Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Yakinishinda nawaachia nyumba naenda zangu mbali huko huku nikiendelea kuitunza familia
Utakua umekosea kukimbia wanao, chukua watoto wako lea yeye mwambie aende akuache upambanie maisha ya watoto wako.
Ukifanya ulivyosema atawajaza chuki watoto watakuchukia siku zote za maisha yao bila kujua na mama atanufaika na matunda ya hao watoto peke yake hapo baadae huku wewe ukiugulia maumivu mara mbili.
 
Hiyo itakuwa sheria ya kipumbavu kuwahi kutungwa duniani.

Mke wako ni mtu mzima, akiamua kuliwa popote ni uamuzi wake binafsi. Inatakiwa itungwe sheria hata ukimpiga kibao kwa sababu ya kuliwa nje ufungwe miaka 7.
Inatikiwa pia itungwe sheria watu wote wanaofanya au kuhusika na vitendo vya fumanizi wafungwe miaka 7 kwa kuingilia faragha za watu wazima.
Serikali itafanyaje? Labda waweke sheria kali ukimla mke wa mtu ukafumwa jela miaka 3O huenda ikasaidia.
Kwa sasa wake zetu wako vulnerable halafu wakiliwa aliyekula anaonekana kama mwamba kisheria sababu hamna vifungu vinavyolenga kumletea mume relief.
 
demu kachora tattoo unategemea nini

rule of thumb ni kwamba, mwanamke yeyote yule mwenye tattoo ni malaya , so ME ategemee usaliti

mwanaume anayejielewa kamwe hawezioa mwanamke mwenye tattoo, anagonga anasepa
Tusihukumu sana kupitia tatoo coz kuna wanaume wanapenda hiyo michoro so huenda bwana ndio alimwambia mke achore.
 
Hiyo itakuwa sheria ya kipumbavu kuwahi kutungwa duniani.

Mke wako ni mtu mzima, akiamua kuliwa popote ni uamuzi wake binafsi. Inatakiwa itungwe sheria hata ukimpiga kibao kwa sababu ya kuliwa nje ufungwe miaka 7.
Inatikiwa pia itungwe sheria watu wote wanaofanya au kuhusika na vitendo vya fumanizi wafungwe miaka 7 kwa kuingilia faragha za watu wazima.
Kwa hiyo huoni kuwa mauaji yatakua Mengi sana Kwa sababu teknolojia tunakoelekea itakua wazi zaidi na kubaini Wahalifu wa namna yoyote itakua ni rahisi zaidi? Hivi hujui kuwa hata matapeli wanatumia ushawishi kutapeli watu na watu wanaingia line wenyewe lakini ni kosa.
Lakini pia ujue kuwa Huko tunakoelekea watu watajilengesha Kwa watu wenye Mali ili waolewe halafu anafunga ndoa Kisha anafanya njama na mchepuko wake wanamuua Mume mwenye mali na kuchukua Mali na mara nyingine unakuta hata watoto wanakua ni WA mchepuko hivyo mchepuko usio na mali unapata Mali kirahisi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza akaona mwanaume au mwanamke aliyefunga naye ndo na anajinyima kutafuta Kwa ajili yake na watoto halafu anatokea mtu Mwingine anaingilia mapenzi yao na kusababisha Mwanamke hajali Tena Ndoa,anakua na kiburi dharau na kudharau. Na akisemeshwa kidogo TU anasema nipe Talaka yangu ili TU mugawane Mali akainjoy na mchepuko wake.
Nafikiri stahiki ya huyo mwanaume ni kumpiga risasi au mshale mchana kweupe mbele ya watu ili jamii Ione ubaya wa jambo Hilo linalowaumiza wasio na hatia.

Unamshona risasi mchana kweupe Wala sisubiri wasuhishi alimradi uwe umemuonya mara ya kwanza akakaidi.
Mana ukiwaacha watashirikiana watakuua wewe hasa kama una Mali.Mwanamke atatumiwa na mchepuko wake watakulisha sumu uR.I.P. wale Mali.

kanuni za asili hata wanyama madume anaumia yanapoona majike yao yanachukuliwa . Asiyeumia huyo ni kichaa kabisa anayevaa Chupi kichwani.

Yaani uanze kudate na mke wa Kagame halafu unaki salama eti nyie ni watu wazima. Masuala ya ngono yasipodhibitiwa binadamu watakua wabaya kuliko wanyama. Hebu fikiria miaka ya nyuma kabla ya SHERIA ya ubakaji . Watoto wadogo na Wanawake walivyokuwa wanabakwa na kunajisiwa. !!SHERIA ndiyo iliyopunguza vitendo hivyo.
Ni sawa na kuacha watu watumie madawa ya kulevya Kwa sababu TU hakuna mtu anayelazimishwa kutumia.Etu mtu mzima awe huru kutumia madawa ya kulevya
 
H
Kwa hiyo huoni kuwa mauaji yatakua Mengi sana Kwa sababu teknolojia tunakoelekea itakua wazi zaidi na kubaini Wahalifu wa namna yoyote itakua ni rahisi zaidi? Hivi hujui kuwa hata matapeli wanatumia ushawishi kutapeli watu na watu wanaingia line wenyewe lakini ni kosa.
Lakini pia ujue kuwa Huko tunakoelekea watu watajilengesha Kwa watu wenye Mali ili waolewe halafu anafunga ndoa Kisha anafanya njama na mchepuko wake wanamuua Mume mwenye mali na kuchukua Mali na mara nyingine unakuta hata watoto wanakua ni WA mchepuko hivyo mchepuko usio na mali unapata Mali kirahisi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza akaona mwanaume au mwanamke aliyefunga naye ndo na anajinyima kutafuta Kwa ajili yake na watoto halafu anatokea mtu Mwingine anaingilia mapenzi yao na kusababisha Mwanamke hajali Tena Ndoa,anakua na kiburi dharau na kudharau. Na akisemeshwa kidogo TU anasema nipe Talaka yangu ili TU mugawane Mali akainjoy na mchepuko wake.
Nafikiri stahiki ya huyo mwanaume ni kumpiga risasi au mshale mchana kweupe mbele ya watu ili jamii Ione ubaya wa jambo Hilo linalowaumiza wasio na hatia.

Unamshona risasi mchana kweupe Wala sisubiri wasuhishi alimradi uwe umemuonya mara ya kwanza akakaidi.
Mana ukiwaacha watashirikiana watakuua wewe hasa kama una Mali.Mwanamke atatumiwa na mchepuko wake watakulisha sumu uR.I.P. wale Mali.

kanuni za asili hata wanyama madume anaumia yanapoona majike yao yanachukuliwa . Asiyeumia huyo ni kichaa kabisa anayevaa Chupi kichwani.

Yaani uanze kudate na mke wa Kagame halafu unaki salama eti nyie ni watu wazima. Masuala ya ngono yasipodhibitiwa binadamu watakua wabaya kuliko wanyama. Hebu fikiria miaka ya nyuma kabla ya SHERIA ya ubakaji . Watoto wadogo na Wanawake walivyokuwa wanabakwa na kunajisiwa. !!SHERIA ndiyo iliyopunguza vitendo hivyo.
Ni sawa na kuacha watu watumie madawa ya kulevya Kwa sababu TU hakuna mtu anayelazimishwa kutumia.Etu mtu mzima awe huru kutumia madawa ya kulevya
Hiyo sheria haitakaa itungwe.
 
Magomvi ndani ya ndoa, bado hayawezi kuondoa Thamani ya ‘FAMILIA’ , family is the best thing ever hapa duniani.

Ukiwa na familia unajikia uko occupied na upweke ni sifuri, let us continue to embrace the existance of “ FAMILI” doesn’t matter it’s origination either kwa Ndola takatifu, Kimila au Kiserikali.
Our existance is because of family , present na future yetu ni Family.

Naweza kusema hamna asiyekosea, kwenye kuokosewa ni bora tuangalie namna ingine ya kufanya, iwe wewe mama au Wewe mzee wa kaya, ni bora ukaamua namna ingine lkn c Kuangamiza Familia. Inaumiza sana kuangamiza familia tena haswa kupitia nyie wanafamilia hao hao

Tukumbatie Familia zetu, Tupende Familia zetu, Mungu atusaidie sana katika hili.
 
Ndio mkuu [emoji25]
Pole.

Na ndio huyo unaesema ulimtia ujauzito alipokuwa bado masomoni na ukaona kama umemuharibia future yake, alipojifungua salama ukamrudisha tena masomoni
 
Hiyo itakuwa sheria ya kipumbavu kuwahi kutungwa duniani.

Mke wako ni mtu mzima, akiamua kuliwa popote ni uamuzi wake binafsi. Inatakiwa itungwe sheria hata ukimpiga kibao kwa sababu ya kuliwa nje ufungwe miaka 7.
Inatikiwa pia itungwe sheria watu wote wanaofanya au kuhusika na vitendo vya fumanizi wafungwe miaka 7 kwa kuingilia faragha za watu wazima.
Wewe utakuwa mwizi wa wake za watu.
 
Kwa hiyo huoni kuwa mauaji yatakua Mengi sana Kwa sababu teknolojia tunakoelekea itakua wazi zaidi na kubaini Wahalifu wa namna yoyote itakua ni rahisi zaidi? Hivi hujui kuwa hata matapeli wanatumia ushawishi kutapeli watu na watu wanaingia line wenyewe lakini ni kosa.
Lakini pia ujue kuwa Huko tunakoelekea watu watajilengesha Kwa watu wenye Mali ili waolewe halafu anafunga ndoa Kisha anafanya njama na mchepuko wake wanamuua Mume mwenye mali na kuchukua Mali na mara nyingine unakuta hata watoto wanakua ni WA mchepuko hivyo mchepuko usio na mali unapata Mali kirahisi. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza akaona mwanaume au mwanamke aliyefunga naye ndo na anajinyima kutafuta Kwa ajili yake na watoto halafu anatokea mtu Mwingine anaingilia mapenzi yao na kusababisha Mwanamke hajali Tena Ndoa,anakua na kiburi dharau na kudharau. Na akisemeshwa kidogo TU anasema nipe Talaka yangu ili TU mugawane Mali akainjoy na mchepuko wake.
Nafikiri stahiki ya huyo mwanaume ni kumpiga risasi au mshale mchana kweupe mbele ya watu ili jamii Ione ubaya wa jambo Hilo linalowaumiza wasio na hatia.

Unamshona risasi mchana kweupe Wala sisubiri wasuhishi alimradi uwe umemuonya mara ya kwanza akakaidi.
Mana ukiwaacha watashirikiana watakuua wewe hasa kama una Mali.Mwanamke atatumiwa na mchepuko wake watakulisha sumu uR.I.P. wale Mali.

kanuni za asili hata wanyama madume anaumia yanapoona majike yao yanachukuliwa . Asiyeumia huyo ni kichaa kabisa anayevaa Chupi kichwani.

Yaani uanze kudate na mke wa Kagame halafu unaki salama eti nyie ni watu wazima. Masuala ya ngono yasipodhibitiwa binadamu watakua wabaya kuliko wanyama. Hebu fikiria miaka ya nyuma kabla ya SHERIA ya ubakaji . Watoto wadogo na Wanawake walivyokuwa wanabakwa na kunajisiwa. !!SHERIA ndiyo iliyopunguza vitendo hivyo.
Ni sawa na kuacha watu watumie madawa ya kulevya Kwa sababu TU hakuna mtu anayelazimishwa kutumia.Etu mtu mzima awe huru kutumia madawa ya kulevya
Huyo jamaa ni fara, eti mtu mzima asiingiliwe faragha mbona wanaobaka wanafungwa sasa. Ile sio faragha? Sheria ni guiding and controlling instrument. Lazima iwe imposed ili ku define namna nzuri ya kuishi katika jamii. Kumla mke wa mwenzio sio jambo zuri na wala sio jambo la kupuuziwa sababu impact yake ni kubwa sana.
 
So sad
Mdada mrembo mwenyewe sijui imekuaje!
Ila wanaume kama unaona network haikamati si unamwacha tu?why uue?
Hiyo akili ya kutoa talaka ipo kwenye ndoa za kiislamu, ndiyo maana huwezi kusikia kesi kama hizi ukanda wa pwani mfano Zanzibar, Wao waislamu kutoa talaka ni jambo jepesi hakuna kusumbuana mkiona hakuna maelewano mwanaume anatoa talaka au mwanamke anadai talaka yake.
 
Back
Top Bottom