Usimpe pole , utajiri rahisi duniani haupo lazima uhustle , hizo mishe hutokufa umemkuta billgates, Elon, Azania, amban , dangote, bado haujiulizi tu maswali ya kawaida yaani wewe wa Tanzania vijijini upate mchongo WA pesa kabla magwiji hawajaupata hell nopole sana mkuu, delete kabisa app yao
sasa mzee ntoke kote uku uje uanze kuniambia kuna fursa ya kubonyeza button ya MINEDaaah! haya bhana! Ukiwa na nafasi tuonane pale Mlimani City weekend hii! nikuone laivu tuongee ishu za kibiashara..naona hukunijibu
kuna wajinga wa pi humu, ambao wanadai walianza kumine 2019, sasa wangekuwa wanaelewa crypto btc kama sikosei mwaka juzi ilifika mpaka $15000 ambapo wangenunua tu hata za $1000 now wangekuwa mbali, sema moyo wakuhold unahitaji roho ngumu, ndiomana wanapenda vitu petish kama kuclick click wakifikiri wanamine, sasa hiyo pi ukiwaambia ni scam wanasema mbona inauzwa OKX nimeomba proof ya aliyeuza hata pi 1, hakuna aliyekuja wanadai ipo siku, ngoja tuione iyo siku.Ukiona umetapeliwa fahamu aliyekutapeli anaakili kuliko wewe, na hakuna utajiri wa kudownload kamwe , kwani wale wa bitcoin wao walishakua mabilionea?
hao wanaitwa mabilionea wavivu hao nikolas anawapeleka kule anawarudisha uku 🤣 🤣 , uzee huu apa walete katikuna wajinga wa pi humu, ambao wanadai walianza kumine 2019, sasa wangekuwa wanaelewa crypto btc kama sikosei mwaka juzi ilifika mpaka $15000 ambapo wangenunua tu hata za $1000 now wangekuwa mbali, sema moyo wakuhold unahitaji roho ngumu, ndiomana wanapenda vitu petish kama kuclick click wakifikiri wanamine, sasa hiyo pi ukiwaambia ni scam wanasema mbona inauzwa OKX nimeomba proof ya aliyeuza hata pi 1, hakuna aliyekuja wanadai ipo siku, ngoja tuione iyo siku.
Hao ni wale wanaotamanishwa through first display , halafu wanaingia wazima wazima hizi hata kukumbuka Forex ya Yule dogo hawakumbuki Tu ukawa mfano kwao na hapo wajinga washajitangaza watakua mabilionea now wapowapo kama maiti wanatetea upuuzi ili kupoteza wenzao hakuna utajiri rahisi dunia hiikuna wajinga wa pi humu, ambao wanadai walianza kumine 2019, sasa wangekuwa wanaelewa crypto btc kama sikosei mwaka juzi ilifika mpaka $15000 ambapo wangenunua tu hata za $1000 now wangekuwa mbali, sema moyo wakuhold unahitaji roho ngumu, ndiomana wanapenda vitu petish kama kuclick click wakifikiri wanamine, sasa hiyo pi ukiwaambia ni scam wanasema mbona inauzwa OKX nimeomba proof ya aliyeuza hata pi 1, hakuna aliyekuja wanadai ipo siku, ngoja tuione iyo siku.
Kila siku bado siku mojaDangote unamkuta kwenye masoko ya hisa na real investment kwani Hana wataalamu wa IT wanaweza kumshauri hizo platform za kipuuzi na scams?
Nice to see you baby Bora haujawahi kua mjinga kipenzi changuKila siku bado siku moja
Hyo siku huwa haifiki?
Yaani wewe nisikukamate.ngoja niwe bilioneaNice to see you baby Bora haujawahi kua mjinga kipenzi changu
HahaaaaYaani wewe nisikukamate.ngoja niwe bilionea
Miss you tho
unaingiza ngombe studio amna wanachokuelewa zaidi ya mabilioni yaoBillgates akipata kusema we start with ideas then physical investment then earning profit but within profit there is losses then we recover to account more profits , then we pledge ni lugha ngumu Sana hiyo akasema there is no overnight success in this world it's just a process
funny thing is ata ufanye vp hawawezi kuacha kuwaza mabilioni yao kama ya Dkt shikaHao ni wale wanaotamanishwa through first display , halafu wanaingia wazima wazima hizi hata kukumbuka Forex ya Yule dogo hawakumbuki Tu ukawa mfano kwao na hapo wajinga washajitangaza watakua mabilionea now wapowapo kama maiti wanatetea upuuzi ili kupoteza wenzao hakuna utajiri rahisi dunia hii
watu hawategemei ku invest kwenye crypto ndio waendeshe maisha..ukiwa free nijulishe mkuusasa mzee ntoke kote uku uje uanze kuniambia kuna fursa ya kubonyeza button ya MINE
Then again wameshapigwa maana ni wajinga , Acha clear IT wawachakaze vyemafunny thing is ata ufanye vp hawawezi kuacha kuwaza mabilioni yao kama ya Dkt shika