Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Daah! Aisee watoto bado wadogo sana wameachwa ,
pole kwa familia yake
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Azam
 
Shida hamsikilizi wazazi wenu Wana maono sana
 
[emoji849]kumbe Hawa wanawake wapogi, nilikuaga najua visa TU vya kusadikika eti
 
[emoji849]kumbe Hawa wanawake wapogi, nilikuaga najua visa TU vya kusadikika eti
Mkuu, hawa wapo kabisa, na niliyosimulia ni machache sana. Niliwahi kuchangia comments nyingi kwenye uzi huu hapa Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Kiufupi mengi sijayaongea lakini haya nililiyosema yamenipata mimi binafsi, na yalipelekea nikabobea kwenye ulevi uliopitiliza. Sasa niko poa kabisa na maisha yanaenda.
 
Shida hamsikilizi wazazi wenu Wana maono sana
Wengi tukiwa vijana na ukaenda shule kidogo tunawaona wazazi kama wamepitwa na wakati. Maza alitaka kunipa laana. Alinitembelea na akakutana na huyu mwanamke. Kiufupi alitoka nje na kusema hakubaliani na uamuzi wangu. Akiwa ameegemea kwenye kabila la huyu mwanamke, mama akasema hapana na akatoa hadi machozi. Kiufupi alikuwa sawa, na alikuwa sawa kabisa.
 
Kumbe huyu mwanamke ndo sababu!?

Vipi unaendeleaje sasa na unywaji?
 
Kumbe huyu mwanamke ndo sababu!?

Vipi unaendeleaje sasa na unywaji?
Mkuu niko vizuri kabisa, kwa sasa situmii tena kilevi. Nitajitahidi kumaintain hili kwani nimerudi kwenye line zangu kitambo kidogo.
 
Ikifika hatua serekali ikaanza kuchukua hatua kali kwa hawa wanaoua watu kwa kesi za mapenzi ndipo haya mambo yatakapopotea.
Kwa hali tulionayo sasa Mtu anaua na bado anafanywa ndio shujaa jamii hayataweza kuisha kamwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…