizo Apps zilizokua zinatengenezwa kipindi kile cha Hackathon! mimi hainiingii akilini kuwa zile movements na progress zote iwe bure? hapana!

watu wawe wavumilivu unakumbuka kipindi kile ma exchange mbali mbali yaliweka Pi kwa bei ya IOU , Akina Huobi, XT e.tc ngoma inaenda mpaka ma Laki huko kwa Pi, Hype ilikua kubwa sana!

Hawa akina Nico sio wajinga.. Trust Me hii inakwenda ku prove watu Wrong!

Wale wa Kiroho wameshachungulia Pi kuwa inakwenda kubadilisha maisha yao..
ile ilikua ni TOKEN sio coin, na ilitengenezwa na supply ndogo, hii yenu ina supply ya 100B tokens, yaaani zpo nyingi mpaka mnapewa bure chukulia mfano wa akina shiba inu, sasa unapokuja kwenye exchange kukiwa na wauzaji wengi basi bei lazima iporomoke, ivi wewe labda nkuulize, tuseme pi inauzwa hio laki 3, nani atatoa laki tatu ilihali kwenye app wanagawa bure?
 
ile ilikua ni TOKEN sio coin, na ilitengenezwa na supply ndogo, hii yenu ina supply ya 100B tokens, yaaani zpo nyingi mpaka mnapewa bure chukulia mfano wa akina shiba inu, sasa unapokuja kwenye exchange kukiwa na wauzaji wengi basi bei lazima iporomoke, ivi wewe labda nkuulize, tuseme pi inauzwa hio laki 3, nani atatoa laki tatu ilihali kwenye app wanagawa bure?
Kuna mtu katoa arguement moja wapo ikiwa n hiiyo kuwa inatolewa bure and is easy to mine kwa sababu there is no mining kimsingi ina simulate mining. Unlike bitcoin na coin nyingine mining yenyewe ni kazi na unachokipata someetimes n kidogo kuliko hata gharama ya umeme unayotumia.
So mtu kununua kitu kinachopatikana bure kwa bei kubwa nacho ni kipengele haijalishi wameshusha kiasi unachopata.
 
Ruj'a ignatov alitiumia adverts kama za pi sema tofauti na pi watu walikuwa wanaweka pesa na ilikuwa kama pyramid scheme fulani na there was absolutely no coin at all. Yani hakuwahi develop coin yoyote. Then akapotea na billions of dollars. Kuna tetes kwamba aliuawa na nyingine za juzi juzi inasemekana huenda yuko south africa.
tafauti yake na pi ndi ndogo sana, PI ela inatokana na wewe kutumia app, yaani they are making money out of you, unajua mfano ukienda pale youtube unakuta matangazo mengi basi yale matangazo ni pesa, taafuti ya pi na one coin ni one coin watu walitoa ela ila pi watu walitoa taarifa zao binafsi, uku wameuza taarifa kule pesa na ni mara mia waliotoa pesa maaana issue ya taarifa mpaka leo vita ya kuchukua taarifa za watu haiishi si unaona kila sku google analipishwa mabilioni kisa kuchukua taarifa za watu, sasa nyie mliuza taarifa

kuhusu kuuwawa nliona hio documentary walisema kuna GANG alikua anahusika nayo wakaja kumuua japo hawana uahakika ila ndo utafanyaje sasa umezulumu watu
mm mpaka leo siamini kama PI wana coin ni scam project, mfano ukienda pale coin market cap mpaka leo hatuelewi supply ni ngap yaani taarifa zote znatokana na matamshi:

1740218994877.png
 
Kuna mtu katoa arguement moja wapo ikiwa n hiiyo kuwa inatolewa bure and is easy to mine kwa sababu there is no mining kimsingi ina simulate mining. Unlike bitcoin na coin nyingine mining yenyewe ni kazi na unachokipata someetimes n kidogo kuliko hata gharama ya umeme unayotumia.
So mtu kununua kitu kinachopatikana bure kwa bei kubwa nacho ni kipengele haijalishi wameshusha kiasi unachopata.
ni kwel kuhalisi haimake sense mtu kutoa mil 600 kwenye kitu ambacho naweza kukipata bure, bitcoin yenyewe ni ngumu sana kufaidika na mining yake ndo maaana iko bei juu, kitu kikiwa adimu unajiwekea sasa bei unaotaka

mfano unataka kununua kiwanja posta pale yaani unajua kabisa apa ni hot cake usitegemee bei yake itakua slope, lazima ufilisike ndo unapata heshima yako
 
Siamini kabisa. Huku pi huku lbl hii wiki inaitwa maumivu double
mzee unapenda utajiri mwepesi piga kazi mbna kazi za kufanya zpo nyingi tu, hio nguvu na mategemeo ungeweka kwenye kazi ungekua mbali kijana, si unaona saahv palm village unapaangalia kwa heshima
 
Ngoja tuone kama ule msemo Wa "Nabii hakubaliki kwao" kama uta apply hapa.

hivi mtu aliyekua na coin elf 1 wallet katupia mzgo wote kule.. 1000*2$ = 2000$* 2,594= 5.1M , kuna wa tz wamepata pata kidog..hii ni kwa mwenye njaa

lakini ngoja tusubiri! wanasema Subira itajibu yote haya.
1740219324453.png

bei ni 0.8$ ile price ya kwanza huezi pata kwa sababu orders kubwa ndo zliamua price ya kwanza
 
tafauti yake na pi ndi ndogo sana, PI ela inatokana na wewe kutumia app, yaani they are making money out of you, unajua mfano ukienda pale youtube unakuta matangazo mengi basi yale matangazo ni pesa, taafuti ya pi na one coin ni one coin watu walitoa ela ila pi watu walitoa taarifa zao binafsi, uku wameuza taarifa kule pesa na ni mara mia waliotoa pesa maaana issue ya taarifa mpaka leo vita ya kuchukua taarifa za watu haiishi si unaona kila sku google analipishwa mabilioni kisa kuchukua taarifa za watu, sasa nyie mliuza taarifa

kuhusu kuuwawa nliona hio documentary walisema kuna GANG alikua anahusika nayo wakaja kumuua japo hawana uahakika ila ndo utafanyaje sasa umezulumu watu
mm mpaka leo siamini kama PI wana coin ni scam project, mfano ukienda pale coin market cap mpaka leo hatuelewi supply ni ngap yaani taarifa zote znatokana na matamshi:

View attachment 3245182
yah pale kwenye ads wamepiga sana ela na walisema kwamba ni kwa ajili ya kulipia servers na developers which kwangu naona ajabu kwa sababu hakuna project kubwa na za maana zinazotegemea ads watu huwa wana invest
 
hii coin kwa mtu ambae amefanya crypto mda mrefu basi njia iliotumika sio mpya, wengi wao ni wageni wa crypto ama ni wazee wa matumaini, ila kwa mkongwe wa crypto ilishajulikana apa ni upigaji fuatilia scam moja inaitwa ONECOIN: hii sura unaijua?

View attachment 3245178
Huyu demu alivanish kabisa 😁😁 lazma alifanya plastic surgery.
 
mzee unapenda utajiri mwepesi piga kazi mbna kazi za kufanya zpo nyingi tu, hio nguvu na mategemeo ungeweka kwenye kazi ungekua mbali kijana, si unaona saahv palm village unapaangalia kwa heshima
Mkuu usiamini kila ninachokiandika hapa ninachangamsha genge tu...
 
yah pale kwenye ads wamepiga sana ela na walisema kwamba ni kwa ajili ya kulipia servers na developers which kwangu naona ajabu kwa sababu hakuna project kubwa na za maana zinazotegemea ads watu huwa wana invest
na tena walikua wanafungua kila siku kumine hehehe for 6 years hio pesa waliovuna nadhan washstaafu ukiona pale playstore wana downloads mil 10, yaani ni kama kila sku waliingiza zaidi ya mil 1
 
na tena walikua wanafungua kila siku kumine hehehe for 6 years hio pesa waliovuna nadhan washstaafu ukiona pale playstore wana downloads mil 10, yaani ni kama kila sku waliingiza zaidi ya mil 1
Ndiyo maana nilisema huko juu project ya hawa watu ilikuwa kupata views so wakaja na hii masterplan. Hata ukisoma walivyogeukana na wenzao wakabaki mume na mke unajua hawa watu hawa....
 
Back
Top Bottom