Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

View attachment 3261839

tajiri umeona apo SELF REPORTED SUPPLY 🤣 🤣 🤣
Hata SEX unayoisifia ni self-reported

1000116488.jpg
 
Hata SEX unayoisifia ni self-reported

View attachment 3262036
because it was a scam project kama PI ndo maaana btc ndo inahesabika kama the most expensive! pia kuna ingine ilikua inaitwa ONE COIN ya mda kidogo ila ilikuja kufungwa ikaishia watu kuuliwa, watu wengi wameanza crypto juzi so hawaelewi wapi tumetoka wanaona PI kama kitu cha ajab kumbe scam kama ivi tushaziona sana
 
because it was a scam project kama PI ndo maaana btc ndo inahesabika kama the most expensive! pia kuna ingine ilikua inaitwa ONE COIN ya mda kidogo ila ilikuja kufungwa ikaishia watu kuuliwa, watu wengi wameanza crypto juzi so hawaelewi wapi tumetoka wanaona PI kama kitu cha ajab kumbe scam kama ivi tushaziona sana
Tuko na wewe mpaka ukose la kuongea, Tayari huko markertCap PI haina self-reported. Bali taarifa ni Verified kutoka public exchanges

Tafuta chaka lingine, wamesema kuhusu taarifa zao hawajali kwa sababu hata hapa JamiiForums taarifa zetu haziko salama.
1000116672.jpg
 
because it was a scam project kama PI ndo maaana btc ndo inahesabika kama the most expensive! pia kuna ingine ilikua inaitwa ONE COIN ya mda kidogo ila ilikuja kufungwa ikaishia watu kuuliwa, watu wengi wameanza crypto juzi so hawaelewi wapi tumetoka wanaona PI kama kitu cha ajab kumbe scam kama ivi tushaziona sana
Na hizi ni baadhi tu ya Exchange unapoweza kununua na kuuza PI.

Najua utanunua kisirisiri, mwaka 2036 tukutane hapa kupeana update.
1000116677.jpg
 
Tuko na wewe mpaka ukose la kuongea, Tayari huko markertCap PI haina self-reported. Bali taarifa ni Verified kutoka public exchanges

Tafuta chaka lingine, wamesema kuhusu taarifa zao hawajali kwa sababu hata hapa JamiiForums taarifa zetu haziko salama.
View attachment 3262310
🤣 🤣 ebu bonyeza iko kitiki alafu leta screenshot
 
Na hizi ni baadhi tu ya Exchange unapoweza kununua na kuuza PI.

Najua utanunua kisirisiri, mwaka 2036 tukutane hapa kupeana update.
View attachment 3262325
🤣🤣 umeniona kama mmoja wenu nn, hizo ni exchange ndogo zinazotafuta trading volume ila hakuna asiejua PI ni scam, watu wanatafuta tu ela apo ila bybit ashawachana mda mrefu, ata binance mpaka leo wanajifikiria 🤣🤣 ,

PAI KO TIM
alafu wewe ushawahi kuoona wap coin unaambiwa share link upewe coin ya ziada?
au ulishawahi kuona wap coin inafanya KYC, narudia tena kuna jamaa uko juu aliwaita matahira hakukosea
 
because it was a scam project kama PI ndo maaana btc ndo inahesabika kama the most expensive! pia kuna ingine ilikua inaitwa ONE COIN ya mda kidogo ila ilikuja kufungwa ikaishia watu kuuliwa, watu wengi wameanza crypto juzi so hawaelewi wapi tumetoka wanaona PI kama kitu cha ajab kumbe scam kama ivi tushaziona sana
Tukumbushe tera luna
 
🤣🤣🤣🤣
My point hapo ni moja,
Unadhani wngekuwa hawachukui hizo id,wlmtu mmoja angeluwa na account ngapi??


Mimi tu mmoja,nilikuw na accunt tatu za pi,KYC inafanywa hadi na tigo,voda tuseme nao wanaiba taarifa zetu
Ata Tax fay AKA bolt walipokua wanasajili madereva walikua wanafanya kyc.mbona h
hatuskii vilio kwa hao madereva kuwa kimewapata kiitu kbayaa?
 
Ata Tax fay AKA bolt walipokua wanasajili madereva walikua wanafanya kyc.mbona h
hatuskii vilio kwa hao madereva kuwa kimewapata kiitu kbayaa?
kwahio PI ni kampuni si ndio? basi mshajifunga PI sio coin ni kampuni and it makes sense ndo maaana mmeambiwa mualike watu wengine 🤣
 
1741523916445.png


uchokozi kidogo jamani tuvumiliane 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom