Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

wawekezaji wa pi tuwaheshimu haha kumbe kwenye ubilionea wanaalikana hata hamsemi ?
 
lini hio ulifanya kyc bitcoin mamaa? 🤣
achana nao hao ni vichaa kama vichaa wengine waliopo dampo huko , wanaita NI kutake risk wakati ni upungufu WA akili , FIC nao soon wataimba muziki wa country
 
Boss upo sawa kweli?
Bitcoin haina Kyc? Aiseee????
wewe kwa saaahhv ufunge tu na kuomba maaana wanachofanyia izo data no one knows, la kwa yaliotokea chini ilitakiwa iwe fundisho ila sasa shida amna muelekezwe vp hamuelewi, inawezekana watu wengi wa PI bado hamjui crypto ni nn ndo maana PI team wanawaburuza wanavotaka
 
unaalika mtu alafu unapewa PI ya bure
Walishajua kusoma kiingereza Chao cha kuvizia wanaona crypto washaiweza , wanajiita wenye akili , hizo platform zinawafanya wajione wamepatia maisha kujiregister Tu wanaona mambo tayari ,
 

Attachments

  • 1741194521738.png
    1741194521738.png
    877.7 KB · Views: 1
Walishajua kusoma kiingereza Chao cha kuvizia wanaona crypto washaiweza , wanajiita wenye akili , hizo platform zinawafanya wajione wamepatia maisha kujiregister Tu wanaona mambo tayari ,
bora ingekua ivo kuregister tu washaanza kuitana mabilionea
 
Kuna watu hua nikiwasikiliza Tu najua hawa kupata pesa ya maana hawatokuja kupata, ukiwaeleza wanaanza kugomba kama wehu
 
lini hio ulifanya kyc bitcoin mamaa? 🤣
Can you buy or sell Bitcoin without KYC?

So, if I understand you correctly, are you saying Pi is a scam because it doesn’t follow Bitcoin’s path? Do you know why KYC is required now, as opposed to when Bitcoin was first introduced?
 
Back
Top Bottom