Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Sheria kali za nini? Mtu mzima na akili yako uwekewe sheria. Ukiona huwezi kuwa muaminifu kaa mbali na ndoa. Yaani mwizi ambaye anaiba afungwe miaka 2-15 halafu watu waliokubal8ana kwa hiyari yao mmojawapo afungwe miaka 30. Huu ni ujinga.
Basi endeeleeni kushuhudia mauaji ya kikatili. Kuiba kwenye ndoa ni sawa na wizi mwengine tu. Ubaya wa usaliti kwenye ndoa unaathiri saikolojia ya wenza na kupelekea kuvuruga familia. Hili lazima liangaliwe kwa makini sio eti mtu mzima na akili zake. Angekuwa na akili angetambua kuwa analofanya ni ujinga utakaomgharimu maisha.
 
S
Ujinga mtupu, kwanini umpige, kama umemchoka mpotezee, kama anaku cheat mpotezee. Kwani shida ni nini
hida ni kabeba dhamana yako kwenye jamii, familia na watoto mnao. We uliolewa ili uende ukamchiti mwenzio?
 
Mwanamke achepuke ndio nimuue si namwacha aende kwao hawa watu wanaoua wanawekewa dawa nini mbona haingii akilini kabisa kuua kwa sababu ya pwechele...au wanakua wamerogwa na watu wasiowatakia ndoa njema kwa akili ya kawaida hawa wadogo hawawezi kuwa na maamuzi mazito hivyo huku wakiwa na watoto..
Hayajawahi kukuta ndio maana unaona wanao chukua uamuzi huo ni wajinga.
 
Yakinishinda nawaachia nyumba naenda zangu mbali huko huku nikiendelea kuitunza familia
Umepewa likes nyingi sana kwenye hii comment.

This means that wamekusapot kwamba uondoke uiache familia sababu ya mwanamke kukuzidi ukorofi..

siku ukirudi ukakuta njemba ishampumulia mkeo na kumzalisha watoto mapacha😂😂😂

ndio utajua kwanini Piarrin aliuliwa tena kwa kunyongwa kama mbuzi wa kafara🥵🥵🥵😓😓
 
Kwa mtazamo wangu ni kwamba wazaz wawe karib na watoto wadadis kila wanachofundishw uko mkanisan/ madrasa kitapunguz uwo ushenzi
Wanafundishwa vitu vizuri sema watu wakishafunga ndoa hata kuendelea kwenda sehemu za Ibada na familia ni kwa wachache sana wanaendelea na utaratibu huo wengine zile sehemu za ibada wanajifunga kwa ajili ya ndoa likipita inaanza vita ndani kuhamasishana kwenda Ibadani mpaka inazoeleka ndio inakuja hii vita ingine ya Ukraine na Russia kuuana kabisa
Hayajawahi kukuta ndio maana unaona wanao chukua uamuzi huo ni wajinga.
Ni wajinga siwezi kuua kwa sababu ya Mwanamke kila mtu hizo changamoto amepitia sema ushamba na ulimbukeni wa wanawake wazuri ndio chanzo kikuu mtu anaamini hiyo pwechele hakuna nyingine kumbe zipo za kumwaga mimi nishawahi kumwacha mwanamke mzuri balaa bila sababu nikatafuta mwingine mpaka yeye mwenyewe mpaka kesho anasema wewe ni kiboko mimi wanawake nimewazoea tena nikigusa nacheza na Pisi kweli... ukiua unapofumania jua hiyo damu haitopotea vizazi na vizazi wapo ndugu zako watafanyiwa hivyo ni vile wengine mnaishi kwa kuangalia leo tu wapo wengine wanapata tabu leo kwa maagano waliyofanya ndugu zao kipindi cha nyuma...
 
Umepewa likes nyingi sana kwenye hii comment.

This means that wamekusapot kwamba uondoke uiache familia sababu ya mwanamke kukuzidi ukorofi..

siku ukirudi ukakuta njemba ishampumulia mkeo na kumzalisha watoto mapacha😂😂😂

ndio utajua kwanini Piarrin aliuliwa tena kwa kunyongwa kama mbuzi wa kafara🥵🥵🥵😓😓
Mkiachana na mkeo hatopata wa kumtoa genye? Nyumba nitamwachia ili watoto wasihangaike kupata pa kulala pia ni mawazo yangu ya haraka haraka kuepusha Shari na kuepuka jela
 
Sasa mbona mimi natamani kuolewa jamani.
Mungu anitangulie kwakweli.
Yaani hali ilivyo sasa hivi kwa wanandoa wala hutakiwi kumshangaa mwenzio kuwa imekuwaje kauwawa au kaua Mana unaweza kuta hata wao walikuwa wakisikia habari kama hizi kwenye ndoa zingine wanajiuliza why.
Hapa ni kumuomba sana Mungu akuepushe au atuepusha kwamaana si ndoa pekee bali hata mahusiano.
Na yawezekana tukianza kuona dalili mbaya au umefikia hatua mbaya afadhali mtu uondoke hata kama ni mwanaume ukajipumzishe na kujitafakari pamoja na kupunguza hasira angalau urudi baadae ili usije tenda au tendwa vibaya.
Mungu atuongoze Mana hali ni mbaya na tunakoelekea sio kuzuri watakaoteseka ni watoto wanaobakia.
Kabla ya kufanya maamuzi ya hasira tuwatafakari kuwa tunawaachaje.
So sad kwakweli.
Matatizo yote ya ndoa huwa anayaanza Mwanamke,Wanawake wengi wa Siku hizi wanakosa utii kwa wame zao.Mwanaume hadi akuweke ndani jua amekupenda au kuna sababu,hakuna Mwanaume huwa amepanga kumpiga mke wake.
Ukiolewa mambo 2 ya kufanya mtii mumeo na usimusaliti no matter what,hapo mtazeeka wote.
 
Matatizo yote ya ndoa huwa anayaanza Mwanamke,Wanawake wengi wa Siku hizi wanakosa utii kwa wame zao.Mwanaume hadi akuweke ndani jua amekupenda au kuna sababu,hakuna Mwanaume huwa amepanga kumpiga mke wake.
Ukiolewa mambo 2 ya kufanya mtii mumeo na usimusaliti no matter what,hapo mtazeeka wote.
Hujafanya tafiti na wala huna Elimu ya matatizo ya ndoa ngoja nikupe Intro kidogo wanawake kwa wanaume wote ni chanzo kikuu mimi pana mshikaji hakuwahi kushika hela kama alizopata zikaharibu ndoa yake maana wanawake wengi sio wote ni wavumilivu sana yaani jamaa anaruka na pisi nje huko na kujipa safari za dharula kumbe yupo mjini muda mwingine kuingia usiku harafu sio mnywaji ila anaweza kukaa club mpaka saa nane huko baadae ikaja kugundulika pana mwanake kampangia sehemu na kapewa mimba sio yake anaterekeza familia wiki nzima huyo Mke wake kaenda kote wasuruhishe wapi na jamaa kumuacha alikua hataki Mungu mwema mwaka huu mwezi wa tano jamaa akatuita jamaa zake na kutuomba msamaha ikabidi sisi tumuite Mkewe tukaongea pale wakayamaliza jamaa ni mpya alikua kama amerogwa anamshukuru sana Mungu kumrudisha kwenye mstari..kwa hiyo tusibaki kuwalaumu wanawake peke yao muda mwingine wanaume ni chanzo kikubwa wanaume wengi wakipata hela za kuweza kuhonga Gari wanakua washamba sana wa wanawake wanafanya vile vitu ambavyo waliruka kwenye hatua za ukuaji...
 
Ukiangalia sura zao kwenye picha jnaonyesha mkaka anavumilia mengi..ukiangalia mdada nae anavumilia mengi.
In short walikua wanavumiliana ila mkaka akaona aweke nguvu za kumpiga mara kwa mara mwenzie kumrekebisha.yamemkuta
 
Hilo sasa ni jukumu lako kama mzazi kumtafutia mwanao ni wapi sehemu sahihi ya kwenda kuchukua Dini yake. Na kumsimamia na kumfuatilia. Watu tunazembea tu katika Dini na kuichukulia poa. Nitatoa mfano kwa Dini yangu ya Uislam, huku wapo wazazi hawajali mtoto anasoma Dini sehemu gani, usahihi wa elimu anayosoma na hali ya wafundishaji. Hii ni kwa sababu hawajajua umuhimu wa Elimu ya Dini, wanazembea, wameghafilika au wanapuuza tu.

Mbona hayo mambo machafu yamejaa mashuleni, lakini wazazi hawaogopi kuwapeleka watoto Shule?? Tena wanawapeleka wabaki huko huko (Mabwenini). Wanachofanya utakuta mzazi anakuwa makini juu ya mtoto, atatafuta shule bora kabisa yenye mazingira mazuri, atakuwa tayari kumpeleka shule ya mbali kwa sababu ya ubora wa elimu na mazingira na usalama. Na ataendelea kufuatilia.

Ila kwenye dini anachukulia poa.
Upo makini sana Broo BIG UP
 
Ukifumaniwa live na Mke WA MTU unapigwa life sentence hapo mambo yatapungua.

Haiwezekan watu wanauana Kwa MTU mmoja kwenda kusababisha chaos kwenye familia uliyokuwa na amani. Watoto Wanakuja kuteseka!


Please serikali make sure mnakuwa active na sheria zenu don't be that rigid

Hawawezi kukubali kutunga maana hao watunga sheria ndio wanaoongoza kula WAKE ZA WATU.
 
Wazazi muwe mnachunguza watoto wenu kama kuna migogoro mjaribu kuepusha madhara mapema
 
Basi endeeleeni kushuhudia mauaji ya kikatili. Kuiba kwenye ndoa ni sawa na wizi mwengine tu. Ubaya wa usaliti kwenye ndoa unaathiri saikolojia ya wenza na kupelekea kuvuruga familia. Hili lazima liangaliwe kwa makini sio eti mtu mzima na akili zake. Angekuwa na akili angetambua kuwa analofanya ni ujinga utakaomgharimu maisha.
Kama mtu na akili zake anaibiwa basi kuna tatizo hapo. Unaibiwa kwa ridhaa yako, kuna kesi hapo
 
Umepewa likes nyingi sana kwenye hii comment.

This means that wamekusapot kwamba uondoke uiache familia sababu ya mwanamke kukuzidi ukorofi..

siku ukirudi ukakuta njemba ishampumulia mkeo na kumzalisha watoto mapacha[emoji23][emoji23][emoji23]

ndio utajua kwanini Piarrin aliuliwa tena kwa kunyongwa kama mbuzi wa kafara[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji29][emoji29]
Sasa kama uliamua kuondoka, unarudi kufanya nini?..yule atabaki kuwa mzazi mwenzio tu...
 
Back
Top Bottom