Yah nimesikia ni Lazarus ambao husemekana ni hackers wa north korea. Na ndio wizi mkubwa zaidi wa crypto.Na yaweza kuwa Pi wamehusika, japo Kuna taarifa ni Lazarus, mana ni siku Moja tu baada ya CEO wa bybit kusema Pi ni scam, na siku Moja baada ya Pi kulaunch Mainnet.
Kuna post ilikuwa Binance wameifuta.
View attachment 3246163
Ila heshima kwa hackers maana mission wanazopiga ni noma