Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Umeeleza alafu ufahamu unaeleza nini?. crypto ilitengenezwa kwa ajili ya kukwepa trace za wahalifu na umiliki wa pesa kwenye malipo.

Hayo mengine ni wahalifu kuwatafuta wajinga tu.
 
crypto sio betting, ondoa hiyo mindset kichwani mwako, kama unaamini hivyo achana nayo kabisa, crypto isn't for everyone. DYOR
Kwani betting ni Nini boss wng, kama unaweza wekeza kitu kwa makisio yani ubashiri hiyo si ni betting?
 
walienda mpaka chanel ten kutpeli watu, 😁😁
hawa kenge ndio wanakuja huku na ID nyingine kuitetea pi ili waliowadnganya na semina za uongo, wasishtuke wamama kwa wababa wakashona na nguo zenye rangi ya dhambarau kama pi, hii nchi ngumu sana hii, media nazo zinawapa airtime matapeli bila kudive deep kuhusu wanachozungumzia, ilimradi tu airtime imelipiwa.
pioneer wa pi hawana tofauti na waganga.
tunatakiiwa tuwakusanye wote kwenye gunia alafu wachezee fimbo za kutosha
 
Umeeleza alafu ufahamu unaeleza nini?. crypto ilitengenezwa kwa ajili ya kukwepa trace za wahalifu na umiliki wa pesa kwenye malipo.

Hayo mengine ni wahalifu kuwatafuta wajinga tu.
saaaahv wameambiwa kuna ufunguzi mwingine unaitwa main net ule unaitwa open network 🤣
 
Punguza mihemko hakuna mtu anaetaka kujua hizo habari umezijuaje au unazijuaje maana ata wewe pia unajua vizuri hakuna kitu unachokijua.. imagine taarifa zako zinavyokaa.....,. "Mwaka 2021 Dr. Nikolas brah brah brah mambo sio mambo......... Nikolas anawatafuta okx brah brah brah okx wanagoma........... Boom utashangaa hizi taarifa nazitoa wapi......" Tuambia ukiachana na hizo brah brah zako na ngonjera kuna taarifa gani ulizotoa hapo zaidi ya kuleta taharuki watu waiogope pi
punguza presha mwana payonia, hio PI naijua toka mda mrefu na almost 60% ya project info nlikua nshaipata so amna taharuki apa kinachosemwa ndo uhalisia
 

View: https://x.com/PiCoreTeam/status/1895248734356746554
Pi wameruhusu developers waongeze matangazo kwenye app ya PI 🤣 🤣 🤣
1740729683982.png
 
Kwani betting ni Nini boss wng, kama unaweza wekeza kitu kwa makisio yani ubashiri hiyo si ni betting?
ndiomana nimekuambia achana na crypto, kama una hiyo mindset, crypto wenzio wanatrade unaweza trade kwenye margin without owning underlying asset n.k, au ukanunua asset husika, hawabet. crypto is far from betting/gambling. mnapenda sana airdrop hatukatai zipo za maana na scam.. ndiomana Hamster Kombat ilipita na TON nyingi za watu.
 
Umeeleza alafu ufahamu unaeleza nini?. crypto ilitengenezwa kwa ajili ya kukwepa trace za wahalifu na umiliki wa pesa kwenye malipo.

Hayo mengine ni wahalifu kuwatafuta wajinga tu.
Crypto lengo kuu ni ku decentralize, centralized system ndio hayo mengine yanafuata, usipoteze muda kunielekeza ninachokijua.
 
kule kwenye tv hawajui sana kwahio maswali wanauliza ya kawaida
Ukiangalia watetezi na members wa pi unaona kabisa hawa akili zao zina tatizo , formular ya kua bilionea hua sio rahisi kiasi hicho Jana kuna jamaa hapa alitoa mfano wa platform za mauzo ya bidhaa mbalimbali ambapo huko hautowakuta matajiri au wazalishaji WA maana ,, kule wanaingia wale wa kusajili kampuni na kubandika Lebo na kujiita wazalishaji nako pia watu hupigika vilevile . Dunia sio rahisi kivile
 
Ukiangalia watetezi na members wa pi unaona kabisa hawa akili zao zina tatizo , formular ya kua bilionea hua sio rahisi kiasi hicho Jana kuna jamaa hapa alitoa mfano wa platform za mauzo ya bidhaa mbalimbali ambapo huko hautowakuta matajiri au wazalishaji WA maana ,, kule wanaingia wale wa kusajili kampuni na kubandika Lebo na kujiita wazalishaji nako pia watu hupigika vilevile . Dunia sio rahisi kivile
kwa payonia haya sio kwel 🤣
 
Ukiangalia watetezi na members wa pi unaona kabisa hawa akili zao zina tatizo , formular ya kua bilionea hua sio rahisi kiasi hicho Jana kuna jamaa hapa alitoa mfano wa platform za mauzo ya bidhaa mbalimbali ambapo huko hautowakuta matajiri au wazalishaji WA maana ,, kule wanaingia wale wa kusajili kampuni na kubandika Lebo na kujiita wazalishaji nako pia watu hupigika vilevile . Dunia sio rahisi kivile
1740730903590.png



unawaona mabilionea wavivu
 
Back
Top Bottom