Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

ushawahi kuona kyc ya btc?
 
Kutegemea iwe scam labda kwa wageni
 
PI sio real project, hawana ata coin bado, mnapelekeshwa uku na uko kwa kutumia terms ambazo hazina maaana ila kwa sababu ya kutokua na uelewa basi na nyie mnachukua, mfano open mainet, mainet all these terms they dont mean anything unique the point apa ni kwamba mnazungushwa uku na kule muendelee kufungua app kila sku wapate ela, toka bicoin imeanza ambao ndo waaanzilishi wa mfumo wa block chain hakuna coin imeingia sokon ikiwa na maneno mengi kama hii
 
Dah umensanua kuna mchongo wa hela ndefu ilikuwa nataks niupige alafu mshko ote uwepo bitcins kwa kuamin ni untreasable kumbe nlikuwa najidanganya mwenyewe
Kuna private na public BTC ni public blockchain all transaction zinaonekana ila ni ngumu kuzirudisha ukistore kwenye onchain wallet sio offchain wallet jifunza acha siasa
 
Ile token ya binance haikua na kyc mkuu?
hakuna token wala coin yoyote duniani inayooomba kyc ni PI peke yake all coins u can buy them and own them ukiwa na wallet bila sheria yoyote wala matangazo yoyote, PI sio coin na huenda ile ripoti ya china ikawa sahihi, kama kwel watu waliauliwa baada ya taarifa zao kuvuja basi mpo kwenye hatari
 
Wewe mbona kama ni mropokaji ujui chochote una taaluma gan kwanz wew😁😁
 
Unaogopa kufa 😁😁
 
MKuu mimi hii pi sikuifatilia kabisa, kwamba kyc imehitajika sehemu gani?
 
btc ana supply ya 21M coins, PI ana 100B , btc price yake ni $86k ila PI price inaosubiriwa ni laki tatu, kuna mda uafrika ni mgumu sana
Laki tatu ya kibongo au usd, sema watu wenyewe wanaochukua coins wanasubiri launch day waziuze izo bei zitafika kweli
 
btc ana supply ya 21M coins, PI ana 100B , btc price yake ni $86k ila PI price inaosubiriwa ni laki tatu, kuna mda uafrika ni mgumu sana
Pi Ni 10B kufika laki tatu hapana wew ulivyomjinga ukisikiaa wanasema inafika laki tatu na wew una aamini akati at least unajua uchumi kidg 😁😁
 
Jamaa huyo ni mbishi tu hata ikiwa pi network ni scam sio tatizo ila yeye anajifanya perfect guy anajua kila kitu
amna sehem nmesema ivo hayo ni yako, ila i know much about crypto kwa undan wake as advanced as i can recall and all i see ni kikundi cha imani ambacho hakimake sense, wewe tafauti yako na wanaojaza kwa mwamposa ni ndogo sana na huenda shule haijakusaidia lolote, Yaani dunia inapambana na uchukuaji wa taarifa binafsi nyie ndo wala amna hahbari, kule marekani tiktok mpaka imefugiwa kisa kuchukua taarifa nyie uuku walaaa, juzi ripoti imetoka watu wameuliwa wa PI nyie uku walaaa, yaani kuna mda pia uafrika una shida sana na huenda kuna kalaana flan kanatemebea bila kujua
 
Pi Ni 10B kufika laki tatu hapana wew ulivyomjinga ukisikiaa wanasema inafika laki tatu na wew una aamini akati at least unajua uchumi kidg 😁😁
sasa si ndo tunachowafundisha hawa mabinti wa PI hawaelewi, wanaishi kwa imani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…