Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi coins ni scam haina thamani yeyote ile,na haiwezi kukua,coins zenye thamani kama Bitcoin ndani ya mwezi tu zilivoanza ilikua na thamani ya zaidi ya $10
pi coins ni scam
yaaani PI ndo coin kubwa duniani hakuna kama PI, yaaani PI ndo coin pekee ata ukitaka kuuza unanyimwa na core team 🤣🤣, yaani core team waendelee ivo ivo wapige ela kwenye matangazo mpaka mnyooke
 
Kweli wanaomiliki Pi coins ni machizi aiseee,huu mradi hauna thamani yeyote ile
yaani hauna thamani kabisa mwanangu, huu mradi ni wa mabilionea tu, yaani soon unakua bilionea endelea kushare link ya PI mwanangu mpaka wote muwe mabilionea, core team waanapenda sana mabilionea
 
sindano imeanza kukuingia sio! watu wamepiga hela na zingine wame hold! endelea scam scam mara sijui mabilionea ..
Kuna utafauti kati ya mtu alienunua kwenye exchange na aliekua anaclick kila sku, alienunua kwenye exchange obvious hakupewa coin yoyote but it was just typed unamiliki PI kiasi flan, waliomine hao ndo kabisaa wa kuonea huruma kwa sababu haziuziki, THEY DONT EXIST 🤣🤣🤣
 
katoa Pi app kapeleka exhange baadhi kapiga hela! utamwambia nini huyo na zingine kazihifadhi.. wewe endelea kushupaza shingo tu
hakuna mtu anaweza tuma zile za app kwenda exchange, watu washalalmika sana na sio kwa bahati mbaya , ni vile tu core team washapata ngombe wa kupelaka uko na uku,
 
Kweli wanaomiliki Pi coins ni machizi aiseee,huu mradi hauna thamani yeyote ile
alafu we jamaa ni mshamba sana 🤣 🤣 , huelewi ata market cap ni nn umekomaa na screenshot kila sehem, ngoja nkusaidia
kupata market cap: (supply * latest price iliotumika kwenye exchange) unaweza ukawa na coin yenyewe market cap ndogo na ikawa na price kubwa: mfano huu apa



2) PI walisema msipeleke coin zenu kwenye exchange sasa data za exchange mnazililia za nn?
3) Bybit founder alishasema PI ni scam labda kama unaona sisi tunapiga kelele unless wewe una akili kuliko founder wa bybit na binance washaikataa sasa kama wewe una akili kuliko wao sawa
4) ni PI peke yake inataka watu wafanye KYC 🤣🤣🤣, in simple words unaonekana hauna akili ndo maanaa umekomalia screenshot, kwa mtu yoyote mwene ujuzi mzuri wa crypto anakuona mshamba sana
 
Kweli wanaomiliki Pi coins ni machizi aiseee,huu mradi hauna thamani yeyote ile
kwa lugha nyepesi punguza ushamba, yaani mtu mwenye uelewa mzuri anakuona kama kakuku flan 🤣🤣, unaongea upuuzi kila sehem na husaidiki, kuna mtu aliwaita matahira apo juu ila it makes sense
 
Kwani Pi coin,Ina thamani yeyote?
Pi coin,SI ni scamm coin hii?
 
kwa lugha nyepesi punguza ushamba, yaani mtu mwenye uelewa mzuri anakuona kama kakuku flan 🤣🤣, unaongea upuuzi kila sehem na husaidiki, kuna mtu aliwaita matahira apo juu ila it makes sense
Kwani Pi coin,ina thamani yeyote sokoni?,mi nadhani wanaomiliki Pi coins,ndio washamba na sio mimi na wewe ambao kiuhalisia ni watu smart(wajanja) tunaosema Pi coins ni scamm
 
Mkuu umeweza kuuza coinu zako?
 
yaaani huo mradi mpaka gcv value ifike bitcoin yenyewe itasubiri, hakuna kama Pi
Upo sahihi hata mtu aliye na Pi 100 alizopata bure,hata Pi ikifika $2 hawezi pata faida yeyote.
Na ni ukweli hata mtu mwenye Pi 10,000 leo hawezi kupata faida,ukilingainisha na muuza duka ama bodaboda hata Pi ikifika $10 hadi ifike gcv value ifike ndio anaweza kuona faida kidogo
Pi ni scamm
 
eeeh bilionea core team wanawajali sana watawapa PI za bure muwe mabilionea sawa eeh?
Washamba sana aisee,mradi umeanza hauna thamani yeyote ile aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20250305-170505.png
    155.7 KB · Views: 2
Unawezaje kununua Pi coins kwenye exchange,wakati Pi coins hazina thamani yeyote?
 

Attachments

  • Screenshot_20250305-170505.png
    155.7 KB · Views: 2
Sahihi hata exchange kama Binance,ama Coinbase kule unaweza miliki coins bila kufanya KYC,...........Pi coin ni scam sababu ipo tofauti na Bitcoin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…