kwan PI ina miujiza 🤣 🤣 , kubali tu mmeshikwa pabaya mtulie hii project tunaijua toka inaanza, scam project 🤣🤣Daah aisee,so unafananiaha trust wallet na pi???like serious...basi mkuu
Yaishe,umeshinda,pi ni scam
wana akili sana kwa sababu wao ndo wanakuja kua mabilioneaYaani ana hasara sana ni bora huo muda angetumia kucheza game la nyoka. Yaani mtu unanunua Pi ilivyokuwa $0.6 na sasa unauza kwa 1.7 dollars huo si ni upuuzi.
Naunga mkono hoja, hawa jamaa wana akili sana.
pi mane mane PI 🤣 🤣 🤣Kwani Pi coin,Ina thamani yeyote?
Pi coin,SI ni scamm coin hii?
Mtu anasema ataibiwa taarifa ukifuatilia taarifa zenyewe ni sms za mapenzi na video za porno alizohifadhi kwenye tecno yake 😁😁Mkuu ukipata sehemu nyingine wenye wanataka taatifa zangu wanipe hela nishtue hata kama ni elfu 50. Wakinipa laki nauza hadi za familia.
Kwani Pi coin,ina thamani yeyote sokoni?,mi nadhani wanaomiliki Pi coins,ndio washamba na sio mimi na wewe ambao kiuhalisia ni watu smart(wajanja) tunaosema Pi coins ni scamm
Tumeshikwa wapi kwani tumetoa hela?kwan PI ina miujiza 🤣 🤣 , kubali tu mmeshikwa pabaya mtulie hii project tunaijua toka inaanza, scam project 🤣🤣
yaaani ata PI ifike $100 mabilionea wa PI wapo pale paleUpo sahihi hata mtu aliye na Pi 100 alizopata bure,hata Pi ikifika $2 hawezi pata faida yeyote.
Na ni ukweli hata mtu mwenye Pi 10,000 leo hawezi kupata faida,ukilingainisha na muuza duka ama bodaboda hata Pi ikifika $10 hadi ifike gcv value ifike ndio anaweza kuona faida kidogo
Pi ni scamm
Shing yu bilionea, PI ni kwa ajili ya mabilionea kma wewe tu, wewe andaa tu benki akaunti core team watakutumia mabilion yako, endelea kumine sku sio nyingi unakua elon maskiTumeshikwa wapi kwani tumetoa hela?
Wewe ukibeti kwenye mpira kuna kupata na kukosa,..kwenye PI tunajua ipo kwenye majaribio hivyo ikikubalika mkeka wetu umetiki japo hatukubeti na hela.
Acha kujichekesha hovyo mkuu
AI yenyewe inakubali huu mradi upo sema upo kwenye majaribio. Maana yake kuna kukubaliwa na masoko ya fedha au kukataliwa
View attachment 3261566
uko primitive huna uelewa wa hizi taarifa, USA alimfukuza tiktok kwa sababu ya TAARIFA wewe huna uelewa kwahio kaa tulia subiria yatakayokukutaMtu anasema ataibiwa taarifa ukifuatilia taarifa zenyewe ni sms za mapenzi na video za porno alizohifadhi kwenye tecno yake 😁😁
Debe tupu acha keleleuko primitive huna uelewa wa hizi taarifa, USA alimfukuza tiktok kwa sababu ya TAARIFA wewe huna uelewa kwahio kaa tulia subiria yatakayokukuta
wewe nenda kashare link upewe PI ingine 🤣 🤣 🤣 , ukileta watu unakua bilionea zaidi 🤣🤣Debe tupu acha kelele
vp ushaacha kushare link upewe PI za ziada ili wote mue mabilionea 🤣🤣Debe tupu acha kelele
ina value ya mabilioni kaka, alafu kaka uyo mama unamjua 🤣 🤣 🤣 , au tuwaache kwanza?Kwani Pi coin Ina value yeyote ile,sokoni?
ama kaka PI ni ya mabilionea tu, mbna hutumi zile screenshot za market cap tena ama ushavurugwa au ndo umeijua crypto juzi nnKwani Pi coin,ina thamani yeyote sokoni?,mi nadhani wanaomiliki Pi coins,ndio washamba na sio mimi na wewe ambao kiuhalisia ni watu smart(wajanja) tunaosema Pi coins ni scamm
bilionea mvivu vpDebe tupu acha kelele
Hivi hadi sasa Kuna exchange yeyote imeilist Pi coins,ambayo ni scamm mkuu?ama kaka PI ni ya mabilionea tu, mbna hutumi zile screenshot za market cap tena ama ushavurugwa au ndo umeijua crypto juzi nn
Kwani Kuna exchange yeyoye iliyoilist Pi coin?ina value ya mabilioni kaka, alafu kaka uyo mama unamjua 🤣 🤣 🤣 , au tuwaache kwanza?
View attachment 3261579
Kwani Pi coin ina value yeyote hadi sasa?uko primitive huna uelewa wa hizi taarifa, USA alimfukuza tiktok kwa sababu ya TAARIFA wewe huna uelewa kwahio kaa tulia subiria yatakayokukuta