Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Dawa yenu ipo inachemka na mtakunywa ukiwa yà moto 100'C maana waliooa wanasema mna midomo.

Ndoa ilinishinda miaka kenda nyuma...hakika yule Dada alikua na mdomo, katika ile ndoa " Vita niliipigana, imani nikailinda ila mwendo sikuumaliza"
Neno zito hili[emoji23]
 
Chanzo cha yote ayo ni kukosa kuwa na hofu ya M/Mungu tu wazaz wamesahau elimu ya kiroho wanakimbilia elimu dunia matokeo yake tunakua na kizaz ambacho hakina hofu ya M/Mungu na wala hawatambui uwepo wake ni kama hawa wengine umu wanakuja kuanzisha thread za kupinga uwepo wa M/Mungu sas mtu kama uyo anashindwaje kuuwa ikiwa uwepo wa M/Mungu tu haamini je ataamini kuwepo kwa adhabu za M/Mungu kweli?
 
Mimi mke wangu nilikua nampenda sana tena sana, mapenzi yasikieni tu, tukabahatika kupata watoto wawili. Wa kwanza nikaona mapicha picha, wa pili mimi mtupu. Nikasema nikajiridhishe DNA nilichokutana nacho na roho ilivyoniuma nilitamani kuua ila nikaishinda nafsi nikaapa sitampiga au kumgusa kwa chochote mpaka leo mwaka wa3, sijawahi mpigia simu wala kupokea simu yake nawasiliana na dada wa kazi kwa mahitaji ya mtoto la sivyo ningeozea jela bure bure kabisa. Nimemuachia Mungu atamfundisha dunia. Maumivu ya kuzalishiwa au kupigiwa mke yasikieni kwenye mitandao wandugu. Usipokua timamu mwili wa marehemu huu hapa
Hivi lakn dna test zina uhakika kiasi gani
Maana unaweza kweli hujafanana na mtt lakn akawa ni wako
Hatua za dna test sizijui ila je zina uhakika %100 isije kuwa nazo zinagombanisha watu tu
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
Pole sana mkuu
 
Chanzo cha yote ayo ni kukosa kuwa na hofu ya M/Mungu tu wazaz wamesahau elimu ya kiroho wanakimbilia elimu dunia matokeo yake tunakua na kizaz ambacho hakina hofu ya M/Mungu na wala hawatambui uwepo wake ni kama hawa wengine umu wanakuja kuanzisha thread za kupinga uwepo wa M/Mungu sas mtu kama uyo anashindwaje kuuwa ikiwa uwepo wa M/Mungu tu haamini je ataamini kuwepo kwa adhabu za M/Mungu kweli?

Ni kweli kutokuwa na hofu ya Mungu lakini tuwapeleke wapi watoto maana kanisani au madrasa mapadri na maustazi wanapita nao!!
 
Sasa imebaki majuto ni mjukuu, kuna siku ningeishia sero, ilinaki kidogo nimtoboe toboe na mkasi uliokuwa mezani. Mzee wangu mmoja anagonga mlango hodi, kungia namuona kaongozana na balozi. Kesi inaibuka, anamdai mke wangu zaidi ya 2M. Alipokuwa anafanya biashara alikuwa anaenda kuchukua malighafi kwenye duka la jumla la huyu mzee. Mzee mwenyewe alikuwa ananiamini sana na ndiye aliyenipokea ofisini na kunisaidia pia kwenye biashara, mashamba na ushauri mwingine kibao.

Huyu mzee alikuwa ananiamini sana, so wife anachukua malighafi kwa mali kauli, huku nyuma ananipanga namtumia hela ya kumuongezea mtaji, kumbe madeni lukuki. Namuomba mzee wangu arudishe moyo nyuma, nampa nusu ya pesa na kumuahidi nyingine mwisho wa mwezi. Siku si nyingi nawaona VICOBA wamefika, wanadai 4.9M, nauliza alikopa za nini na mimi akunishirikisha, anasema huoni vitu nivyofanya! nauliza umefanyia nini? Nawaambia VICOBA siutambui huo mkopo na sikushirikishwa.

Hayo yote yamebaki historia, adabu imerudi, hagusi hata shilingi yangu moja, amekuwa mama house 100% na mahitaji yote anapata. Nabaki kuwaza, siku nikizima, watoto watapoteza mwelekeo jumla, kwani huyu ni mwanamke asiyejitambua. Nabaki kuomba japo niwepo hata kwa miaka kadhaa ijayo niwasogeze watoto kielimu.
Khaaaaà ndio maana wanaume mnakufa haraka! Pole mkuu
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
Pole sana mkuu..I feel your pains,baadhi ya wanawake ni pasua kichwa.
Inafikia hatua unajiuliza hivi anatumia akili zake kufanya haya au karogwa!
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
Ulioa bomu , pole sana.
 
Una tabia za mwanamke wangu[emoji28][emoji28]nilikuwa sielewi kwanini anafanya hivyo kumbe kukwepa kichapo[emoji23][emoji23]

Sema kupiga mwanamke sio mchongo, ni uonezi wa hali ya juu.
Ha haaa ndi hivyo huyo Ni muoga,na hutokaa umpige🤣!maana huyo atakutibua ukiwa mbali Hadi uje muonane hasira zimeisha
 
Mnapenda wanawake weupe sana,wabongo wanaangalia rangi,hapo lazima ulale na viatu,kesi nyingi ni wanawake weupe,jamaa aliyempiga risasi mkewe mwanza alikua mweupe,Mke wa Masanja ni mweupe,Ba mdogo wangu alijinyonga mke wake alikua mweupe,Tuoe wa kawaida Sio hawa Azam Burudani kwa wote
[emoji38] kwahiyo weupe sio wa kawaida...mbona mi nazikubali zaidi pisi nyeusi ila ndio sina bahati nazo...napataga weupe
 
Wakuu kuna habari mbaya Huko Tabata-Dar Es Salaam.

Anasimulia Ndugu wa Marehemu.

Piariz Charles Hizza ni mdogo wangu, alikuwaga humu Friends of Solo Mnamunga kipindi fulani simu yake ilipopata matatizo akatoka sikukumbuka kumrudisha tena.

Leo mida ya mchana nikapokea simu nikaambiwa dogo amejinyonga chumbani kwake, anaishi Tabata.

Lakini, polisi wakafika na wakachukua mwili na wakamchukua na mume wake mpaka staki shari.

Uchunguzi wa awali ukaonyesha Piariz amepigwa probably na mumewe labda na akaamua kumnyonga na kutudanganya amejinyonga ili kutupoteza maboya.

Tumekuta mwili ukiwa hauna nguo sakafuni zaidi ya kufunikwa shuka na una majeraha ya kipigo na ametoboka shingon.

Mumewe anasema amejinyonga kwenye feni, lakini kwa unene wa Piarizi hawez panda akakuta feni ajiue wakati mumewe kalala humo humo chumbani asijue

Dada wa kazi anasema ilipofika saa 1 au 2 akasikia wanagombana chumbani,kufika saa 3 akasikia kimya.

Kufika saa nne mume akatoka chumbani anali anamwambia dada yako amejinyonga..akaingia akakuta mwili sakafuni na watoto wakiwa wanalia. Solo

du!!! why? kama haumuamini mwenzako si uachane nae tu!!!,,,kwa nini umuue?,haya sasa unamuua na wewe unaishia sege dansi!!'si bora huyo aliyekufa kapumzika.....kama ndoa ina changamoto ni kuachana tu!!
 
Ni kweli kutokuwa na hofu ya Mungu lakini tuwapeleke wapi watoto maana kanisani au madrasa mapadri na maustazi wanapita nao!!
Hilo sasa ni jukumu lako kama mzazi kumtafutia mwanao ni wapi sehemu sahihi ya kwenda kuchukua Dini yake. Na kumsimamia na kumfuatilia. Watu tunazembea tu katika Dini na kuichukulia poa. Nitatoa mfano kwa Dini yangu ya Uislam, huku wapo wazazi hawajali mtoto anasoma Dini sehemu gani, usahihi wa elimu anayosoma na hali ya wafundishaji. Hii ni kwa sababu hawajajua umuhimu wa Elimu ya Dini, wanazembea, wameghafilika au wanapuuza tu.

Mbona hayo mambo machafu yamejaa mashuleni, lakini wazazi hawaogopi kuwapeleka watoto Shule?? Tena wanawapeleka wabaki huko huko (Mabwenini). Wanachofanya utakuta mzazi anakuwa makini juu ya mtoto, atatafuta shule bora kabisa yenye mazingira mazuri, atakuwa tayari kumpeleka shule ya mbali kwa sababu ya ubora wa elimu na mazingira na usalama. Na ataendelea kufuatilia.

Ila kwenye dini anachukulia poa.
 
Ha haaa ndi hivyo huyo Ni muoga,na hutokaa umpige[emoji1787]!maana huyo atakutibua ukiwa mbali Hadi uje muonane hasira zimeisha
Yah na hizo hasira mpaka urudi na mpigane basi una pepo na ulidhamiria jambo ambalo ni baya, huwezi kudhamiria kupiga mkeo.
 
Back
Top Bottom