Can you buy or sell Bitcoin without KYC?
So, if I understand you correctly, are you saying Pi is a scam because it doesn’t follow Bitcoin’s path? Do you know why KYC is required now, as opposed to when Bitcoin was first introduced?
waliokua wanawaambia price ya laki 3 haiwezekan but mliwaona kama wapiga ramli mkaamini core team, hio sku imefika mkaita mpaka channel 10 mkafanya uzinduzi lakini lisaa tu baada ya uzinduzi channel 10 wakasepa, ilikua ni aibu kubwa sana but utafanyaje sasa watu mnaelekezwa mwaka mzima hamuelewiCan you buy or sell Bitcoin without KYC?
So, if I understand you correctly, are you saying Pi is a scam because it doesn’t follow Bitcoin’s path? Do you know why KYC is required now, as opposed to when Bitcoin was first introduced?
Endelea na mambo yako Chief... Sinaga ligi za kijinga
Cool story, bro 😂😂yes you can buy and sell bitcoin without KYC, it shows huelewi crypto ndo maaana! bitcoin ndo ilioanzisha mfumo wa crypto na coin zote znafuata scheme yake maybe in different areas but its still the same same scheme except for PI, unaiona PI kama big deal kwa sababu huna elewa sana wa crypto na unatumia matumaini zaidi ya uhalisia, you will be DISAPOINTED vibaya mno
View attachment 3260506
You are boring. I'm not sure what 'those people' you're referring to are, and I'm not part of any group.waliokua wanawaambia price ya laki 3 haiwezekan but mliwaona kama wapiga ramli mkaamini core team, hio sku imefika mkaita mpaka channel 10 mkafanya uzinduzi lakini lisaa tu baada ya uzinduzi channel 10 wakasepa, ilikua ni aibu kubwa sana but utafanyaje sasa watu mnaelekezwa mwaka mzima hamuelewi
my doubts are on the info mmezitoa, what they will do with those data sioni namna mnatoka salama pale
Napendekeza uachane nao hao jamaa! waache hivo hivo! They know nothing!You are boring. I'm not sure what 'those people' you're referring to are, and I'm not part of any group.
as long una miliki PI app mlikua promised laki 3, dont feel mad you will learn the hard wayYou are boring. I'm not sure what 'those people' you're referring to are, and I'm not part of any group.
mmeambiwa mboreshe akili zenuCool story, bro 😂😂
Please stop replying with irrelevant Youtube content. No one is interested. If you're trying to promote your own channel, it would be better to say so directly.
bilionea As-salamu alaykum!Napendekeza uachane nao hao jamaa! waache hivo hivo! They know nothing!
Napendekeza uachane nao hao jamaa! waache hivo hivo! They know nothing!
Acha kubishana na bilionea
bilionea hapendi kufanya kazi anapenda kuclick kila sku mara 1Acha kubishana na bilionea
ivi uliona sku ya uzinduzi walikodisha hadi ukumbi wakaanza kupeana maelekezo jinsi ya kuishi baada ya kupata mabilioni yao, wakaanza kuaambiana waanze kumsaidia mama samia kujenga hospitali 🤣 🤣Acha kubishana na bilionea
Mabilionea kiboko ya kaziivi uliona sku ya uzinduzi walikodisha hadi ukumbi wakaanza kupeana maelekezo jinsi ya kuishi baada ya kupata mabilioni yao, wakaanza kuaambiana waanze kumsaidia mama samia kujenga hospitali 🤣 🤣
Hawa haters nikiwa nikiwa nataka kubishana ndio wananijia kwenye akili. Ngoja niende nao sawa maana siku sio nyingi wanaenda kujificha😂😂Napendekeza uachane nao hao jamaa! waache hivo hivo! They know nothing!
That amount was never promised to me. So, you're finding satisfaction in the fact that some people's goals don't come to fruition? That sounds like jealousy to me.as long una miliki PI app mlikua promised laki 3, dont feel mad you will learn the hard way
Ndio ni kama kwenye Binance unafanya KYC ili umiliki Bitcoin,ila kwenye Pi application unafanya KYC ili uuze data zako,Pi ni utapeliKYC ni kwa ajili ya exchange sio bitcoin, ni kama vile unafanya KYC benki but hakuna namna kumiliki tsh unahitaji KYC, yaaani mtazunguka kote but this project is a pure scam, tamaa ya pesa za bure who knows what comes next?
stakehigh Pi coin ni utapeli,mfano mtu ungenunua Pi ikiwa $0.6,tunavoongea sasa hivi ana hasara ya kufa mtu na ameibiwa data zake tu.That amount was never promised to me. So, you're finding satisfaction in the fact that some people's goals don't come to fruition? That sounds like jealousy to me.
Upo sahihi hata mtu aliyenunua Bitcoin ikiwa $20,000 akiamini itafika $120,000,ana hasara ya kufa mtu sasa hivi sababu haijafika matarajio yake.as long una miliki PI app mlikua promised laki 3, dont feel mad you will learn the hard way