Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Na yaweza kuwa Pi wamehusika, japo Kuna taarifa ni Lazarus, mana ni siku Moja tu baada ya CEO wa bybit kusema Pi ni scam, na siku Moja baada ya Pi kulaunch Mainnet.
Kuna post ilikuwa Binance wameifuta.

View attachment 3246163
Yah nimesikia ni Lazarus ambao husemekana ni hackers wa north korea. Na ndio wizi mkubwa zaidi wa crypto.
Ila heshima kwa hackers maana mission wanazopiga ni noma
 
Nina Pi nyingine 500 ambazo naweza kuziuza muda wowote na nina nyingine 1400 ambazo nasubiri ziwe migrated niweze kuzitumia.

Kuhusu kuwa dollar ngapi inategemea mtu info zake alikuwa anazipata wapi ila mimi nilijua ikifunguliwa haitazidi USD 3 na ikiendelea kufanya vizuri mbeleni inaweza kufikia kule ambaPo watu wali predict.

Ila mimi sioni watu wanaumiaje na wakatu ni kitu mtu una mine free. Hapakuwa na cost yoyote gharama pekee ni muda ambao ni mara moja kwa masaa 24 unabofya tu neno mine. Hata haili mb 1.
Sasa pi 300 tu nina dollar 500+ ambayo ni million na laki kadhaa nina hasara gani?
Usiuze Pi zako! Subiri zile DApps zianze kutumika! ukiuza hizo uta regret. baadae! Just relax achana na hao wasiojua White paper inasema nini! wale jamaa sio wajinga

Don't Sell
 
Nina Pi nyingine 500 ambazo naweza kuziuza muda wowote na nina nyingine 1400 ambazo nasubiri ziwe migrated niweze kuzitumia.

Kuhusu kuwa dollar ngapi inategemea mtu info zake alikuwa anazipata wapi ila mimi nilijua ikifunguliwa haitazidi USD 3 na ikiendelea kufanya vizuri mbeleni inaweza kufikia kule ambaPo watu wali predict.

Ila mimi sioni watu wanaumiaje na wakatu ni kitu mtu una mine free. Hapakuwa na cost yoyote gharama pekee ni muda ambao ni mara moja kwa masaa 24 unabofya tu neno mine. Hata haili mb 1.
Sasa pi 300 tu nina dollar 500+ ambayo ni million na laki kadhaa nina hasara gani?
Umesha cash out hiyo 500+$?
 
Usiuze Pi zako! Subiri zile DApps zianze kutumika! ukiuza hizo uta regret. baadae! Just relax achana na hao wasiojua White paper inasema nini! wale jamaa sio wajinga

Don't Sell
Whitepaper ya pi haina maajabu boss zipo coin nyingi zilikuja na smart whitepapers kuliko hata ya pi na zikabuma. Ukiona 70+% ya holders wanatokea Africa na Asia hiyo ni laana. Mimi niliuza 10,000 siku ileile, 8600 ndio nimezilock for 3 years ila tangu day 1 naanza ku mine deep analysis yangu ikaniambia bei ya pi haitakuja kuzidi $3.8 maisha yake yote.
 
Ungefungua duka ata na mtaji wa mil 1 miaka 6 ni mingi sana mtaji ungekua ushakua na ungekua mbali vibaya mno, PI mbna kila mtu anajua ni scam haina coin mpaka leo wamengangania KYB wakati amna coin yoyote duniani inafanya huo upuuzi kila coin inataman kuingia kwenye exchange

2) Unapokua na kitu kama PI inakutengenezea mazingira ya uvivu ama expectations za uongo, kuna watu walifanya mpaka uzinduzi pale city garden hii inaashiria tuna watu ambao ni wavivu wa kufanya kazi na kufikiria kwa kuweka mategemo ya utajiri

chukulia huu mfano mategemeo yote na jitihada zote za PI coin ulizokua umeweka, hii nguvu ungeweka katika kufanya kazi leo ungeshangilia mil 1? 6 years expectation ~ 1M?
Najaribu kukutafakari sikuelewi! Kwani mkuu kuna mtu alitoa hata Mia kwenye ku mine Pi? Je mbali na Pi huwa haungii online kwenye social media?
okay haupo whatsap, fb, insta, au sehem zingine Je huko data zako haziwezi kupatikana?

Sioni kama kuna sababu ya kuinanga Pi hivyo maana haujatoa hata sh mia! na kwanza Ku mine ni kila 24 hrs tu. imekuharibia nini

Just relax wale jamaa sio wajinga.
 
Najaribu kukutafakari sikuelewi! Kwani mkuu kuna mtu alitoa hata Mia kwenye ku mine Pi? Je mbali na Pi huwa haungii online kwenye social media?
okay haupo whatsap, fb, insta, au sehem zingine Je huko data zako haziwezi kupatikana?

Sioni kama kuna sababu ya kuinanga Pi hivyo maana haujatoa hata sh mia! na kwanza Ku mine ni kila 24 hrs tu. imekuharibia nini

Just relax wale jamaa sio wajinga.
Hakuna kitu cha buree
 
Ungefungua duka ata na mtaji wa mil 1 miaka 6 ni mingi sana mtaji ungekua ushakua na ungekua mbali vibaya mno, PI mbna kila mtu anajua ni scam haina coin mpaka leo wamengangania KYB wakati amna coin yoyote duniani inafanya huo upuuzi kila coin inataman kuingia kwenye exchange

2) Unapokua na kitu kama PI inakutengenezea mazingira ya uvivu ama expectations za uongo, kuna watu walifanya mpaka uzinduzi pale city garden hii inaashiria tuna watu ambao ni wavivu wa kufanya kazi na kufikiria kwa kuweka mategemo ya utajiri

chukulia huu mfano mategemeo yote na jitihada zote za PI coin ulizokua umeweka, hii nguvu ungeweka katika kufanya kazi leo ungeshangilia mil 1? 6 years expectation ~ 1M?
okay kwani Pi wakisema wata ilist kwenye exchange?? Au exchange ndio zimeifata Pi?

iko hivi mkuu ngoja nikupe shule kidogo ya; Mtu yoyote mwenye kitu cha tofauti na wengine huyo huwa hatakiwi hata kujitangaza Watu wenyewe watamfata sababu ana kitu cha kipekee na wakikufuata lazima wakubaliane na Masharti yako ndo kama hayo ya KYB.

Pi haikusema italist coin yake exchange yoyote ila exchange wataifuata Pi.

Muda si mrefu utaanza kuona aibu mwenyewe. Hujaisoma vizur Pi watu sio wajinga
 
Najaribu kukutafakari sikuelewi! Kwani mkuu kuna mtu alitoa hata Mia kwenye ku mine Pi? Je mbali na Pi huwa haungii online kwenye social media?
okay haupo whatsap, fb, insta, au sehem zingine Je huko data zako haziwezi kupatikana?

Sioni kama kuna sababu ya kuinanga Pi hivyo maana haujatoa hata sh mia! na kwanza Ku mine ni kila 24 hrs tu. imekuharibia nini

Just relax wale jamaa sio wajinga.
Expectations, unapokua na mradi kama PI unaetngeneza mindset ya watu kwamba kuliko nifanye kazi kuna sehem naweza kupata ubilionea wa bure, ndo kizazi kinachotengenezwa na hata wakati inakua launched wote wa PI walikua washajua wanaenda kua mabilionea ndo kizazi kinachotengenezwa
 
Whitepaper ya pi haina maajabu boss zipo coin nyingi zilikuja na smart whitepapers kuliko hata ya pi na zikabuma. Ukiona 70+% ya holders wanatokea Africa na Asia hiyo ni laana. Mimi niliuza 10,000 siku ileile, 8600 ndio nimezilock for 3 years ila tangu day 1 naanza ku mine deep analysis yangu ikaniambia bei ya pi haitakuja kuzidi $3.8 maisha yake yote.
Ulivoiza hizo Pi elfu 10! imekupa usdt ngapi? Unaweza futa na delete app kama ni scam!
 
Mbona unalia ?

Njoo hapa ukiwa unasema umeuza pi, na umeuza wapi tupe na transaction hash.
Sio unapanick, Pi ni Scam kama sio scam kwanini ina market cap ya 0 na circulation supply 0.
Ambacho huelewi ni nini, hapo we elewa hakuna investor kaweka Hela yake kwenye pi, endeleeni kuwauzia data zenu.
Reality
 
Expectations, unapokua na mradi kama PI unaetngeneza mindset ya watu kwamba kuliko nifanye kazi kuna sehem naweza kupata ubilionea wa bure, ndo kizazi kinachotengenezwa na hata wakati inakua launched wote wa PI walikua washajua wanaenda kua mabilionea ndo kizazi kinachotengenezwa
kwahiyo shida ni Mindset za watu?
 
okay kwani Pi wakisema wata ilist kwenye exchange?? Au exchange ndio zimeifata Pi?

iko hivi mkuu ngoja nikupe shule kidogo ya; Mtu yoyote mwenye kitu cha tofauti na wengine huyo huwa hatakiwi hata kujitangaza Watu wenyewe watamfata sababu ana kitu cha kipekee na wakikufuata lazima wakubaliane na Masharti yako ndo kama hayo ya KYB.

Pi haikusema italist coin yake exchange yoyote ila exchange wataifuata Pi.

Muda si mrefu utaanza kuona aibu mwenyewe. Hujaisoma vizur Pi watu sio wajinga
You should be ashamed of yourself, However PI haina utafauti wowote ule ndo maaana walio na elimu na crypto walijua kabisa price ya laki 3 haiwezekan na ndo kilichotokea, toka kwenye huo ulimwengu wako hakuna coin inaweza kuishi bila exchange japkua ni scam project
 
Una Elimu nzuri lkn imechanganyika na uchafu mwingi pia umeomgea megi sana juu ya Pi lkn Pi imekuonyesha kidogo sana kuwa yenyewe siyo scam ulisema hta dollar 1 haitafika lkn majibu umepata, na ipo exchange lkn pi haihitaji exchange na exchange zinahaa kufuata terms ili wailist pi na ujue pi ni Utility coin, Acha kwenda shule kukariri Soma uelimike sio ukariri
Ndo nilichowaambia hawa watu Pi haikusema kwamba watakua listed kwenye exchange yoyote ile! Ila exchange ndio zimeifuata Pi kwahiyo lazima wakubaliane na masharti hayo ya KYB si mmefuata mtu mwenye kitu.?

Watu hawawezi kukufuata kama hauko valuable.
 
You should be ashamed of yourself, However PI haina utafauti wowote ule ndo maaana walio na elimu na crypto walijua kabisa price ya laki 3 haiwezekan na ndo kilichotokea, toka kwenye huo ulimwengu wako hakuna coin inaweza kuishi bila exchange japkua ni scam project
You know nothing!
 
kwahiyo shida ni Mindset za watu?
yeap unatengeneza kizazi cha watu wasio kua na akili, kama sio mainet kuzinduliwa mpaka leo wote wenye PI mawazo yenu ni priceya laki 3, toka imeingia bitget akili kidogo znawakaa swa
 
You know nothing!
the funny thing is wote wa PI akili zenu zpo sawa kuwarekebisha ni ngumu sana, yaani mnachobeba ni kwamba nyie ndo mnajua bitcoin ilivoanza kwahio tupo on the same same track wengine hawana akili 🤣
 
Unaelewa maana ya market cap na circulation supply kwenye crypto ?

Price ya pi ni 0 kwasabu Haina circulation supply Wala market cap. Hiyo mnayoiona ni tagged price coin husika Haina value kabisa. Acha kupoteza muda.
mkuu jaribu kuelewa basi Pi bado haijatangazwa hata bei yake hata matumizi yake bado..Kuwa na subira, Subira itajibu kila kitu wakati ukifika.

NB; Nilikua nashauri kama una App ya Pi Delete kabisa na Uninstall kabisa iwe kama haijawahi tokea kwenye maisha yako. Na maisha mengine yaendelee sio kubishana na watu kuhusu Pi.

Akili hatulingani ndo maana unaona ubishi wote huu! Futa App kabisa kama unayo
 
1pi sawa na 1.7dollar sokoni na tuliambiwa 1pi ina dola laki tatu
 
Back
Top Bottom