Ushaambiwa mwanaume alikuwa ni mtu wa physical violence.Kamuua kwa hasira ya hapo kwa hapo. Labda sababu ya maneno mbofumbofu ya mke wake ikasababisha jamaa akapandwa na hasira hadi kumniga.
Don't be judgemental mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaambiwa mwanaume alikuwa ni mtu wa physical violence.Kamuua kwa hasira ya hapo kwa hapo. Labda sababu ya maneno mbofumbofu ya mke wake ikasababisha jamaa akapandwa na hasira hadi kumniga.
Demu akishaanza kujichora mwilini jua tatizo linakufuata kwenye nyumba.
Ujinga mtupu, kwanini umpige, kama umemchoka mpotezee, kama anaku cheat mpotezee. Kwani shida ni niniHuyu atakuwa kamuua bahati mbaya ndio maana alikuwa analia....
Ndio hiki nilikua nataka kusema umeniwah..Sasa unayafananisha ya Mandela na ya malaya wachora tatoo wa Tabata? Mwanamke mjinga asikubali kuolewa ili aendelee kufanya ujinga wake kwa amani. Sio unaolewa af unaleta mambo ya kitoto unagawa mbunye hovyo wakati unajijua una familia inakutazama.
Kingine kikubwa ndoa bila kujiweka karibu na neema za Mungu ndio balaa zito zaidi linalopelekea nyumba nyingi kuharibika.
Ni kukosa adabu kwa kiwango cha juu kabisa. Tutawazika sanaNdio hiki nilikua nataka kusema umeniwah..
Yan wanaume huwa hatuna wivu kwa mwanamke malaya tukishajua demu kicheche hata tukikuta na jamaa mwingine maisha yanaenda kiroho safi ndio mana tunashea mabaamedi...
Sasa we mtu demu umeolewa au unakula vya vya watu umepangishiwa umepewa gari afu bado unagawa mbunye ovyo badala utulie hulo suala ukikutana na vichaa lazma uuwawe...
ID matusi ukijibu mtu matusi daah life gani hiyo mazee...Qouma yake,unamuulia nini,nani kakwambia yako ile
Swali kwa nini wengine wenye hasira na wivu kama hao ila washajiapiza kuwa hawawezi kupigana nao ila kundi lingine linaamini katika kupiga mpaka kuua mwanamke...Sio wanarogwa na watu wasiowatakia ndoa yao mema bali hao hao wake zetu ndio wanatutengeneza kiasi kwamba hata akikosea unashindwa kuhimili wivu
Kwahiyo bora umuue nawe ukae behind bars forever?Au chezee uvulana wangu halafu nimuache
it is all about timing, shida kubwa wanawake hata wanaume siku hizi wengi hawajui when and how to speak to an exhausted and frustrated man/woman....Hao wa kuwamwagia maneno wako wapi siku hizi?wamejaa machungu na hasira,plus huu ugumu wa Maisha keshalipa ma ada ya watoto,site fundi kazingua kazini nako sijui Kuna Nini ukiingia kichwakichwa utakula za uso
Mbona mwamba kakaa kichokochokoView attachment 2376019
Dah pisi kali balaa
Hali inatisha sana
Mtoto anaonekana alikuwa "windo" la wakware
Ulikuta wa kwanza umebambikiwa au sio [emoji23][emoji23][emoji23]
Inaitwaje kwani ile!?..sehemu za Siri!!?..kichwani unapata taswira gani ikiitwa hivyo!?ID matusi ukijibu mtu matusi daah life gani hiyo mazee...
Changamoto sana sema mi namuondoa mwanamke aendelee kulea wanaonihusu, akikataa waondoke wote.Ndio mkuu [emoji25]
Tumeacha tamaduni na mila zetu tukakumbatia mapokeo wacha tunyooke.Serikali itafanyaje? Labda waweke sheria kali ukimla mke wa mtu ukafumwa jela miaka 3O huenda ikasaidia.
Kwa sasa wake zetu wako vulnerable halafu wakiliwa aliyekula anaonekana kama mwamba kisheria sababu hamna vifungu vinavyolenga kumletea mume relief.
Una tabia za mwanamke wangu[emoji28][emoji28]nilikuwa sielewi kwanini anafanya hivyo kumbe kukwepa kichapo[emoji23][emoji23]Niko mid 30,sijawahi kula kitasa hata kimoja!ninaogopa ngumi ya mwanaume balaa so tukiwa live siwezi kuchongoa mdomo Tena nasimama mbalii....Ila ukiona nimetoka kwenye uso wako meseji utazopata utajuta
Watu wengine sijui bado ni kula kulala? Unawaza kuondoka kwenda huko mbali kwa nani?Yakinishinda nawaachia nyumba naenda zangu mbali huko huku nikiendelea kuitunza familia
Analelewa huyo si unajua Tabata hamnaga wanaume wa kazi kule wengi Marioo na wabana pua wanashinda Gym na kupaka powderJamaa mbona picha ya family yenyewe kama kalazimishwa,kajibanabana ka demu.